Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Wapendwa ss hivi nimewekewa limit na shemeji yenu ikifika saa 6 nilale haijalishi niko zone ipi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kikubwa Tz ikisomeka saa 00:00 kuchat mwisho, hivo kwaherini ndoa tamu [emoji12]
🤣🤣🤣🤣🤣Kunguru anafugika Kweli.?vina muda basi
 
Naomba mtu mmoja apitie ninayoandika then aniambie mi ni mtu wa namna gn na pia na haiba ipi
Akiwa sahihi 80% aniruhusu nim-PM apate muamala wa Moja baridi Moja moto

[emoji120]Npo serious
changamoto wakati mwingine ni kuwa: hata wewe mwenyewe hujiui ni mtu wa namna gani.

do you know yourself?
 
Mhhhhh!!
 
Wapendwa ss hivi nimewekewa limit na shemeji yenu ikifika saa 6 nilale haijalishi niko zone ipi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kikubwa Tz ikisomeka saa 00:00 kuchat mwisho, hivo kwaherini ndoa tamu [emoji12]
Ndoa wapi ww! Haya ntag location tukapate tuvitu vitu unalalaje saa sita na wakati bar......au bas
 
Mwamba kama mzabzab au Mzee wa kupambania usiamini sana maneno yao ya kugegeda🤣
Sasa jamani kugegeda kuna mtu asiependa? Ni kwamba tuu mie nalopoka ukweli wa yale yanayotokea pale mwanamke na mwanaume wanapokuwa uchi basi. Its a perfectly natural thing. Ndio starehe pendwa nambari one hapa duniani
 
Huna lolote baya wewe!yaani naamini wewe ni just a normal person na sio kiwembe kama unavyotudanganya....Acha uongo mkuu🤣
Wee kama uanaamini hivyo who am i to argue against that.
Ila waulize tuu wale mademu wa jf ambao nilishapita nao kama hawaisomi namba kwa sasa🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…