Je, Ualimu ni daraja la mwisho kwa utumishi?

Je, Ualimu ni daraja la mwisho kwa utumishi?

Ualimu ni kazi inayodharauliwa na Kila mtu
Walimu wako malaki huo utafiti wako uliufanya wapi? Akili huna wewe eti unadharaukiwa na kila pumbavu wewe

Ulihoji wapi?

Maraisi wengi nchi hii walikuwa walimu au watoto wa walimu

Nyerere alikuwa mwalimu akawa Raisi na mkewe alikuwa mwalimu ,Mwinyi alikuwa mwalimu mwenye diploma ya ualimu ya Makerere na akafundisha akawa Raisi na mkewe alikuwa mwalimu,Mkapa alikuwa Mwalimu

Kikwete alikuwa Mwalimu na mkewe mama Salma alikuwa mwalimu mkewe sasa ni mbunge wa jimbo sio viti maalumu wananchi waliheshimu ualimu wake wakqmpa kura

Magufuli alikuwa Mwalimu akifundisha lake sekondari na mkewe ni Mwalimu alikuwa akifundisha shule ya msingi Osyterbay


Mama Samia baba yake akikuwa Mwalimu

Wapiga kura mbona wote wanawapa kura walimu au watoto wa walimu



Kifupi mleta mada wahi mirembe utibiwe mapema ukichaa utapanda muda sio mrefu utatupa nguo na kutembea uchi barabarani
 
Walimu wako malaki huo utafiti wako uliufanya wapi? Akili huna wewe eti unadharaukiwa na kila pumbavu wewe

Ulihoji wapi?

Maraisi wengi nchi hii walikuwa walimu au watoto wa walimu

Nyerere alikuwa mwalimu akawa Raisi na mkewe alikuwa mwalimu ,Mwinyi alikuwa mwalimu mwenye diploma ya ualimu ya Makerere na akafundisha akawa Raisi na mkewe alikuwa mwalimu,Mkapa alikuwa Mwalimu

Kikwete alikuwa Mwalimu na mkewe mama Salma alikuwa mwalimu mkewe sasa ni mbunge wa jimbo sio viti maalumu wananchi waliheshimu ualimu wake wakqmpa kura

Magufuli alikuwa Mwalimu akifundisha lake sekondari na mkewe ni Mwalimu alikuwa akifundisha shule ya msingi Osyterbay


Mama Samia baba yake akikuwa Mwalimu

Wapiga kura mbona wote wanawapa kura walimu au watoto wa walimu



Kifupi mleta mada wahi mirembe utibiwe mapema ukichaa utapanda muda sio mrefu utatupa nguo na kutembea uchi barabarani
Kikwete alikuwa Mwalimu wapi?
Huyu alikuwa Mchumi

Mkapa alikuwa mtaalamu wa Lugha , huo Ualimu kasomea wapi?
Baadae akawa anaandika kwenye Magazeti ya kiingereza kutokana na umahiri wa lugha ya kiingereza.
 
Kikwete alikuwa Mwalimu wapi?
Huyu alikuwa Mchumi

Mkapa alikuwa mtaalamu wa Lugha , huo Ualimu kasomea wapi?
Baadae akawa anaandika kwenye Magazeti ya kiingereza kutokana na umahiri wa lugha ya kiingereza.
Kikwete alikuwa mwalimu wa siasa jeshini

Mkapa alikuwa mwalimu chuo.cha uandishi wa habari
 
Kikwete alikuwa mwalimu wa siasa jeshini

Mkapa alikuwa mwalimu chuo.cha uandishi wa habari
Kifupi ukufunzi sio Ualimu,
Nenda kaulize kwanza ili ujue mkufunzi ni nani haswa.
Hiyo ni taaluma nyingine kabisa haiusiani na utopolo wa education.

Pili Taaluma yake ya kiraia ilikuwa ni Uchumi ambapo alipata gentleman degree.

Hakuna sehemu aliyowahi kusema yeye alikuwa Mwalimu.

Yeye ni Mchumi kama mwigulu Kwisha.

Kuhusu mkapa ngoja niiangushe Cv yake ili tuone Ualimu alisomea wapi?
 
