Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Kuna kitu nahitaji kuwafunza mabinti ambao hawajafika 30.

Ukipata mpenzi ukamuona ana hofu ya Mungu, maisha yake yapo wazi hasa tabia zake, anakupenda kwa dhati, yupo tayari kukutambulisha kwa ndugu zake na kwa familia yake.

Yamkini asiwe na kipato kikubwa sana ila ana uwezo wa kufanya wote mle na mkalala, ISHI HAPO.

Acha tamaa za kutaka uolewe na mwanaume mwenye pesa, anayefanya kazi TRA, bandari, mfanyabiashara mkubwa, mwenye muonekano fulani n.k mwisho mtakuja kuangukia kwa wanaume za watu au kwa wanaume ambao wataishia kukuchezea. Kumbuka sehemu kubwa ya mwanaume mwenye pesa, ngono anachukulia starehe tu, kwahiyo atakuchukua na kukutumia baada ya kukutamani akijua anapiga na kupita zake.

Binti yangu, huyo mwanaume wa mtu unayemuona ana pesa, hazijaja tu hivi hivi, alianza chini kabisa kama huyo kijana ambae kwa sasa wewe unamdharau.

Kama umewahi kumnyanyasa kijana wa watu kisa masikini, yeye sijui hana umbo zuri n.k moyo wake ukaumia, katafute suluhu naye sababu huenda kuna mambo yako yakafunguka.

Mabinti sio kwamba mnakosa watu wa kuwaoa ila tamaa za maisha zimekuwa zikiwatesa wengi, (kumbuka Hawa alidanganywa kwa kutamani pale bustani ya edeni, mwanamke ukiishinda tamaa una sehemu kubwa sana ya kuishi maisha ya furaha duniani). Mnapenda smartphones, kila wiki msuke, utolewe out n.k mnaishi maisha ya udangaji kisa mna uzuri wa sura au mna matako makubwa, kwa bahati mbaya sana, ukishazoea kudanga, mwanaume yeyote atakujua tu, udangaji ni kama ngozi, HAIJIFICHI na hata ukijitahidi, mtu atasikia tu stori zako.

Sasa hivi kijana wa 30, 31, 32 ambapo kwa sehemu kubwa ndo vijana wengi walau kwa sehemu wanaanza kuona mwanga ktk eneo la uchumi hawezi kuwa na mwanamke wa 30, lazima atafute wa 24, 25 au 26 unless awe mpumbavu.

Girls kuweni makini sana na umri, uliowatupa kisa hawana ela, wakipata ela na wao watakuona wewe sio hadhi yao. Tafuta kijana mwezio mtakaopendana, mtie moyo ktk utafutaji, mpende sana na kumpa heshima hata pale ambapo anapungukiwa, mwanaume huyo hatokusahau.
Haya madini kama kaandika mtume Paulo vile, hongera kwa maono mkuu
 
Hako unakoita CPA ni kitu kikubwa.....

Kuna sista angu flani, nae kasoma soma hadi level hizo, alikua kwenye shirika flani lina jina tu.....nae ikawa sasa kupata mchumba kipengele.

Mahusiano yanaanza simu simu simu basi mchumba anakuja kuvisit tunapokaa. Mtu akija siku hiyo ni heka heka tutapikaaa tutapikaa ili mgeni ainjoin cha ajabu akiondoka harudi tena na simu zinakufa😁

Baada ya muda anatokea mwingine hivo hivo siku akija tunakua na heka heka za ugeniii cha ajabu akitoa mguu ndo bye sa sijui shida ilikua nini siamini kama alikua hajui kutoa kiasi cha kukimbiwa.

Anyway alivofika 42 kuna jamaa kajilipua wale jamaa wasiopenda heka heka awepo tu ndani kama samaki wa mapambo 😹 ndo kamuoa.

Saaa FS pambana pamban fosi fosi usifike floo ya nne
Huyo sista ako alikuwa anawaomba wanaume hela 🤔 Evelyn Salt
 
Thank you soulimeti, am not that desperate but sometimes yes mimi ni binadamu, if things are not working out as i wished, inanifanya nipanic na kiukweli naamini katika kuwa na familia, so kuona umri unaenda na sifanikishi hilo kidogo inanisumbua, ila am ok , na hata kushare humu na kupata hizi comments positive inanipa moyo.🙏
Ushawahi kuwa kwenye mahusiano in your 20's, kama jibu ni ndiyo, kwenye hayo mahusiano nani alimuacha mwenzake financial services
 
Kivipi sasa natumai hata wewe ulichagua mwanamke wa kuzaa nae shida nini wao wakichagua mwanaume wa kua nao??

i don’t think kuna shida 🤔
Mwanaume si kama mwanaume,kuna umri mwanamke kuchagua nikuchelewa maana vigezo muhimu kwa wanaume vinakuwa vimepungua,mwanaume hata awe na miaka 70 anaweza kuoa binti wa miaka 20 lakini ni ngumu kwa mwanamke mwenye miaka 40 kuolewa na mwanaume mwenye miaka 30.

