financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
- Thread starter
- #1,401
Amina, ahsante sana mkuu🙏Kuwa na imani ktk Mungu, hakuna linaloshindikana kwa Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amina, ahsante sana mkuu🙏Kuwa na imani ktk Mungu, hakuna linaloshindikana kwa Mungu
Hilo jepesi sanaa ukiwa na imani.....sema faida inaonekana mkishazeekaHapana King, nna wivu ntakua nalia kila siku😀 hivi unakua unapanga siku labda j3 to J5 kwa bibi mkubwa then alhamisi to sunday kwa bi mdogo, aisee 🙌
Ng'ombe hazeeki main bhn we unaukubwa gani 😂😂😂Chief tena😀😀 mimi ni mdada mkubwa
Ok mpka useme Ng'ombe hazeeki main😂Chief tena😀😀 mimi ni mdada mkubwa
Thank you soulimeti, am not that desperate but sometimes yes mimi ni binadamu, if things are not working out as i wished, inanifanya nipanic na kiukweli naamini katika kuwa na familia, so kuona umri unaenda na sifanikishi hilo kidogo inanisumbua, ila am ok , na hata kushare humu na kupata hizi comments positive inanipa moyo.🙏Souli meti jamani!
Just invest in yourself. Be the best version of yourself. Be independent economically. Jitambue; and seek to exponentially grow emotionally. Don't be desperate eti kwa kuwa umevuka 30. Endelea kujitunza na kumtegemea Mungu. No casual sex whatsoever na jisamehe kwa past yako hata kama ni mbaya kiasi gani. Mbona ni suala la muda tu kabla hujampata Mr. Right wako? Please make sure you attract what you want in your life. Unakumbuka ile kanuni yetu?
Na kwa nini unajiona kuwa maisha yako hayajakamilika bila kuwa na mume? Peer pressure? Societal expectations? Low esteem issues? Inferiority complex? Past relationships' trauma. Come on soulimeti. Unaniangusha sasa na CPA yako! 🤪
Maini yote yamezeeka hadi nna mapengo hapa😀Ok mpka useme Ng'ombe hazeeki main😂
Duuh wee muoga wewe...🙌😂
Si bado unachagu chagua.!!
Bado hujasema..
mwanamke na mwnaume ni tofauti,hasa katika mfumo wa uzazi,mwanamke mfumo wake wa uzazi unaanza kuwa na changamoto on late 20s,in between 30-40 ndio kabisa,and in btw 40 to 55 ni end of story wachache sanaaaaHivi kwanini Mwanamke akifika miaka 25+ kama hana Mtoto wala Mume anachanganyikiwa alafu Mwanaume anaweza kua na 32+ hana Mtoto wala Mke alafu fresh tu hata hapagawi???
Ukuaji wa mwanamke na mwanaume ni viceversaHivi kwanini Mwanamke akifika miaka 25+ kama hana Mtoto wala Mume anachanganyikiwa alafu Mwanaume anaweza kua na 32+ hana Mtoto wala Mke alafu fresh tu hata hapagawi???
Vikongwe ndio wazuri mbn sio shida zangu mpk tongo tongo nalamba😃Maini yote yamezeeka hadi nna mapengo hapa😀
Kivipi sasa natumai hata wewe ulichagua mwanamke wa kuzaa nae shida nini wao wakichagua mwanaume wa kua nao??Nina watoto ila kutokuishi na familia tu najiona ni mwenye hatia vibaya,mtihani wako ni wa rada tracking,punguza kuchagua sana zingatia mambo ya msingi kama utu na uelewa mengine yawe ziada,punguza wivu kama una wivu.
Mwanamke akisha fikisha miaka 30 afya yake ya uzazi inakuwa na changamoto sana
Kuhusu swala la kuchanganyikiwa, watachanganyikiwa sana ... kwasababu wakiwa katika age ya 20....hua wanalinga sana wakiamini uzuri wa sura na umbo vitadumu ila baada ya kuchezewa sana ndyo wanaanza kutafuta MR NICE GUY wa ku settle nae ili wajenge familiaHivi kwanini Mwanamke akifika miaka 25+ kama hana Mtoto wala Mume anachanganyikiwa alafu Mwanaume anaweza kua na 32+ hana Mtoto wala Mke alafu fresh tu hata hapagawi???
