Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaah hapo sawaI meant utajiri
sasa kaka kama MUNGU mwenyewe kunyang'anya shetani kasehemu kautajili kadogo tu anipe mimi, JEE???? mimi mwanadamu ambae sijakamilika ntaweza?????????Ngoja nikupe elimu kidogo kuhusu utajiri
Kwanza kuanzia Leo utambue hili, Mungu alipomuumba Adam na Eva aliwapa utajiri wote wa duniani na fahari zake wazimiliki, lakini walipohasi kwa Mungu kwa kumsikiliza shetani, utajiri wote wa duniani ukawa ni Mali ya shetani, wanadamu hatumiliki tena utajiri wa hapa duniani.
Sasa ili kuwa tajiri una options mbili tu
(1) umuombe shetani akupe sehemu ya utajiri anaomiliki, hii inawezekana kama ukikubaliana na masharti yake, na siku ukienda kinyume anakunyang'anya.
(2) umuombe Mungu akupe sehemu ya utajiri alioushikilia Shetani, na hii inawezekana kama utakuwa muombaji sana na mtakatifu haswa, kumyang'anya shetani sehemu ya utajiri wake si rahisi kihivyo.
Usijidanganye kama unaweza kuwa tajiri kwa kufuata seminar za motivation speaker peke yake, utajiri wote anao shetani, ni either uungane naye au upambane kumyang'anya.
Manyau nyau yule kajenga kwa UTAPELI, Hakuna uganga pale. Anawapiga wateja wake then anajenga. Just like Akina Gwajima na MwamposaMkuu unataka kusema manyau nyau yuko vibaya hahahaaa labda haumfaham vzur yule jamaa ana nyumba ninazozijua anapangisha si chin ya nne iyo n tabata tuu na izo nazijua sababu sister wangu amepanga
hawa jamaa hawajielewi wanaamini upuuzi.kusingekua na silaha za moto watu wangerogana tuUnakuta mganga mwnyw hata baiskeli Hana, eti anazindika magari ya bilionea!
Davistar mata, huwa anawahoji watu waliopitia mikasa mbalimbali; walipata pesa za kichawi kwa kuharibu familia zaoInaitwaje
Nitachungulia nione kama yaliyomo yamo. Asante
Siku moja yote ? Hapa mtaani yapo matano kianzioIla connection za makanisa ya kilokole na yw kinabii unaweza kupata hata 20 ndani ya siku moja tu.
Kutokuamin kitu haina maana kuwa hakipo au hakiwezikanihizi ni porojo tu au hadithi za abunuwasi
Sio kweliUsidanganye watu hakuna biashara inayosimama bila zindiko.
Nimekuelewa saaana Tena saana kabisa huo ndiyo Ukweli ukitafuta ukweli mwingine itakuwa uongoNgoja nikupe elimu kidogo kuhusu utajiri
Kwanza kuanzia Leo utambue hili, Mungu alipomuumba Adam na Eva aliwapa utajiri wote wa duniani na fahari zake wazimiliki, lakini walipohasi kwa Mungu kwa kumsikiliza shetani, utajiri wote wa duniani ukawa ni Mali ya shetani, wanadamu hatumiliki tena utajiri wa hapa duniani.
Sasa ili kuwa tajiri una options mbili tu
(1) umuombe shetani akupe sehemu ya utajiri anaomiliki, hii inawezekana kama ukikubaliana na masharti yake, na siku ukienda kinyume anakunyang'anya.
(2) umuombe Mungu akupe sehemu ya utajiri alioushikilia Shetani, na hii inawezekana kama utakuwa muombaji sana na mtakatifu haswa, kumyang'anya shetani sehemu ya utajiri wake si rahisi kihivyo.
Usijidanganye kama unaweza kuwa tajiri kwa kufuata seminar za motivation speaker peke yake, utajiri wote anao shetani, ni either uungane naye au upambane kumyang'anya.
Kwani mlinzi wa rais ni rais?Siamini hivyo vitu, mganga sasa nyumba ya nyasi na watoto viriba tumbo huku wake zake wanne wakiwa hawana nuru kabisa.
Hakuna Agent anayekubali kuneemesha wenzie huku hali yake ikiwa pangu pa kavu.Kwani mlinzi wa rais ni rais?
Ukilitafakari vizuri hilo swari hutashangaa wala kujiuliza uliyoyasema. Witch doctor is just an agent
Mbona sijasemea Imani ya mtu? Nimemsapoti kwa Imani Yake, Pana shida gani?Kwani giza likimvuta kuna shida gani, ni nini kinachokuthaminisha kusema hiki ni giza na hiki ni nuru, imani mmezaliwa mmezikuta, mtakufa mtaziacha,
Namuheshim mtu anayejua kua kuna imani mbalimbali duniani, kila mmoja lazima ajue mpaka wake, baki katika imani yako na kua na ibada yako unayoijua na kuiamin wewe, mimi ntamuona mtu mpumbavu kama akiinanga imani ya mwingine kana kwamba aliyopo yeye ndio ya maana sana.