Je, tutarajie Rais Samia Suluhu kumrudisha Paul Makonda tena kwenye mfumo wa siasa?

Habari wakuu,

Nianze moja kwa moja kwenye maada. Namna upepo unavyo vuma naona Makonda milango inafunguka kwa mara nyingine tena. Baada ya msiba mkubwa wa kitaifa kuondokewa na Rais wetu JPM, sasa naona nyota ya mwamba Makonda itachomoza tena ili kulikava hasa ngazi za juu za kiuongozi.

Wale wenye jicho la tatu hebu njooni tuliangalie hili.
 
Refa kaondoka uwanjani unazani huyu bwana hata pata hata penalty.
 
Wewe uliyeandika hizi pumba una jicho la ngapi?

Unaweza kuta, hata hilo moja hauna!

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Punguzeni povu mleta mada anatania tu huoni kasema Sisteam? Hahahaha
 
Yaani huyo bwana yako inabidi akimbie nchi tu kwa usalama wake kwa maana watakao mchakaza ni hao hao ‘wasukuma’ wenzake ndani ya chama chenu cha kijani, akina manji watuka malizia tu kilicho baki.
 
Refa kaondoka uwanjani .unazani uyu bwana ata pata ata penalty .
Kuumia kwa refa sio mwisho wa dakika 90 mkuu. Refa waziada anakuwepo, fuatilia Mech ya Simba na wasudani ilitakiwa ichezeshwe na refa mmojaja hivi akakutwa na covd19 lakini Mechi haikuailishwa.
 
Maada ni kitu chochote chenye uzito na kinachochukua nafasi.
 
Reactions: tsb
Makonda na Mama walikuwa vizuri muda mrefu.
Alimpigia debe u VP.
Mama hatamsahau.
 
Itakuwa ni hatua ya kwanza katika kuleta anguko la serikali hii
 

Naona anatafuta kuongelewa kwa nguvu nying sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…