Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Acha uchaguzii saanaaa....chances zinapungua sanaaa.....watu pia wanaisha ...utalea Serengeti boys....tafuta mtu kawaida tuuu malizana pambana watoto....avhana handsome six pack ujinga mwingi theories.....hao huwa hawapo pia wao wanafata simple girls ndio wanaoa...moto na moto huwa haviendiio
😀😀😀😀
 
Habari ya weekend great thinkers?

Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔

Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.

Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?😔

Nipo tayari kwa comments zote.

Happy valentine's day in advance 👏🥰
Wewe endelea tu kudanga utajuta! Si huwa wanasema majuto mjukuu? Endelea tu! Mwenzio Depal amedanga mpaka umechoka, yaani bila bila mpaka leo!
 
Habari ya weekend great thinkers?

Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔

Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.

Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?😔

Nipo tayari kwa comments zote.

Happy valentine's day in advance 👏🥰
Ukifikisha 50yrs ( ngazi ya 5) bila kuwa 100mil plus.....UTT daaaa.....tafakariiio
 
Habari ya weekend great thinkers?

Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔

Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.

Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?😔

Nipo tayari kwa comments zote.

Happy valentine's day in advance 👏🥰
Nilikutongoza 2 years ago ukaleta ujuaji mwingi
Unaona Sasa uko unahaha mwenyewe
 
Kwa mwanamke ni complicated kidogo kwa sababu nilishawahi kusikia kuwa jinsi mwanamke anavyochelewa kupata mtoto wake wa kwanza ndivyo anavyoongeza chance ya kupata complication zinazohusiana na uzazi. Japo naelewa changamoto za mahusiano kwa sasa lakini kama unahitaji kuna na familia hasa hasa mtoto, jitahidi angalau kabla ya kufika miaka 33 baada ya hapo kuna vitu vitaanza kutokuwa sawa. Kwa wanaume 30 it's ok na wala hakuna shida ya kupanic...
 
Kwa mwanamke ni complicated kidogo kwa sababu nilishawahi kusikia kuwa jinsi mwanamke anavyochelewa kupata mtoto wake wa kwanza ndivyo anavyoongeza chance ya kupata complication zinazohusiana na uzazi. Japo naelewa changamoto za mahusiano kwa sasa lakini kama unahitaji kuna na familia hasa hasa mtoto, jitahidi angalau kabla ya kufika miaka 33 baada ya hapo kuna vitu vitaanza kutokuwa sawa. Kwa wanaume 30 it's ok na wala hakuna shida ya kupanic...
Ahsante kwa ushauri mkuu
 
Back
Top Bottom