Street College
Senior Member
- Jun 1, 2012
- 147
- 422
Wabongo wanapenda kushindwa kwenye social media tu bila kujalisha wanafaidika moja kwa moja na hizo media au la.Kubali kataa just ni mindset ilaile ya nabii hakubaliki kwao wewe na mimi kuwa hapa JF tunaonana wakawaida just kwasababu tupo na level moja ya Exposure fulani na uwelewa ila ni tofauti kabisa na Ordinary guy wa kitaa na hivyohivyo kwa wanawake hapa I don't need research just common sense tuchukue wanawake 10 hapa na tuchukue wanawake 10 mtaani ambao hawaijui kabisa JF wale 10 wa JF watakuwa na uwelewa zaidi kuliko hawa 10 wakitaa tu.
Hizi tabia za kudeka deka na ulalamishi ndizo zimetufikisha kwenye hii shughuli ya kuwa na wanawake wengi walioanza kuingia uzee na hawana direction nzuri ya mahusiano na familia.Binadamu tunatofautiana si kila mtu anaweza kubalance kulea na kusoma na asiyeweza usimlaumu wala usimlazimishe, sijui kwanini wanaume huwa mnataka kila kitu kinachohusu mahusiano kiwe in your favor, hata kama itamaanisha mwanamke kukosa furaha hilo ninyi haliwahusu
Aisee kume 30s ni third floor 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 aisee sasa tufanyeje tusio kuwa na mke wala mtotoHabari ya weekend great thinkers?
Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔
Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.
Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?😔
Nipo tayari kwa comments zote.
Happy valentine's day in advance 👏🥰
Itashindikana kama unaishi mwenyewe, no help, hauna sababu ya kurudi unaiga au unafanya basi tu. But kama una pursue elimu ambayo inakuwa na impact kwenye maisha yako na sio tu elimu status, unaonenaka ni mwanamke unayejitambua so mumeo lazima atakupa support, upo sharp, unafanya mambo kwa utaratibu na kusikilizana na mumeo why ishindikane?3/10. Achana na wale wa vyuoni wanaopata mimba hazikuwa kwenye mpango. Hao hawana budi kukaza sbb hawana choices.
Nazungumzia kurudi shule. Paelewe hapo
Mtu ushaingia kwa mfumo wa ajira, ndoa, ulezi. Ni ngumu kurudi kuongeza shule ilihali mtoto bado mdogo, ndoa uihudumie, ajira uihudumie nk
Nadhani shida wengi wanazungumzia maisha wakijitazama wenyewe bila mwanaume ndio maana.Inawezekana, ila support kubwa ya mume inahitajika.
Muda wako ukifika utapata familia,Habari ya weekend great thinkers?
Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa[emoji848]
Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.
Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?[emoji17]
Nipo tayari kwa comments zote.
Happy valentine's day in advance [emoji122][emoji3059]
Ni kweli unachosema wapo watu wana inferiority complexity na huwezi tumia nguvu nyingi kuwabaini maana madhaifu yao yanaonekana wazi wazi.Kuwa kiongozi wa mtu ni kupewa heshima yako unayostahili pasipo mwanamke kujihisi yupo juu yako ndani ya ndoa ila kama unahisi mwanamke ni lazma ajidogoshe ili wewe ujione umemzidi kila kitu ili umuongoze unavyotaka. Bro hiyo ni insecurity binafsi na ni reflection ya kitu ambacho umekosa ndani yako kuliko yule unaetaka kumuongoza..
Ni kwa mentality hii hii inayowafanya watu wengi waepuke kuoa makabila ambayo wanawake wanakuzwa kuwa independent kama wachagga ama wahaya.
