Duplicate_90
JF-Expert Member
- Mar 29, 2020
- 272
- 308
Kiongozi anaewanyima watu haki ya kuishi anakuaje mzur? Au nawe ni muuaji mwenzake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 kwanini asifanye biashara zake kwanini siasa ndiyo maisha pekee tuache upuuziWeka mapungufu pembeni, Makonda ni kiongozi mzuri Sana.
Hakuna binadamu asiye na mapungufu(kasoro), Kama yupi nionyesheni. Mh. Makonda ni kiongozi mzuri ambaye kwa wakati huu utawala huu atatusaidia sana.
Mama Samia ikikupendeza fanya jambo kwa huyu Mtu, Kuna sehemu mbili naziona ana-fit Sana.
1) Waziri wa mambo ya ndani
- Simaanishi aliyepo ni kiongozi mbaya la hasha, Ila bado kuna mambo hayaendi sawa. Wezi wanatulaza macho, huwezi amini nyumba yako Ila usiku kucha unawaza kuwa mlinzi. Mh Makonda ni mtu ambae kwenye utendaji Hana simile. Wizara itabadilika hii, Mama fanya jambo hii wizara inataka Mtu mtata,mbishi na jasiri.
Najua Kuna nafasi za ubunge wa kuteuliwa bado zipo wazi, fanya jambo mama.
2) Mkuu wa mkoa wa Dar
- Watu wanasema TZ ipo dar, kuna ukweli hapo.
Aliyepo ni mzuri Ila yupo slow Sana,Kuna mambo mengi yamekwama kunahitajika Mtu wa ku-push mambo yaende. Huu mkoa unahitaji Mtu mtata sana aina ya makonda.
Mama fanya jambo, aina ya watu kaama Mh.Makonda sio wa kuwaacha kwenye utawala wako. Jembe hili, Field Marshall
Chini ni picha ya Field Marshall Paul Makonda
View attachment 1747676
Namshangaa sana, anamtetea mwalifu ambaye USA wamempiga marufuku kuingia kwao.Kiongozi anaewanyima watu haki ya kuishi anakuaje mzur? Au nawe ni muuaji mwenzake?
Hebu tuache hili jambo. Naona humjui MakondaNimesema hapo kuwa HAKUNA asiye na mapungufu. Makonda bado ni kiongozi mzuri, uzuri wa kiongozi sio kuongea taratibu Bali ni kutekeleza na kuleta Maendeleo kwa watu
Makonda ameihujumu sana nchi yetu... Mali zake zote zitaifishwe wapewe familia za kina mawazo, ben saanane, azory n.k
Hizo sh ngapi ninazo nyingi. Makonda ni mchapakazjMnalipwa she ngapi?
Ndy, maana ungekuwa na akili timamu usingempigia debe mtafuta utsjiri kwa kubambikia watu kesiChochote? Ungejua
Unawaamini wamarekani?Kiongozi anaewanyima watu haki ya kuishi anakuaje mzur? Au nawe ni muuaji mwenzake?
Yeye anafanya biashara zake Ila sisi wananchi ndio tunamtaka[emoji23][emoji23] kwanini asifanye biashara zake kwanini siasa ndiyo maisha pekee tuache upuuzi
Subiri utaelewa tu mwisho wa sikuHafai hata kuwa mwenyekiti wa nyumba 10[emoji3][emoji3][emoji3] akae benchi watu tutengeneze nchi yetu...
Subiri kidogo, utaelewa tu. Jiandae kisaikolojiaMakonda ameihujumu sana nchi yetu... Mali zake zote zitaifishwe wapewe familia za kina mawazo, ben saanane, azory n.k
Siasa imeigia kwenye ubongo, kutoka ni kazi.Ndy, maana ungekuwa na akili timamu usingempigia debe mtafuta utsjiri kwa kubambikia watu kesi
Uyo hafai hata kidogo,atamuharibia mamaWeka mapungufu pembeni, Makonda ni kiongozi mzuri Sana.
Hakuna binadamu asiye na mapungufu(kasoro), Kama yupi nionyesheni. Mh. Makonda ni kiongozi mzuri ambaye kwa wakati huu utawala huu atatusaidia sana.
Mama Samia ikikupendeza fanya jambo kwa huyu Mtu, Kuna sehemu mbili naziona ana-fit Sana.
1) Waziri wa mambo ya ndani
- Simaanishi aliyepo ni kiongozi mbaya la hasha, Ila bado kuna mambo hayaendi sawa. Wezi wanatulaza macho, huwezi amini nyumba yako Ila usiku kucha unawaza kuwa mlinzi. Mh Makonda ni mtu ambae kwenye utendaji Hana simile. Wizara itabadilika hii, Mama fanya jambo hii wizara inataka Mtu mtata,mbishi na jasiri.
Najua Kuna nafasi za ubunge wa kuteuliwa bado zipo wazi, fanya jambo mama.
2) Mkuu wa mkoa wa Dar
- Watu wanasema TZ ipo dar, kuna ukweli hapo.
Aliyepo ni mzuri Ila yupo slow Sana,Kuna mambo mengi yamekwama kunahitajika Mtu wa ku-push mambo yaende. Huu mkoa unahitaji Mtu mtata sana aina ya makonda.
Mama fanya jambo, aina ya watu kaama Mh.Makonda sio wa kuwaacha kwenye utawala wako. Jembe hili, Field Marshall
Chini ni picha ya Field Marshall Paul Makonda
View attachment 1747676
Kakutuma naonaa unajitahidi sana hata aibu huoni.....akae benchi kwa sasa viongozi wameshachaguliwa tayari hata ubunge wa kupewa hajapewa....Subiri utaelewa tu mwisho wa siku
Sambwanda tu lipoBashite kama bashite! Mie naona ana body zuri tu menginr sijaelewa[emoji1784]
Hivi una elewa maana ya Field Marshall "?Weka mapungufu pembeni, Makonda ni kiongozi mzuri Sana.
Hakuna binadamu asiye na mapungufu(kasoro), Kama yupi nionyesheni. Mh. Makonda ni kiongozi mzuri ambaye kwa wakati huu utawala huu atatusaidia sana.
Mama Samia ikikupendeza fanya jambo kwa huyu Mtu, Kuna sehemu mbili naziona ana-fit Sana.
1) Waziri wa mambo ya ndani
- Simaanishi aliyepo ni kiongozi mbaya la hasha, Ila bado kuna mambo hayaendi sawa. Wezi wanatulaza macho, huwezi amini nyumba yako Ila usiku kucha unawaza kuwa mlinzi. Mh Makonda ni mtu ambae kwenye utendaji Hana simile. Wizara itabadilika hii, Mama fanya jambo hii wizara inataka Mtu mtata,mbishi na jasiri.
Najua Kuna nafasi za ubunge wa kuteuliwa bado zipo wazi, fanya jambo mama.
2) Mkuu wa mkoa wa Dar
- Watu wanasema TZ ipo dar, kuna ukweli hapo.
Aliyepo ni mzuri Ila yupo slow Sana,Kuna mambo mengi yamekwama kunahitajika Mtu wa ku-push mambo yaende. Huu mkoa unahitaji Mtu mtata sana aina ya makonda.
Mama fanya jambo, aina ya watu kaama Mh.Makonda sio wa kuwaacha kwenye utawala wako. Jembe hili, Field Marshall
Chini ni picha ya Field Marshall Paul Makonda
View attachment 1747676