Je, Uchawi una mchango wowote katika kukuza Biashara?

Imani nzuri kabisa! Stress free zone
 
Uyo napiga nagalagaza kwenye moto! But hata wazungu wanafanya hizi makitu
 
Zindiko linampa Nani mamlaka ya kulinda bness? Je, ukishazindika nini kinatoa ulinzi hapo? Kama ni Majini basi ni Uchawi huo
 
Huu ushahidi bado haujitoshelezi mkuu, mm nilifikiri baada ya ripoti kufika kwa mtaalamu pesa zikarudi katika mazingira ambayo na wewe ya kuliacha katika wakati mgumu bila kuelewa nini kilitokea.
Walirudishaje?
 
Huu ushahidi bado haujitoshelezi mkuu, mm nilifikiri baada ya ripoti kufika kwa mtaalamu pesa zikarudi katika mazingira ambayo na wewe ya kuliacha katika wakati mgumu bila kuelewa nini kilitokea.
Hii ya kurudisha mali iliyoibwa ipo. Kuna sehemu panaitwa baraki(mara) kulikuwa kuna bibi mmoja mjaruo (sijui kama bado yupo hai) kama ukiibiwa ukaenda kwake anakwambia ulete udongo au mchanga wa sehemu kile kitu ulkipokuwa umekiweka kabla ya kuibiwa. Ndan ya siku 2-3 utamkuta yule aliye iba amekirudisha anakusubiria akukabidhi.
 
Kweli tupu mzee baba, umetisha sana
 
Huyo jamaa ni Mpare au Mchagga maana hawa watu wana vitu vya hajabu sana na hawaoni hasara kuharibu ama kuua watoto wao ili tu wapate kuwa matajiri.
 
Sad truth
 
W
Wachina wana nini naskia skia tu
 
Utajiri una siri nying sana ndani yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…