Ebu kuwa na empathy japo kidogo na weweVipi shost ubao unasomaje huko tuanze vikao vya sendoff au tujaribu tena mwakani 🤣 financial services
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu kuwa na empathy japo kidogo na weweVipi shost ubao unasomaje huko tuanze vikao vya sendoff au tujaribu tena mwakani 🤣 financial services
😀😀😀😀Acha uchaguzii saanaaa....chances zinapungua sanaaa.....watu pia wanaisha ...utalea Serengeti boys....tafuta mtu kawaida tuuu malizana pambana watoto....avhana handsome six pack ujinga mwingi theories.....hao huwa hawapo pia wao wanafata simple girls ndio wanaoa...moto na moto huwa haviendiio
Nmefanyaje tenaEbu kuwa na empathy japo kidogo na wewe
Unamtia machungu mwenzio banaNmefanyaje tena
Hapana namtia moyo by the way hayupo peke yake tupo pamojaUnamtia machungu mwenzio bana
Ok...msikate tamaa husband wenu wanakuja tuombe mu gu tuu msije mkawa mmewatema huku nyumaHapana namtia moyo by the way hayupo peke yake tupo pamoja
Umemaanisha Mungu?Ok...msikate tamaa husband wenu wanakuja tuombe mu gu tuu msije mkawa mmewatema huku nyuma
Wewe endelea tu kudanga utajuta! Si huwa wanasema majuto mjukuu? Endelea tu! Mwenzio Depal amedanga mpaka umechoka, yaani bila bila mpaka leo!Habari ya weekend great thinkers?
Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔
Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.
Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?😔
Nipo tayari kwa comments zote.
Happy valentine's day in advance 👏🥰
Unanikosea sana mkuu, kutokua na familia ni kudanga😪 Ndugu zako wote wanafamilia? Na wasiokua na familia wanadanga?Wewe endelea tu kudanga utajuta! Si huwa wanasema majuto mjukuu? Endelea tu! Mwenzio Depal amedanga mpaka umechoka, yaani bila bila mpaka leo!
Dharau gani mkuu, mbona tuko humble tuSio kuogopa shida ni dharau mlizo nazo ndizo hufanya tukae mbali nanyi
Dah unanicheka Miss😔Vipi shost ubao unasomaje huko tuanze vikao vya sendoff au tujaribu tena mwakani 🤣 financial services
Samahani mdogo wangu ni utani tu! Wala sikumaanisha! Nisamehe sana!🙏🙏Unanikosea sana mkuu, kutokua na familia ni kudanga😪 Ndugu zako wote wanafamilia? Na wasiokua na familia wanadanga?
Kumwambia mtu anadanga ni utani? Ok sawa mkuuSamahani mdogo wangu ni utani tu! Wala sikumaanisha! Nisamehe sana!🙏🙏
Ukifikisha 50yrs ( ngazi ya 5) bila kuwa 100mil plus.....UTT daaaa.....tafakariiioHabari ya weekend great thinkers?
Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔
Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.
Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?😔
Nipo tayari kwa comments zote.
Happy valentine's day in advance 👏🥰
Muhimu uhai tu mkuu, kama huna sasa utafanyajeUkifikisha 50yrs ( ngazi ya 5) bila kuwa 100mil plus.....UTT daaaa.....tafakariiio
Nilikutongoza 2 years ago ukaleta ujuaji mwingiHabari ya weekend great thinkers?
Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔
Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.
Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?😔
Nipo tayari kwa comments zote.
Happy valentine's day in advance 👏🥰
Unataka kusemaje kwani, kwamba ni laana yako ndiyo maana nahaha🤔 hivi wote uliowatongoza wamekukubalia na hawa hahi?Nilikutongoza 2 years ago ukaleta ujuaji mwingi
Unaona Sasa uko unahaha mwenyewe
Ahsante kwa ushauri mkuuKwa mwanamke ni complicated kidogo kwa sababu nilishawahi kusikia kuwa jinsi mwanamke anavyochelewa kupata mtoto wake wa kwanza ndivyo anavyoongeza chance ya kupata complication zinazohusiana na uzazi. Japo naelewa changamoto za mahusiano kwa sasa lakini kama unahitaji kuna na familia hasa hasa mtoto, jitahidi angalau kabla ya kufika miaka 33 baada ya hapo kuna vitu vitaanza kutokuwa sawa. Kwa wanaume 30 it's ok na wala hakuna shida ya kupanic...