Mwanaume wa miaka 80 -100 afya yake ya uzazi inauhakika wa kuwa bora endepo tu hajashambuliwa na magonjwa yasiyo ambukizwa lakini mwanamke afya yake ya uzazi inaanza kuwa yenye changamoto kati ya 35-45.

Hivyo basi kuna umri wa mwanamke kuwa selective sana ukipita hapo kibali Ana na matokeo
 
Kuhusu swala la kuchanganyikiwa, watachanganyikiwa sana ... kwasababu wakiwa katika age ya 20....hua wanalinga sana wakiamini uzuri wa sura na umbo vitadumu ila baada ya kuchezewa sana ndyo wanaanza kutafuta MR NICE GUY wa ku settle nae ili wajenge familia


conclusion: kama wanavyolinga katika katika age ya 20±++ basi waendelee kulinga hivyo hivyo mpaka mwisho waendelee kushikilia bomba
Yeah! Kapo katoto ka moja mitaa around 22 kana kwambia kanakula ujana ni bandika bandua mara huyu nyaraka Yule nika mwambia majuto ameshafika chalinze subiri aingie kibaha
 
Ingawa sina hakika kama ni kweli au unafurahisha genge, Pole sana mkuu.
Ndoa ni ishara ya ushindi na mafanikio kwa Wanawake wengi Duniani hasa Barani Afrika, middle east na Asia. Hivyo, wakigusa 30 bila ndoa hujiona kuwa wameshindwa kufikia lengo muhimu na kuianguasha jamii yao hasa wazazi.
Uzoefu unaonyesha hakuna kanuni ya upi muda sahihi wa kuoa au kuolewa, wewe mwenywe ndio determinant ya lini ni muda sahihi kuolewa. Ila kuna muda sahihi wa kuzaa kwa mwanamke 24- 36. Ukizaa ukiwa mzee kuna hatari za kiafya kwa mtoto. Sayansi inaonyesh ukizaa ukiwa kwenye 20s kuna tija zaidi kwa mtoto.

Ila unapaswa kutambua facts zifuatazo ili uweze kujua namna ya kutoboa. Kwanza, mwanamke ana nafasi ndogo sana ya kuamua nani amuoe na lini. Fact nyingine ni kuwa kwa kadri umri unavyosonga ndivyo mvuto wa kimapenzi wa mwanamke unapungua na eventual rate ya watia nia sahihi nayo inapungua. Fact nyingine ni kuwa ukiwa mrembo na ukiwa na umri mdogo na ukiwa na uwezo mkubwa wa kumpa furaha mwanaume unakuwa na nafasi kubwa zaidi ya kuolewa mapena. Bahati mbaya warembo wengi Duniani huwa hawana uwezo wa kuwapa furaha wanaume kutokana na demnd yao kuwa kubwa. Fact nyingine unapaswa kuelewa kuwa wanaume regardless ya utajiri au level ya elimu huwa wanatafakari sana kabla ya kufanya maamuzi ya kuoa, wanawahofia sana wanawake. Wanaume wanataka mwanamke atakayempa heshima, furaha na amani. Ingawa siku hizi kuna wavulana ambao wao wanapenda zaidi physical materials kutoka kwa mwanamke. Mwisho wanaume wengi wenye akili na wanaojiamini huwa hawapendi mwanamke mwenye akili sana au mtafutaji sana kwa sababu wanaamini kuwa wao wanajimudu. Kujua Kudeka, kubembeleza, sauti na ufundi wa ngono ni silaha muhimu za ushindi.
Kwa umri ulio nao unaweza ukafanya yafuatayo:
Kuzaa bila kujari suala la kuolewa. Athari yake ni kuwa utapunguza zaidi fursa ya kuolewa na mwanaume wa maana na unaweza kumpa mtoto changamoto ya kimalezi na tabia. Wenzenu Ulaya, America na Asia uenda Baa na kujitegesha kwa walevi.
Oa, tafuta kijana anayetaka kulelewa muoe.
Boresha tabia, kuwa msafi (ng'aring'ari) ndani na nje muda wote, kuwa simple, usiwe much know kwa sana, safiri mara kwa mara, kata mawsiliano na EXs, take risk ukiombwa mzigo. Usiende kwenye game bila kuoga, kamwe.
Kamwe usimwambie mwanaume kuwa upo jamii forum na ukiwa na mwanaume punguza kuwa busy na simu.
Ukiwa kwenye dating ukakutana na mtu unayemfahamu msarimie then mpotezee focus kwa mwanaume wako.
Usiwe mtu wa kutoa options za hoteli au sehemu nzuri ya kutoka out. Ukipewa nafasi ya kuchagua mwambie sijui akikulazimisha, chagua kati ya maeneo ambayo amewahi kukupeleka.
Usiombe pesha, omba kitu

Ukiwa na mwanaume mweleze watu muhimu kwako na namna unavyo link nao. Likewise mbembeleze naye akwambie watu wake wa muhimu.
Mhaminishe mwanaume kuwa unatamani kumzalia wato, kamwe usimwombe akuoe.

Mwisho, hakuna kanuni kwenye kumpata mwenza, hivyo yote haya yanayosemwa ni kubahatisha tu.
Mungu akubariki upate itaji la moyo wako.
Nzuri sana
 
Back
Top Bottom