Je, Tundu Lissu atakutana na Rais Samia Suluhu Ubelgiji?

Je, Tundu Lissu atakutana na Rais Samia Suluhu Ubelgiji?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ni kawaida kwa Marais wa Tanzania kukutana na Watanzania wanaoishi kwenye nchi ambazo viongozi hao hufanya ziara za kiserikali, kwa mfano , Mama alipofika nchini Marekani alikutana na Watanzania wanaoishi huko, akiwemo Mwanaccm Mange Kimambi na kisha kubadilishana nao mawazo.

Sasa uzuri wa Bahati ni kwamba Mama amefanya ziara nyingine kwenye nchi za Ufaransa na Belgium, tunaamini kwamba akishafika huko atakutana na Watanzania walioko huko na kubadilishana mikakati.

Swali langu dogo ni hili, Je Mh mama akifika Ubelgiji atakutana na Tundu Lissu ambaye ni miongoni mwa watanzania wanaoishi huko?
 
Ni kawaida kwa Marais wa Tanzania kukutana na Watanzania wanaoishi kwenye nchi ambazo viongozi hao hufanya ziara za kiserikali , kwa mfano Mama alipofika nchini Marekani alikutana na Watanzania wanaoishi huko , akiwemo Mwanaccm Mange Kimambi na kisha kubadilishana mawazo .

Sasa uzuri wa Bahati ni kwamba Mama amefanya ziara nyingine kwenye nchi za Ufaransa na Belgium , tunaamini kwamba akishafika huko atakutana na Watanzania walioko huko na kubadilisha mikakati .

Swali langu dogo ni hili , Je Mh mama akifika Ubelgiji atakutana na Tundu Lissu ambaye ni miongoni mwa watanzania wanaoishi huko ?
Hakuna shida mbona walikutana alipokuwa mgonjwa lissu, mama hana shida nae
 
Ni kawaida kwa Marais wa Tanzania kukutana na Watanzania wanaoishi kwenye nchi ambazo viongozi hao hufanya ziara za kiserikali , kwa mfano Mama alipofika nchini Marekani alikutana na Watanzania wanaoishi huko , akiwemo Mwanaccm Mange Kimambi na kisha kubadilishana mawazo .

Sasa uzuri wa Bahati ni kwamba Mama amefanya ziara nyingine kwenye nchi za Ufaransa na Belgium , tunaamini kwamba akishafika huko atakutana na Watanzania walioko huko na kubadilisha mikakati .

Swali langu dogo ni hili , Je Mh mama akifika Ubelgiji atakutana na Tundu Lissu ambaye ni miongoni mwa watanzania wanaoishi huko ?
Inaweza kuwa kwani naona sehemu ya kamati kuu imeanza kuandaa mazingira ya fairness isiyokuwa kawaida, huenda wanatengeneza njia.
 
Ngoja tuone , naona iki kuepusha maswali mengi Magazeti kadhaa yamefunguliwa
Haogopi maswali yoyote bali ni tabia ya huruma tu ya Samia (wazanzibari) kutopenda dhulma na mikiki mikiki isiyo na sababu. Kilichotokea kwa Mbowe ni "bad timing" ya Mbowe tu vinginevyo mama asingekubali kuwekwa ndani.

Lakini hakuwa na namna nyingine. Mtu mpya kwenye kiti huku kuna majanga lukuki ya kushughulikia then mtu mwingine anakuja na manmade janga la kuanzisha maandamano. Rais yeyote yule angefanya vile ili kutuliza hali.

Bad timing.
 
Haogopi maswali yoyote bali ni tabia ya huruma tu ya Samia (wazanzibari) kutopenda dhulma na mikiki mikiki isiyo na sababu. Kilichotokea kwa Mbowe ni "bad timing" ya Mbowe tu vinginevyo mama asingekubali kuwekwa ndani. Lakini hakuwa na namna nyingine. Mtu mpya kwenye kiti huku kuna majanga lukuki ya kushughulikia then mtu mwingine anakuja na manmade janga la kuanzisha maandamano. Rais yeyote yule angefanya vile ili kutuliza hali. Bad timing.

Hakika Wazanzibari wana huruma.
 
Ni kawaida kwa Marais wa Tanzania kukutana na Watanzania wanaoishi kwenye nchi ambazo viongozi hao hufanya ziara za kiserikali, kwa mfano Mama alipofika nchini Marekani alikutana na Watanzania wanaoishi huko, akiwemo Mwanaccm Mange Kimambi na kisha kubadilishana mawazo.

Sasa uzuri wa Bahati ni kwamba Mama amefanya ziara nyingine kwenye nchi za Ufaransa na Belgium, tunaamini kwamba akishafika huko atakutana na Watanzania walioko huko na kubadilisha mikakati.

Swali langu dogo ni hili, Je Mh mama akifika Ubelgiji atakutana na Tundu Lissu ambaye ni miongoni mwa watanzania wanaoishi huko?
Safari ya kimkakati.. Mungu ibariki CHADEMA na Chief Hangaya kama atafunuliwa kumtafufa TAL
 
Haogopi maswali yoyote bali ni tabia ya huruma tu ya Samia (wazanzibari) kutopenda dhulma na mikiki mikiki isiyo na sababu. Kilichotokea kwa Mbowe ni "bad timing" ya Mbowe tu vinginevyo mama asingekubali kuwekwa ndani. Lakini hakuwa na namna nyingine. Mtu mpya kwenye kiti huku kuna majanga lukuki ya kushughulikia then mtu mwingine anakuja na manmade janga la kuanzisha maandamano. Rais yeyote yule angefanya vile ili kutuliza hali. Bad timing.
Job na Lukuvi might beg to differ....
 
Safari ya kimkakati.. Mungu ibariki CHADEMA na Chief Hangaya kama atafunuliwa kumtafufa TAL
sio ajabu wakuu,kila raia watanzania ni haki yake kikatiba kuomba au kutakwa kukutana na rais.lkn mm najiuliza kwa nn akina lisu,lema hawataki kurudi nyumbani!!?, shida Nini!!? Wanamuogopa hangaya au !!?
 
Ni kawaida kwa Marais wa Tanzania kukutana na Watanzania wanaoishi kwenye nchi ambazo viongozi hao hufanya ziara za kiserikali, kwa mfano , Mama alipofika nchini Marekani alikutana na Watanzania wanaoishi huko, akiwemo Mwanaccm Mange Kimambi na kisha kubadilishana nao mawazo.

Sasa uzuri wa Bahati ni kwamba Mama amefanya ziara nyingine kwenye nchi za Ufaransa na Belgium, tunaamini kwamba akishafika huko atakutana na Watanzania walioko huko na kubadilishana mikakati.

Swali langu dogo ni hili, Je Mh mama akifika Ubelgiji atakutana na Tundu Lissu ambaye ni miongoni mwa watanzania wanaoishi huko?
MH Rais Samia hawezi kukutana na wasaliti wa taifa

USSR
 
Back
Top Bottom