Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Wewe unasema tu, tena wanaume ndiyo kabisa hamuwezi ,eti ujue kabisa babe wako kacheat aah mbona moto utwaka humo mdani, ila kwetu mnaona sawa tu
😂😂😂😂😂😂 Mwanaume ndiye anaweza kuwa na many chicks na anaitwa shababi ila mwanamke haruhusiwi kuwa na many dicks, atakuwa malaya direct.
 
😂😂😂😂😂😂 Mwanaume ndiye anaweza kuwa na many chicks na anaitwa shababi ila mwanamke haruhusiwi kuwa na many dicks, atakuwa malaya direct.
You see, maisha hayako fair, coz zinazotumika na secret parts zile zile tu, why huyu aitwe shababi, mwingine mhuni🤔
 
Back
Top Bottom