Je, Uchawi una mchango wowote katika kukuza Biashara?

Je, Uchawi una mchango wowote katika kukuza Biashara?

Kaka mimi nina practice ujasiriamali, ninaweza kuwa vijana wachache wenye CPA lakini nikaamua kuwa mjasiriamali na kujikita kkoo, na sikuwahi kutaka kwenda kwa mganga, niliangaika sana karibu miaka sita napanda, nashuka, maisha hayasogei.
Nilikuja kuanza kuona mafanikio baada ya kukubali kuwa mtakatifu kweli, mimi lazima niwe na maombi asubuhi nusu saa, usiku nusu saa.
Biashara zangu hazigusiki na hili shetani analijua.
Mimi kabla ya kufungua duka, lazima niwe na siku 30 za maombi ya kufunga ndio nianze biashara mpya, bila kufanya hivyo najua hiyo biashara haitasimama.
Kila mwaka mwanzoni kabisa lazima nifunge siku 30 kuikabidhi biashara kwa Mungu. Hapo sijakuambia kwa habari ya sadaka.
Kama hizi sheria huziwezi usije kariakoo, otherwise nenda kwa waganga.
Sasa wewe njoo na maarifa yako bila nguvu ya kiroho kama hujafirisika mpaka Ukose hela ya nauli
Hongera Sana kuchagua upande wa mwanga, maana it is either giza or mwanga na usimame kweli kweli otherwise giza linakuvuta. Ndg yangu usirudi nyuma!
 
Wewe una maarifa upande wa pili.
Kwa upande wa Mungu mafanikio yanawezekana kama ukiwa muombaji na mtoaji na utakatifu, inawezekana kabisa.
Bila Baba yangu mzazi(marehemu sasa) alikuwa mchungaji, yeye nilipomwambia nataka niwe mjasiriamali, aliniambia kabisa mwanangu please kaajiriwe, sababu utaashia kuwa mshirikina tu, na itakuwa aibu mtoto wa mchungaji kuwa mshirikina.
Nikamwambia baba sitaenda kwa mganga.
Akaniambia ukitaka kuwa mfanyabiashara inabidi uache huo ulokole wa kusali jumapili, inabidi uwe muombaji wa kila siku.
Nikaanza biashara na ulokole wa kuunga unga kilichonipata, niliuza mpaka gari yangu, kiwanja changu nilivyovipata kwenye ajira, baba yangu akaniambia, nilikuambia mwanangu rudi kwenye ajira, biashara inahitaji uchawi sana au muombaji sana.
Kwa mara ya kwanza nikaanza kufunga na kuomba.
Unajua Nini nilifunga siku 30 ili nirudi kwenye biashara again....
Nilifanikiwa lakini ilinichukua almost 3 years kurudi kwenye ramani.
Leo hii, mimi siwezi kufungua duka bila kupitia Kijitonyama KKKT, kusali misa ya asubuhi. Ijumaa lazima niende kwenye mkesha, yale yale aliyoniambia baba yangu ilinidi nikubali ili biashara iende
Kwa sauti ya ulimwengu huu hautaeleweka!
 
Wiki iliyopita nilitoka Moshi nikaenda kumtembelea classmate wangu pale Arusha. Jamaa ni engineer wa computer. Jumapili baada ya kula Ibada Safi na kwaya kali pale St. Theresa tuli-mount XR 250 na tukaenda kufunga Camera za usalama kwa nyumba mpya ya Tajiri mmoja wa Kanda ya Ziwa. Huyu mjuba kajenga mjumba wa kuishi wa ghorofa mbili. Pale kwake pazuri asee, kama Ikulu ati.

Basi tukiwa tunakomaa na kazi (mie sio mtaalam but nilikua Nampa kampani msela) jamaa alikuja na Range lake kutuletea Vifaa kadhaa. Baada ya kukabidhi alisepa. Basi jamaa yangu akawa ananiongelesha kwa kispanish chetu cha kuunga unga na solotepu. Akanambia huyu mjuba ni mchawi balaa. Pale kwake tulikuta watoto wawili wa kiume mandondocha wanatematema udenda tu. Jamaa akanambia ni watoto wake wa kuzaa kabisa na ndo wanalinda business zake. Yes, jamaa Ana biashara kubwa ya Hardware na electronics. Nasikia pia Ana Real estate bila kuhesabu biashara nyingine huko kwao! Pale tu nilihesabu magari 4 makali bila kuhesabu maroli ya biashara. Alikua na chale Kadhaa usoni na mikononi. Inasemekana biashara zake kazizindika kwa makafara balaa!

Sasa tujiulize, je, Uchawi una nafasi gani katika kukuza Biashara? Kuna ukweli wowote katika kuinua biashara?

