Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Ukihitaji mtoto nitafute nina mbegu nzuri sana!, utapata toto moja zuri, smart na intelligent hutajuta!...😎
 
Tumetofautiana kwa namna tunavyoyatazama mambo...... inawezekana upande uliotazama wewe sio niliotazama mimi hivyo nimeamua kuheshimu maoni yako.........

NB;
Huwezi kujua kuwa dunia ina mambo mpaka likukute jambo.......
Exactly, mimi nilioa binti tena bikra wa miaka 22 lakini hakuwa na uzazi kwa sababu za hormonal imbalance tu na hadi alipofika 30's hola! Ikabidi niingie mfukoni kufanya IVF na ilikula zaidi ya 50m za madafu bahati nzuri round ya kwanza tu akafanikiwa kupata watoto tena mapacha na sasa wana 12yrs. So maisha hayana formula kabisa, kuna wakati nilikua napata frustration za kutosha na hadi nafikiria kwa nini nikalipe mapesa mengi hayo ambayo ningeweza kabisa kuzaa na wengine wasio na shida yoyote na pesa nikafanyia mambo mengine makubwa? Baadaye nakua na huruma nasema hana kosa lolote na wote hatukujua then why nimuhukumu?

Nakubaliana na wewe kabisa kwa uzoefu nilionao! But wanawake ni wasahaulifu sana aisee, baada ya hapo ndoa ndoano tu kama kawa. Naona ni scam tu napiga maisha na umri unasonga, by the way nipo kwenye floor ya 5 sasa.
 
Exactly, mimi nilioa binti tena bikra wa miaka 22 lakini hakuwa na uzazi kwa sababu za hormonal imbalance tu na hadi alipofika 30's hola! Ikabidi niingie mfukoni kufanya IVF na ilikula zaidi ya 50m za madafu bahati nzuri round ya kwanza tu akafanikiwa kupata watoto tena mapacha na sasa wana 12yrs. So maisha hayana formula kabisa, kuna wakati nilikua napata frustration za kutosha na hadi nafikiria kwa nini nikalipe mapesa mengi hayo ambayo ningeweza kabisa kuzaa na wengine wasio na shida yoyote na pesa nikafanyia mambo mengine makubwa? Baadaye nakua na huruma nasema hana kosa lolote na wote hatukujua then why nimuhukumu?

Nakubaliana na wewe kabisa kwa uzoefu nilionao! But wanawake ni wasahaulifu sana aisee, baada ya hapo ndoa ndoano tu kama kawa. Naona ni scam tu napiga maisha na umri unasonga, by the way nipo kwenye floor ya 5 sasa.
Hongera
 
Habari ya weekend great thinkers?

Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔

Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.

Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?😔

Nipo tayari kwa comments zote.

Happy valentine's day in advance 👏🥰
tiGo unatoa?
 
Exactly, mimi nilioa binti tena bikra wa miaka 22 lakini hakuwa na uzazi kwa sababu za hormonal imbalance tu na hadi alipofika 30's hola! Ikabidi niingie mfukoni kufanya IVF na ilikula zaidi ya 50m za madafu bahati nzuri round ya kwanza tu akafanikiwa kupata watoto tena mapacha na sasa wana 12yrs. So maisha hayana formula kabisa, kuna wakati nilikua napata frustration za kutosha na hadi nafikiria kwa nini nikalipe mapesa mengi hayo ambayo ningeweza kabisa kuzaa na wengine wasio na shida yoyote na pesa nikafanyia mambo mengine makubwa? Baadaye nakua na huruma nasema hana kosa lolote na wote hatukujua then why nimuhukumu?

Nakubaliana na wewe kabisa kwa uzoefu nilionao! But wanawake ni wasahaulifu sana aisee, baada ya hapo ndoa ndoano tu kama kawa. Naona ni scam tu napiga maisha na umri unasonga, by the way nipo kwenye floor ya 5 sasa.
Dah bado akakuvuruga😁 aisee hapana, hawa watu wauawe tu
 
Exactly, mimi nilioa binti tena bikra wa miaka 22 lakini hakuwa na uzazi kwa sababu za hormonal imbalance tu na hadi alipofika 30's hola! Ikabidi niingie mfukoni kufanya IVF na ilikula zaidi ya 50m za madafu bahati nzuri round ya kwanza tu akafanikiwa kupata watoto tena mapacha na sasa wana 12yrs. So maisha hayana formula kabisa, kuna wakati nilikua napata frustration za kutosha na hadi nafikiria kwa nini nikalipe mapesa mengi hayo ambayo ningeweza kabisa kuzaa na wengine wasio na shida yoyote na pesa nikafanyia mambo mengine makubwa? Baadaye nakua na huruma nasema hana kosa lolote na wote hatukujua then why nimuhukumu?

Nakubaliana na wewe kabisa kwa uzoefu nilionao! But wanawake ni wasahaulifu sana aisee, baada ya hapo ndoa ndoano tu kama kawa. Naona ni scam tu napiga maisha na umri unasonga, by the way nipo kwenye floor ya 5 sasa.
Nimesoma story yako, ubarikiwe kwa hatua uliyochukua kwe mkeo kipenzi, wengine angeweza kutokujali chochote na kuamua kutafuta watoto nje, hata kama kuna kujisahau ila ukikumbuka huo wema aah unarudi to your senses👏
 
Back
Top Bottom