Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
hapana my dear nilitaka feedback nijue nimebaki mwenyewe au bado tupo wote 😅Dah unanicheka Miss😔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana my dear nilitaka feedback nijue nimebaki mwenyewe au bado tupo wote 😅Dah unanicheka Miss😔
Exactly, mimi nilioa binti tena bikra wa miaka 22 lakini hakuwa na uzazi kwa sababu za hormonal imbalance tu na hadi alipofika 30's hola! Ikabidi niingie mfukoni kufanya IVF na ilikula zaidi ya 50m za madafu bahati nzuri round ya kwanza tu akafanikiwa kupata watoto tena mapacha na sasa wana 12yrs. So maisha hayana formula kabisa, kuna wakati nilikua napata frustration za kutosha na hadi nafikiria kwa nini nikalipe mapesa mengi hayo ambayo ningeweza kabisa kuzaa na wengine wasio na shida yoyote na pesa nikafanyia mambo mengine makubwa? Baadaye nakua na huruma nasema hana kosa lolote na wote hatukujua then why nimuhukumu?Tumetofautiana kwa namna tunavyoyatazama mambo...... inawezekana upande uliotazama wewe sio niliotazama mimi hivyo nimeamua kuheshimu maoni yako.........
NB;
Huwezi kujua kuwa dunia ina mambo mpaka likukute jambo.......
Kipenzi Mimi si nipo ? Mwakani Jambo letu lazimaMuhimu uhai tu mkuu, kama huna sasa utafanyaje
Acha uongo bhn we endelea kupenda mwenye kipato mwenzio Mimi nikikupenda basi ujue Nina njaa haswaaaaa ndio maana naonyesha upendo wa dhati kwako mengine uachie MoyoDharau gani mkuu, mbona tuko humble tu
Hata sijaelewa mkuu, humpendi mtu hadi uwe na njaa?Acha uongo bhn we endelea kupenda mwenye kipato mwenzio Mimi nikikupenda basi ujue Nina njaa haswaaaaa ndio maana naonyesha upendo wa dhati kwako mengine uachie Moyo
Wow, sawa kipenzi 😆Kipenzi Mimi si nipo ? Mwakani Jambo letu lazima
HongeraExactly, mimi nilioa binti tena bikra wa miaka 22 lakini hakuwa na uzazi kwa sababu za hormonal imbalance tu na hadi alipofika 30's hola! Ikabidi niingie mfukoni kufanya IVF na ilikula zaidi ya 50m za madafu bahati nzuri round ya kwanza tu akafanikiwa kupata watoto tena mapacha na sasa wana 12yrs. So maisha hayana formula kabisa, kuna wakati nilikua napata frustration za kutosha na hadi nafikiria kwa nini nikalipe mapesa mengi hayo ambayo ningeweza kabisa kuzaa na wengine wasio na shida yoyote na pesa nikafanyia mambo mengine makubwa? Baadaye nakua na huruma nasema hana kosa lolote na wote hatukujua then why nimuhukumu?
Nakubaliana na wewe kabisa kwa uzoefu nilionao! But wanawake ni wasahaulifu sana aisee, baada ya hapo ndoa ndoano tu kama kawa. Naona ni scam tu napiga maisha na umri unasonga, by the way nipo kwenye floor ya 5 sasa.
Amna, ningekuoa tu yote haya yangeishaUnataka kusemaje kwani, kwamba ni laana yako ndiyo maana nahaha🤔 hivi wote uliowatongoza wamekukubalia na hawa hahi?
😂😂😂Mapenzi yetu maskini ni ya njaa kwani hukijui ilo chiefHata sijaelewa mkuu, humpendi mtu hadi uwe na njaa?
tiGo unatoa?Habari ya weekend great thinkers?
Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔
Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.
Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?😔
Nipo tayari kwa comments zote.
Happy valentine's day in advance 👏🥰
HatariZama zimebadilika sana.Miaka hii kupata mwenza wa kuishi naye imekuwa ngumu sana kwasababu ya matabia yetu,pia like tupo very selective sana kwa jinsia zote.
Umenikosea sana mkuu, ila it's oktiGo unatoa?
Ahsante dear🙏Pole mkuu, accept fate yako utakuwa na amani...
Chief tena😀😀 mimi ni mdada mkubwa😂😂😂Mapenzi yetu maskini ni ya njaa kwani hukijui ilo chief
Dah bado akakuvuruga😁 aisee hapana, hawa watu wauawe tuExactly, mimi nilioa binti tena bikra wa miaka 22 lakini hakuwa na uzazi kwa sababu za hormonal imbalance tu na hadi alipofika 30's hola! Ikabidi niingie mfukoni kufanya IVF na ilikula zaidi ya 50m za madafu bahati nzuri round ya kwanza tu akafanikiwa kupata watoto tena mapacha na sasa wana 12yrs. So maisha hayana formula kabisa, kuna wakati nilikua napata frustration za kutosha na hadi nafikiria kwa nini nikalipe mapesa mengi hayo ambayo ningeweza kabisa kuzaa na wengine wasio na shida yoyote na pesa nikafanyia mambo mengine makubwa? Baadaye nakua na huruma nasema hana kosa lolote na wote hatukujua then why nimuhukumu?
Nakubaliana na wewe kabisa kwa uzoefu nilionao! But wanawake ni wasahaulifu sana aisee, baada ya hapo ndoa ndoano tu kama kawa. Naona ni scam tu napiga maisha na umri unasonga, by the way nipo kwenye floor ya 5 sasa.
Nimesoma story yako, ubarikiwe kwa hatua uliyochukua kwe mkeo kipenzi, wengine angeweza kutokujali chochote na kuamua kutafuta watoto nje, hata kama kuna kujisahau ila ukikumbuka huo wema aah unarudi to your senses👏Exactly, mimi nilioa binti tena bikra wa miaka 22 lakini hakuwa na uzazi kwa sababu za hormonal imbalance tu na hadi alipofika 30's hola! Ikabidi niingie mfukoni kufanya IVF na ilikula zaidi ya 50m za madafu bahati nzuri round ya kwanza tu akafanikiwa kupata watoto tena mapacha na sasa wana 12yrs. So maisha hayana formula kabisa, kuna wakati nilikua napata frustration za kutosha na hadi nafikiria kwa nini nikalipe mapesa mengi hayo ambayo ningeweza kabisa kuzaa na wengine wasio na shida yoyote na pesa nikafanyia mambo mengine makubwa? Baadaye nakua na huruma nasema hana kosa lolote na wote hatukujua then why nimuhukumu?
Nakubaliana na wewe kabisa kwa uzoefu nilionao! But wanawake ni wasahaulifu sana aisee, baada ya hapo ndoa ndoano tu kama kawa. Naona ni scam tu napiga maisha na umri unasonga, by the way nipo kwenye floor ya 5 sasa.
Ahaaa nakusemelea😀Dah bado akakuvuruga😁 aisee hapana, hawa watu wauawe tu