Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Hii Nicole shule kabisa,
Kiukweli financial services usipoelewa Hapa ndo Basi Tena, mwamba katiririka vzur sn
 
Ndugu mjumbe wa kamati kuu ya kudumu ya chama cha VIDUME. tunashukuru kwa jibu lako maridhawa, umetuwakilisha vema na mada ifungwe hapa.
Naomba jibu lako liwe marking scheme kwa swali la bi financial services wengine wenye swali kama la bibie wapige chabo kwako kupata jibu la marks 98%
 
🀣🀣🀣 Unatafuta umbea huna lolote
A ha ha ha nimecheka sana mkuu, jirani bana fanya kunipa code tare 14 nasisi tuwe namtoko wetu, tubadilishane mawazo kama majirani. Tuweke mpango kazi wakuishauri Serikali ipige Rami hii Barabara yakutoka kimara mpaka B-mwisho . Nipe kampani jirani tutoke wote.
 
Jirani tutaenda bar ya karibu tukanywe balimi ili tukilewa tusisahau njia ya kurudi nyumbani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Jirani tutaenda bar ya karibu tukanywe balimi ili tukilewa tusisahau njia ya kurudi nyumbani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Haya ndio maneno sasa jirani ambayo nataka kuyaona na kuyasikia, asante sana jirani, namba yangu niileile.
 

Lazima uishi kutokana na wakati ulipo

Wanawake wa zaman na sasa ni tofaut kila kitu ni kama new generation imekuja duniani

So lazima na mfumo wako pia ubadilike

Wanawake wa zaman lazima awe na bustan ya mboga mboga and wanawake wa sasa hivi mboga anakwenda kununua shoppars

Hata wanaume now tuko tofauti na wale wa zamani

So kinachotakiwa ni kwenda na mfumo and not history
 
Kwanini hauna watoto au familia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…