Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Souli meti jamani!

Just invest in yourself. Be the best version of yourself. Be independent economically. Jitambue; and seek to exponentially grow emotionally. Don't be desperate eti kwa kuwa umevuka 30. Endelea kujitunza na kumtegemea Mungu. No casual sex whatsoever na jisamehe kwa past yako hata kama ni mbaya kiasi gani. Mbona ni suala la muda tu kabla hujampata Mr. Right wako? Please make sure you attract what you want in your life. Unakumbuka ile kanuni yetu?

Na kwa nini unajiona kuwa maisha yako hayajakamilika bila kuwa na mume? Peer pressure? Societal expectations? Low self esteem issues? Inferiority complex? Past relationships' trauma? Come on soulimeti. Unaniangusha sasa na CPA yako! 🤪
 
Souli meti jamani!

Just invest in yourself. Be the best version of yourself. Be independent economically. Jitambue; and seek to exponentially grow emotionally. Don't be desperate eti kwa kuwa umevuka 30. Endelea kujitunza na kumtegemea Mungu. No casual sex whatsoever na jisamehe kwa past yako hata kama ni mbaya kiasi gani. Mbona ni suala la muda tu kabla hujampata Mr. Right wako? Please make sure you attract what you want in your life. Unakumbuka ile kanuni yetu?

Na kwa nini unajiona kuwa maisha yako hayajakamilika bila kuwa na mume? Peer pressure? Societal expectations? Low esteem issues? Inferiority complex? Past relationships' trauma. Come on soulimeti. Unaniangusha sasa na CPA yako! 🤪
Thank you soulimeti, am not that desperate but sometimes yes mimi ni binadamu, if things are not working out as i wished, inanifanya nipanic na kiukweli naamini katika kuwa na familia, so kuona umri unaenda na sifanikishi hilo kidogo inanisumbua, ila am ok , na hata kushare humu na kupata hizi comments positive inanipa moyo.🙏
 
Nina watoto ila kutokuishi na familia tu najiona ni mwenye hatia vibaya,mtihani wako ni wa rada tracking,punguza kuchagua sana zingatia mambo ya msingi kama utu na uelewa mengine yawe ziada,punguza wivu kama una wivu.

Mwanamke akisha fikisha miaka 30 afya yake ya uzazi inakuwa na changamoto sana
 
Duuh wee muoga wewe...🙌😂

Si bado unachagu chagua.!!

Bado hujasema..
Hivi kwanini Mwanamke akifika miaka 25+ kama hana Mtoto wala Mume anachanganyikiwa alafu Mwanaume anaweza kua na 32+ hana Mtoto wala Mke alafu fresh tu hata hapagawi???
mwanamke na mwnaume ni tofauti,hasa katika mfumo wa uzazi,mwanamke mfumo wake wa uzazi unaanza kuwa na changamoto on late 20s,in between 30-40 ndio kabisa,and in btw 40 to 55 ni end of story wachache sanaaaa
 
Nina watoto ila kutokuishi na familia tu najiona ni mwenye hatia vibaya,mtihani wako ni wa rada tracking,punguza kuchagua sana zingatia mambo ya msingi kama utu na uelewa mengine yawe ziada,punguza wivu kama una wivu.

Mwanamke akisha fikisha miaka 30 afya yake ya uzazi inakuwa na changamoto sana
Kivipi sasa natumai hata wewe ulichagua mwanamke wa kuzaa nae shida nini wao wakichagua mwanaume wa kua nao??

i don’t think kuna shida 🤔
 
Hivi kwanini Mwanamke akifika miaka 25+ kama hana Mtoto wala Mume anachanganyikiwa alafu Mwanaume anaweza kua na 32+ hana Mtoto wala Mke alafu fresh tu hata hapagawi???
Kuhusu swala la kuchanganyikiwa, watachanganyikiwa sana ... kwasababu wakiwa katika age ya 20....hua wanalinga sana wakiamini uzuri wa sura na umbo vitadumu ila baada ya kuchezewa sana ndyo wanaanza kutafuta MR NICE GUY wa ku settle nae ili wajenge familia


conclusion: kama wanavyolinga katika katika age ya 20±++ basi waendelee kulinga hivyo hivyo mpaka mwisho waendelee kushikilia bomba
 
Souli meti jamani!