Je, kwa nini tusiusome ktk masomo ya vyuoni kwa maendeleo ya umma?
Unachopaswa kujua tu ni kwamba inapoishia sayansi ndio uchawi unaanzia hapo kwenda mbele.
 
Ngoja nikupe elimu kidogo kuhusu utajiri
Kwanza kuanzia Leo utambue hili, Mungu alipomuumba Adam na Eva aliwapa utajiri wote wa duniani na fahari zake wazimiliki, lakini walipohasi kwa Mungu kwa kumsikiliza shetani, utajiri wote wa duniani ukawa ni Mali ya shetani, wanadamu hatumiliki tena utajiri wa hapa duniani.
Sasa ili kuwa tajiri una options mbili tu
(1) umuombe shetani akupe sehemu ya utajiri anaomiliki, hii inawezekana kama ukikubaliana na masharti yake, na siku ukienda kinyume anakunyang'anya.
(2) umuombe Mungu akupe sehemu ya utajiri alioushikilia Shetani, na hii inawezekana kama utakuwa muombaji sana na mtakatifu haswa, kumyang'anya shetani sehemu ya utajiri wake si rahisi kihivyo.

Usijidanganye kama unaweza kuwa tajiri kwa kufuata seminar za motivation speaker peke yake, utajiri wote anao shetani, ni either uungane naye au upambane kumyang'anya.
Yaani mkuu hapa ndo umemaliza kila kitu sikuzote kwenye biashara chagua upande mmoja either Mungu au shetani na usimame kwa bidii kwelikweli Sasa unakuta mtu yupoyupo tu kuomba haombi, kuzindika hazindiki halafu anasema Mungu atanisaidia😄😄 kwa mfano mtu wa upande wa giza siku zote Wana juhudi Sana na watiifu Sana akiambiwa kazunguke uchi kwenye biashara yako saa name usiku anatii na anafanya, kavunje Nazi round about anafanya🤣🤣.njoo Sasa kwa mtu anayemtegemea Mungu kwanza wengi ni wavivu wa kuomba na pia sio watii fungu la kumi tu anaiba kwa hiyo tunakwama hapa
 
Dunia inaendeshwa kwa uchawi ila wenye akili pana ndio wanafaidi hasa wazungu maajabu nimeyaona kwa mama wa kifaranga noma sana
Mama wa kifaranga alifanyaje mkuu?
 
Ngoja nikupe elimu kidogo kuhusu utajiri
Kwanza kuanzia Leo utambue hili, Mungu alipomuumba Adam na Eva aliwapa utajiri wote wa duniani na fahari zake wazimiliki, lakini walipohasi kwa Mungu kwa kumsikiliza shetani, utajiri wote wa duniani ukawa ni Mali ya shetani, wanadamu hatumiliki tena utajiri wa hapa duniani.
Sasa ili kuwa tajiri una options mbili tu
(1) umuombe shetani akupe sehemu ya utajiri anaomiliki, hii inawezekana kama ukikubaliana na masharti yake, na siku ukienda kinyume anakunyang'anya.
(2) umuombe Mungu akupe sehemu ya utajiri alioushikilia Shetani, na hii inawezekana kama utakuwa muombaji sana na mtakatifu haswa, kumyang'anya shetani sehemu ya utajiri wake si rahisi kihivyo.

Usijidanganye kama unaweza kuwa tajiri kwa kufuata seminar za motivation speaker peke yake, utajiri wote anao shetani, ni either uungane naye au upambane kumyang'anya.
Huu ndo ukweli
 
k
Kaka mimi nina practice ujasiriamali, ninaweza kuwa vijana wachache wenye CPA lakini nikaamua kuwa mjasiriamali na kujikita kkoo, na sikuwahi kutaka kwenda kwa mganga, niliangaika sana karibu miaka sita napanda, nashuka, maisha hayasogei.
Nilikuja kuanza kuona mafanikio baada ya kukubali kuwa mtakatifu kweli, mimi lazima niwe na maombi asubuhi nusu saa, usiku nusu saa.
Biashara zangu hazigusiki na hili shetani analijua.
Mimi kabla ya kufungua duka, lazima niwe na siku 30 za maombi ya kufunga ndio nianze biashara mpya, bila kufanya hivyo najua hiyo biashara haitasimama.
Kila mwaka mwanzoni kabisa lazima nifunge siku 30 kuikabidhi biashara kwa Mungu. Hapo sijakuambia kwa habari ya sadaka.
Kama hizi sheria huziwezi usije kariakoo, otherwise nenda kwa waganga.
Sasa wewe njoo na maarifa yako bila nguvu ya kiroho kama hujafirisika mpaka Ukose hela ya nauli
kabla hujaomba Mungu alikua hajui
Mbona una umri average, lakini hujui vitu vingi.
kuamini imani za kijinga za kishirikina ndio kujua vitu vingi,sumbawanga kuna matajiri wangapi
 
Back
Top Bottom