Je, tutegemee Ridhiwani kuvaa viatu vya baba yake au bado hana ukomavu wa kisiasa?

Je, tutegemee Ridhiwani kuvaa viatu vya baba yake au bado hana ukomavu wa kisiasa?

Girland

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2016
Posts
2,489
Reaction score
4,253
Ndugu zangu, Jana usiku tumepokea taarifa kupitia ukurasa wa Ikulu mawasiliano juu ya Utenguzi na Uteuzi. Habari kubwa ni kuhusu kutenguliwa kwa aliyekuwa waziri wa mambo ya nje ndg January Makamba pamoja na Ndg Nape Nnauye aliyekuwa waziri wa mawasiliano na teknolojia ya Habari.

Sasa wengi wamejielekeza kuhusu utenguzi huo, Mimi naomba tuangalie kwa jicho la tatu tunamuona aliyekuwa naibu waziri Mh Ridhiwani Kikwete sasa anakuwa waziri ofisi ya Waziri mkuu kwake hii ni promotion.

Kwakuwa mtoto wa nyoka ni nyoka, je tumtegemee Mh Ridhiwani kuvaa viatu vya baba yake au bado hana ukomavu wa kisiasa? Je, January anastahili nafasi nyingine? Au tumsapoti huko AU?

Je tutegemee mvurugano ndani ya chama tawala au ni mipango inasukwa?

Karibuni wanabodi
 
Ndugu zangu, Jana usiku tumepokea taarifa kupitia ukurasa wa Ikulu mawasiliano juu ya Utenguzi na Uteuzi. Habari kubwa ni kuhusu kutenguliwa kwa aliyekuwa waziri wa mambo ya nje ndg January Makamba pamoja na Ndg Nape Nnauye aliyekuwa waziri wa mawasiliano na teknolojia ya Habari.

Sasa wengi wamejielekeza kuhusu utenguzi huo, Mimi naomba tuangalie kwa jicho la tatu tunamuona aliyekuwa naibu waziri Mh Ridhiwani Kikwete sasa anakuwa waziri ofisi ya Waziri mkuu kwake hii ni promotion.

Kwakuwa mtoto wa nyoka ni nyoka, je tumtegemee Mh Ridhiwani kuvaa viatu vya baba yake au bado hana ukomavu wa kisiasa? Je, January anastahili nafasi nyingine? Au tumsapoti huko AU?

Je tutegemee mvurugano ndani ya chama tawala au ni mipango inasukwa?

Karibuni wanabodi
Hapana. Hapo ndiyo mwisho wa Rizwani labda ahamishwe wizara. Hana uwezo wowote.

Kinachomsaidia ni kwamba Baba yake anamlea vizuri kwenye kuropoka siyo mropokaji.

Lakini naomba kabisa usimtaje kwenye viti vya juu. Huyu ni kobe aliyewekwa kwenye mti tu.
 
Hapana. Hapo ndiyo mwisho wa Rizwani labda ahamushwe wizara. Hana uwezo wowote.

Kinachomsaidia ni kwamba Baba yake anamlea vizuri kwenue kuropoka siyo mropokaji.

Lakini naomba kabisa usimtaje kwenye viti vya juu. Huyu ni kobe aliyewekwa kwenye mti tu.
Kwanini unasema asitajwe au hajafikisha 40?
 
Back
Top Bottom