ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Hali ya hewa na haya maneno yako🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wacha tu inyeshe tuone inapovuja.......achana na wapiga kelele kama kina mzab na washirika wake wanazongua sana hao hawafocus kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hali ya hewa na haya maneno yako🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wacha tu inyeshe tuone inapovuja.......achana na wapiga kelele kama kina mzab na washirika wake wanazongua sana hao hawafocus kabisa
Nimekuelewa vizuri 🤣🤣🤣Hali ya hewa na haya maneno yako🤣🤣
Oh word?I said with tongue in cheek.
Nataka kuzaa na mganga wa kike.🙆🙆🙆🙆 Yes karibu utibiwe
Shauri yako utaliwa ushangae🤣🤣🤣🤣Kwamba ye ni mtu hatari?huyo hana tofauti na Mandonga mtu kazi...
Wewe huko kwenye group hawawezi funguka maana wanajua mtawasimanga..yaani kweli umempa mbususu yako mzabzab 🤣🤣🤣🤣Mbona kwenye group letu la wadada private umeonekana wewe ni pasta?hujatongoza hata mmoja,,,ila Kuna wenzio ambao ni wapoleee wameshika number za juu sana hongera👍🤣🤣
Hangover za chui lite hizoSijui kawaza Nini kukufananisha na wambwindembwinde
We ni kama Mandonga mtu kazi🤣🤣🤣Wewe huko kwenye group hawawezi funguka maana wanajua mtawasimanga..yaani kweli umempa mbususu yako mzabzab 🤣🤣🤣🤣
Njoo uonje utamu wa kibamia wewe
Kweli alichanganya na rose tequilaHangover za chui lite hizo
😀😀😀Wewe huko kwenye group hawawezi funguka maana wanajua mtawasimanga..yaani kweli umempa mbususu yako mzabzab 🤣🤣🤣🤣
Njoo uonje utamu wa kibamia wewe
Mshikaji uko poa ?Sema hapa umenena pia...unaweza muona mtakatifu kumbe m$enge tu...wengi hujificha humo
Salama Kamanda,Mungu mwemaMshikaji uko poa ?
Unaelewa maana ya utambulisho batili?Habari wakuu,
Husika na kichwa tajwa,
Pamoja na kuwa hatuwezi kujuana kwa kwa majina wala sura zetu.
Ila katika kuandika kwetu mambo mbalimbali au hoja mbalimbali Kuna uwezekano wa mtu akajua we ninani.
Kila member huwa ana hoja zake anazoweka katika majukwaa..
Wengine huweka hoja zao siasa, wengine hoja na mchanganyiko..
Kuna wanoweka hoja zao kidini yaani ukiingia huko ni yeye..
Njoo kwa mahusiano na mapenzi huko nako kuna watu huko..
Sasa kuna wale wa chit chat huko nao utawakuta wanajifurahisha zao...
Kifupi katika kupita huko lazima utamjua member yupi na anatabia Gani..
Tuambie uandishi wa member unaweza mjua tabia yake...
Tuambie member nani na anatabia ipi...
Kivumbi kinatimka
Nakumisss sana forget you not my Friend.Salama Kamanda,Mungu mwema
Haupo peke yako; mpo wengi ila wengine wamejificha. You are the best kwa sababu wewe upo wazi. Mimi napenda sana watu ambao wako wazi.
Yaani hujui kabisa kumsoma mtu kupitia uandishi wake 😹😹😹Mimi naanza na To yeye,huyu ukimsoma hapa utasema ni Dada mmoja machachari sana ila kiuhalisia nahisi ni mtu mmoja mtaratibu sana,sio muongeaji sana,so hapa jf ndio sehemu ambayo anajiachia bila aibu wala kumuhofia mtu.
Thibitisha hilo with vivid evidence.Yaani hujui kabisa kumsoma mtu kupitia uandishi wake 😹😹😹
Hakuna lolote,hao wenye story sijui za ulozi na uganga wengi wao ni wapigaji tu,hii ni Dunia ya Sayansi na teknolojia,enzi za huo ujinga ujinga zilishapita,Haupo peke yako; mpo wengi ila wengine wamejificha. You are the best kwa sababu wewe upo wazi. Mimi napenda sana watu ambao wako wazi.
Angalau namfahamu mtu humu jukwaani ambaye anaweza akawa yuko juu yako
How do you prove vitu kwenye Spritual Sayansi (SS) kwa kutumia Emperical Science (ES)?Hakuna lolote,hao wenye story sijui za ulozi na uganga wengi wao ni wapigaji tu,hii ni Dunia ya Sayansi na teknolojia,enzi za huo ujinga ujinga zilishapita,
Wataendelea kuwaaminisha wajinga wajinga wasio jielewa tu.