Just invest in yourself. Be the best version of yourself. Be independent economically. Jitambue; and seek to exponentially grow emotionally. Don't be desperate eti kwa kuwa umevuka 30. Endelea kujitunza na kumtegemea Mungu. No casual sex whatsoever na jisamehe kwa past yako hata kama ni mbaya kiasi gani. Mbona ni suala la muda tu kabla hujampata Mr. Right wako? Please make sure you attract what you want in your life. Unakumbuka ile kanuni yetu?

Na kwa nini unajiona kuwa maisha yako hayajakamilika bila kuwa na mume? Peer pressure? Societal expectations? Low esteem issues? Inferiority complex? Past relationships' trauma. Come on soulimeti. Unaniangusha sasa na CPA yako! 🤪
Eeh babuu
 
Kuna kitu nahitaji kuwafunza mabinti ambao hawajafika 30.

Ukipata mpenzi ukamuona ana hofu ya Mungu, maisha yake yapo wazi hasa tabia zake, anakupenda kwa dhati, yupo tayari kukutambulisha kwa ndugu zake na kwa familia yake.

Yamkini asiwe na kipato kikubwa sana ila ana uwezo wa kufanya wote mle na mkalala, ISHI HAPO.

Acha tamaa za kutaka uolewe na mwanaume mwenye pesa, anayefanya kazi TRA, bandari, mfanyabiashara mkubwa, mwenye muonekano fulani n.k mwisho mtakuja kuangukia kwa wanaume za watu au kwa wanaume ambao wataishia kukuchezea. Kumbuka sehemu kubwa ya mwanaume mwenye pesa, ngono anachukulia starehe tu, kwahiyo atakuchukua na kukutumia baada ya kukutamani akijua anapiga na kupita zake.

Binti yangu, huyo mwanaume wa mtu unayemuona ana pesa, hazijaja tu hivi hivi, alianza chini kabisa kama huyo kijana ambae kwa sasa wewe unamdharau.

Kama umewahi kumnyanyasa kijana wa watu kisa masikini, yeye sijui hana umbo zuri n.k moyo wake ukaumia, katafute suluhu naye sababu huenda kuna mambo yako yakafunguka.

Mabinti sio kwamba mnakosa watu wa kuwaoa ila tamaa za maisha zimekuwa zikiwatesa wengi, (kumbuka Hawa alidanganywa kwa kutamani pale bustani ya edeni, mwanamke ukiishinda tamaa una sehemu kubwa sana ya kuishi maisha ya furaha duniani). Mnapenda smartphones, kila wiki msuke, utolewe out n.k mnaishi maisha ya udangaji kisa mna uzuri wa sura au mna matako makubwa, kwa bahati mbaya sana, ukishazoea kudanga, mwanaume yeyote atakujua tu, udangaji ni kama ngozi, HAIJIFICHI na hata ukijitahidi, mtu atasikia tu stori zako.

Sasa hivi kijana wa 30, 31, 32 ambapo kwa sehemu kubwa ndo vijana wengi walau kwa sehemu wanaanza kuona mwanga ktk eneo la uchumi hawezi kuwa na mwanamke wa 30, lazima atafute wa 24, 25 au 26 unless awe mpumbavu.

Girls kuweni makini sana na umri, uliowatupa kisa hawana ela, wakipata ela na wao watakuona wewe sio hadhi yao. Tafuta kijana mwezio mtakaopendana, mtie moyo ktk utafutaji, mpende sana na kumpa heshima hata pale ambapo anapungukiwa, mwanaume huyo hatokusahau.
👍
 
Back
Top Bottom