Mkuu si lazma mwanamke awe dependent kwako ili umuongoze kwa sababu mwanamke hata afikie height ipi ya mafanikio. Bado atabaki kuwa emotional being ambaye anategemea emotional support yako kama mwanaume lakini kupata ushauri na maamuzi logical.
hapa ni Ukitoa wale nimewazungumzia ambao hujawa kiburi baada ya mafanikio kidogo. Ila wapo wanawake wengi sana ambao wanajitegemea na wanaishi na waume zao fresh
Kuna vitu haviwezi kubadilika. Kwenda shopper kuna husiana nini na kuheshimu mwanaume au kupenda mke.Lazima uishi kutokana na wakati ulipo
Wanawake wa zaman na sasa ni tofaut kila kitu ni kama new generation imekuja duniani
So lazima na mfumo wako pia ubadilike
Wanawake wa zaman lazima awe na bustan ya mboga mboga and wanawake wa sasa hivi mboga anakwenda kununua shoppars
Hata wanaume now tuko tofauti na wale wa zamani
So kinachotakiwa ni kwenda na mfumo and not history
Nipo 32 sina mtoto wala family nadunda tu.....walio wengi 30 afu hawana family ni wasomi wengi wao ....wanakua too selective....Habari ya weekend great thinkers?
Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔
Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.
Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?😔
Nipo tayari kwa comments zote.
Happy valentine's day in advance 👏🥰
Wewe ni gaidi[emoji23]Congratulations brother.... You really have a calling in BROKEN English
Ndiyo mkuuUnazaa na baba tofauti?
Kiburi extra ordinaryMi nitaendelea kuzaa mpaka 40s nafikisha miaka 60 mwanangu ana 19 au 20 ....achana na maneno ya wanaume cute....
Nimekusoma mkuu, pia nafuatilia yanayoendelea kwenye jamii lakini huwa nayaangalia katika jicho la kutokuwa bias...Ni kweli unachosema wapo watu wana inferiority complexity na huwezi tumia nguvu nyingi kuwabaini maana madhaifu yao yanaonekana wazi wazi.
Ila kiuhalisia kwasasa tuna tatizo la wanawake wanaochanganya vitu. Wanahisi wana confidence ya maamuzi ila actually wana operate na arrogance, wanahisi ni majasiri ila kiuhalisia wanaoparate na overly inflated Ego, wanahisi wanaishi na wanaume kwa upendo ila si kweli wanaishi nao kwa tamaa za mahitaji yao.
Wanaume tunaona mengi sana kwa wanawake hadi kufika hatua ya kukaa pembeni na kukubali yaishe.
Sidhani kama wanawaume atakutana na mwanamke atakaemvutia halafu aanze tu kumdogosha bila kuwa na sababu.
Sijui kama unafuatilia mambo yanayotokea kwenye jamii lakini.
Wahaya utawajua tu na tambo zao irrelevant, kulikuwa na haja gani ya utambulisho wote huo? Sema siyo shida yako nature yenu ni kwamba hamuwezi kwenda straight to the point hadi mtie wasifu kidogo#no offense jus Peace out[emoji4]March 07 2024 naingia third floor nipo Ingolstadt Ujerumani currently nafanya Masters in Indutrial E gineering and Management na ninafanya kazi Kiwanda cha matairi cha Continental. Sijaoa wala sina mke huku lakini nimepata demu wa kijerumani kutokana na jitihada zabgu za kufanya kazi .Lakini sijui kama nitamwoa namfikiria. Nategemea kumaliza hii masters mwezi wa kumi maana nilianza mwaka jana mwezi wa tatu. NImejifunza mengi nataka nifanye kazi mwaka mmoja baada ya kumaliza hii masters nije kupiga hela nyumbani.
Mzee uwezo wako kuchanganyua hoja mdogo au just umemua kutokuelewa.Wabongo wanapenda kushindwa kwenye social media tu bila kujalisha wanafaidika moja kwa moja na hizo media au la.
Hao unaposema wanauelewa mkubwa hapa JF, kuelewa wai umeupima kwenye jambo gani? Hivi unajua kama 75% ya wanaJF wanashinda MMU? Chagua ID 10 za kike unazoamini kuelewa wao ni mkubwa hapa JF kisha anza kuwafuatilia majukwaa wanayoshiriki, utakuta wanaangukia kwenye JF social lounge. Sehemu zenye hoja critical huwakuti. So mkuu kuwepo jf sio kipimo sahihi. Nina watu wengi ambao nawafahamu, wanaijua JF lakini sio member na hawajawahi kujiunga.
Inafikirisha sana🥺🥺Floor ya Tatu hata joint ya mguu inaanza kuitika, wale wachovu floor ya tatu wanatumia LIFT/ELEVATOR maana ni parefu
Swali ni kuwa floor ya pili ulipanda na nani kwenye lift mpaka ukafika kote huko?
Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app