Eeh babuuSouli meti jamani!
Just invest in yourself. Be the best version of yourself. Be independent economically. Jitambue; and seek to exponentially grow emotionally. Don't be desperate eti kwa kuwa umevuka 30. Endelea kujitunza na kumtegemea Mungu. No casual sex whatsoever na jisamehe kwa past yako hata kama ni mbaya kiasi gani. Mbona ni suala la muda tu kabla hujampata Mr. Right wako? Please make sure you attract what you want in your life. Unakumbuka ile kanuni yetu?
Na kwa nini unajiona kuwa maisha yako hayajakamilika bila kuwa na mume? Peer pressure? Societal expectations? Low esteem issues? Inferiority complex? Past relationships' trauma. Come on soulimeti. Unaniangusha sasa na CPA yako! 🤪
Kila mtu ashinde mechi zakeKivipi sasa natumai hata wewe ulichagua mwanamke wa kuzaa nae shida nini wao wakichagua mwanaume wa kua nao??
i don’t think kuna shida 🤔
definatelyKila mtu ashinde mechi zake
Kwisha hbar😃definately
Hee mkuu🤭Vikongwe ndio wazuri mbn sio shida zangu mpk tongo tongo nalamba😃
Ndio sini ili njaa iishe lazima nikupe mavitu ya upendo 😂Hee mkuu🤭
👍Kuna kitu nahitaji kuwafunza mabinti ambao hawajafika 30.
Ukipata mpenzi ukamuona ana hofu ya Mungu, maisha yake yapo wazi hasa tabia zake, anakupenda kwa dhati, yupo tayari kukutambulisha kwa ndugu zake na kwa familia yake.
Yamkini asiwe na kipato kikubwa sana ila ana uwezo wa kufanya wote mle na mkalala, ISHI HAPO.
Acha tamaa za kutaka uolewe na mwanaume mwenye pesa, anayefanya kazi TRA, bandari, mfanyabiashara mkubwa, mwenye muonekano fulani n.k mwisho mtakuja kuangukia kwa wanaume za watu au kwa wanaume ambao wataishia kukuchezea. Kumbuka sehemu kubwa ya mwanaume mwenye pesa, ngono anachukulia starehe tu, kwahiyo atakuchukua na kukutumia baada ya kukutamani akijua anapiga na kupita zake.
Binti yangu, huyo mwanaume wa mtu unayemuona ana pesa, hazijaja tu hivi hivi, alianza chini kabisa kama huyo kijana ambae kwa sasa wewe unamdharau.
Kama umewahi kumnyanyasa kijana wa watu kisa masikini, yeye sijui hana umbo zuri n.k moyo wake ukaumia, katafute suluhu naye sababu huenda kuna mambo yako yakafunguka.
Mabinti sio kwamba mnakosa watu wa kuwaoa ila tamaa za maisha zimekuwa zikiwatesa wengi, (kumbuka Hawa alidanganywa kwa kutamani pale bustani ya edeni, mwanamke ukiishinda tamaa una sehemu kubwa sana ya kuishi maisha ya furaha duniani). Mnapenda smartphones, kila wiki msuke, utolewe out n.k mnaishi maisha ya udangaji kisa mna uzuri wa sura au mna matako makubwa, kwa bahati mbaya sana, ukishazoea kudanga, mwanaume yeyote atakujua tu, udangaji ni kama ngozi, HAIJIFICHI na hata ukijitahidi, mtu atasikia tu stori zako.
Sasa hivi kijana wa 30, 31, 32 ambapo kwa sehemu kubwa ndo vijana wengi walau kwa sehemu wanaanza kuona mwanga ktk eneo la uchumi hawezi kuwa na mwanamke wa 30, lazima atafute wa 24, 25 au 26 unless awe mpumbavu.
Girls kuweni makini sana na umri, uliowatupa kisa hawana ela, wakipata ela na wao watakuona wewe sio hadhi yao. Tafuta kijana mwezio mtakaopendana, mtie moyo ktk utafutaji, mpende sana na kumpa heshima hata pale ambapo anapungukiwa, mwanaume huyo hatokusahau.