FAHAD KING
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 301
- 375
Tunasubiria Lecture ChiefNtakuja kuelekeza mkuu now kuna kazi nafanya
Mfano Mimi naweza kushika vitu thelathini vilivo kwenye mpangilio hard thing ila ni somo zuri sana ukilielewa
Namba za simu nawza nisizisave ila nkazshaka at the leap of the point
Nikipata muda nitaelekeza kwa lugha rahisi sana
Ubongo ndio kila kitu nitakuelekeza mkuu wangu@Baba Swalehe mkuu kuna kausemi maarufu unamkuta mtu anamwambia mwenzie "embu fikiri kwa kutumia ubongo"yani inamaana mwanadamu ana kitu kingine anachotumia kufikiri ukiacha ubongo ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa tumevamia mada ya watu lakini [emoji23]Tunasubiria Lecture Chief
Sent from my SM-A750F using Tapatalk
Sorry, hivi akili sio ubongo?Hivi kwanza AKILI katika mwili wa mwanadamu iko wapi ?
Je ni MOYONI au kwenye UBONGO ?
sioSorry, hivi akili sio ubongo?
Akili kwa kingereza ni nini? Sio brain?
Chief hii JF yoyote mwenye hoja anaruhusiwa kubandika bandiko humu..Freely
HahahaKumbe hujaacha ujinga pamoja n maarifa yote uliyonayo
Jr[emoji769]
Asante Baba Swalehe.
Nelly , akili kwa kingereza ni nini?
Samahani chiefAsante Baba Swalehe.
Asante kwa darasa.
Japo sisi wa "hkl" kidogo itabidi turudie rudie kusoma ili kuelewa kwa sababu umeelezea kitaalamu (kitaaluma) sana.
dogo acha zarauHahaha
Sawa chief kuna swali lolote mkuu wangu
Sina mambo binafsi na mtu rafiki.. Tuko kwenye mada.. Tuendelee kujifunza na kuchangia kwa weledi maarifa na uzoefuMshana jr na Baba Swalehe mnatuharibia mada na mambo yenu binafsi. Mfute sasa comments zenu za malumbano tuendelee kupata elimu.
Hii seizures inayofanya mtu anaondolewa nusu ya ubongo wake ni ugonjwa gani? I mean unakuwaje?
Sawa, enhe endeleeni kutupa darasa.Sina mambo binafsi na mtu rafiki.. Tuko kwenye mada.. Tuendelee kujifunza na kuchangia kwa weledi maarifa na uzoefu
Jr[emoji769]
Ubongo unafanya kazi bado lakini kwenye sub conscious state... Ni kama blackout kwenye simu hakuna mwanga lakini haimaanishi haiko hewani au ni kama unapozima taa nknkSawa, enhe endeleeni kutupa darasa.
Mimi nataka kujua mtu akiwa Coma, huwa anakuwa kama amekufa au ubongo unaendelea kufanya kazi? Hasikii yanayoendelea?
Ugonjwa kama hemimemagalencephalyHii seizures inayofanya mtu anaondolewa nusu ya ubongo wake ni ugonjwa gani? I mean unakuwaje?