Mtumishi wa umma yeyote chini ya TGS/G ni shida tu, na hata hao juu ya hapo kama sio kujipimia kulingana na urefu wa kamba zao bado sana
 
Kuna kitu kinaitwa re categorization, huwa mara nyingi naona watu wanatoka ualimu kwenda uhasibu, uchumi, uanasheria, nk ila ni nadra sana kusikia mtu anaomba recategorization atoke uhasibu, uchumi nk kwenda ualimu. Sababu ni nini hasa?
Kwenye nchi zenye wapumbavu wengi mwalimu lazima aonekane hana maana. Nadhani unachokishangaa ndicho hakieleweki kwa walio wengi na mbaya sana hata wale ambao uelewa wao haukupatikana isipokuwa kutoka kwa walimu haohao, nao hawaelewi maana ya mwalimu. Nchi ya wapumbavu hupatikana kwa kupuuza walimu
 
Kwenye nchi zenye wapumbavu wengi mwalimu lazima aonekane hana maana. Nadhani unachokishangaa ndicho hakieleweki kwa walio wengi na mbaya sana hata wale ambao uelewa wao haukupatikana isipokuwa kutoka kwa walimu haohao, nao hawaelewi maana ya mwalimu. Nchi ya wapumbavu hupatikana kwa kupuuza walimu
Ahsse
 
Kwenye nchi zenye wapumbavu wengi mwalimu lazima aonekane hana maana. Nadhani unachokishangaa ndicho hakieleweki kwa walio wengi na mbaya sana hata wale ambao uelewa wao haukupatikana isipokuwa kutoka kwa walimu haohao, nao hawaelewi maana ya mwalimu. Nchi ya wapumbavu hupatikana kwa kupuuza walimu
Labda kwavile mwalimu hana maslahi makubwa kama hao wengine
 
Kuna kitu kinaitwa re categorization, huwa mara nyingi naona watu wanatoka ualimu kwenda uhasibu, uchumi, uanasheria, nk ila ni nadra sana kusikia mtu anaomba recategorization atoke uhasibu, uchumi nk kwenda ualimu. Sababu ni nini hasa?
Ualimu wa wapi hasa? Wapo waliobobea kwenye, uanasheria, uhasibu, udaktari ambao huenda kufundisha vyuo vinavyohusiana na taaluma zao.
Dunia ya kwanza ndio kabisa, Amina Condoleeza Rice ni mhadhiri chuo kikuu baada ya kuwa Secretary of State US.
 
Ualimu wa wapi hasa? Wapo waliobobea kwenye, uanasheria, uhasibu, udaktari ambao huenda kufundisha vyuo vinavyohusiana na taaluma zao.
Dunia ya kwanza ndio kabisa, Amina Condoleeza Rice ni mhadhiri chuo kikuu baada ya kuwa Secretary of State US.
Ualimu, aDiploma in Education or bachelor in Education, hawa wa sekondari na msingi
 
Hakuna anaependa kufanya kazi isiyo na maslahi makubwa, ni hali ya maisha tu na kila mtu anaijua historia yake ni wapi ametoka, unaemdharau kwa kazi yake ya ajabu kumbe huko kwao anathaminiwa na anawasaidia kupitia hiyo kazi, akiiacha kwamtazamo wako wa kuwa ni kazi mbaya hakuna siku utakayomsaidia kulisha familia yake.
Kwahiyo acheni wapambanie maisha yao
 
Labda kwavile mwalimu hana maslahi makubwa kama hao wengine
Angesomea masomo yenye maslahi makubwa

Mtu anasoma masomo mdebwedo halafu anataka maslahi makubwa

Alipokuwa akisomea ualimu hayo masomo magumu yenye maslahi mbele makubwa alikuwa anayaona au hayaoni?
Mwalimu yeyote anayekereka abadili fani akasome hayo.magumu yenye maslahi hakuna anayemzuia
 
Angesomea masomo yenye maslahi makubwa

Mtu anasoma masomo mdebwedo halafu anataka maslahi makubwa

Alipokuwa akisomea ualimu hayo masomo magumu yenye maslahi mbele makubwa alikuwa anayaona au hayaoni?
Mwalimu yeyote anayekereka abadili fani akasome hayo.magumu yenye maslahi hakuna anayemzuia
Hata wale wanaofundisha Advanced physics & Mathematics nao ni mdebwedo?
 
Hata wale wanaofundisha Advanced physics & Mathematics nao ni mdebwedo?
Hayo masomo ya education utalinganisha na masomo pure ya engineering? Ugumu wake? Mtu wa PCM aliyeenda kusomea digrii ya Engineering utamlinganisha nabwa PCM aliyeenda kusomea digrii ya ualimu wa fizikia na Mathematics? Unaota wewe

Degree ya engineering anatakiwa kuwa mbunifu hatari

Mwalimu analikuta syllabus lipo.hapo miaka nenda rudi kazi yake kulifuata tu na linajirudia hilo hilo kila mwaka hadi akili yake inalala sababu hana kipya atabuni nje ya syllabus anakuwa kama kasuku tu kurudia yale yale year after year
Engineer lazima awe innovative kutegemea na project sababu hazifanani kichwa lazima kichemke
 
Back
Top Bottom