Ni kwa njia gani ke anaweza kuinitiate ndoa mkuuNadhani hatujaelewana, mwanamke anaweza kukataa kuolewa na mwanaume fulani, sio lazima kila proposal inayokuja mwanamke aikubali. Tumeshuhudia wadada wengi wakikimbia wachumba mbona.
So, hata Ke anaweza kukataa proposal ya ME kiroho safi, hata Ke anaweza ku-initiate ndoa.
Sawa niambie madhara ya moja kwa moja yanayompata mwanamke mwenye wanaume wengi mkuuKwani kitu kuwa kibaya mpaka kiwe na hasara physically ?
Ungeanza kwanza kuhoji kazi ya akili ya wanaume wanaopanga msururu kabla ya kuhoji ya wanawakeKwahiyo mwanaume akiwapanga msururu na wewe unawapanga msururu ? Sasa kazi ya akili yako inakuwa wapi ?
Hapa hujanielewa na hili ni tatizo lenu pakubwa sana, kazi ya akili kwa mwanaume na mwanamke ni Ile Ile.Ungeanza kwanza kuhoji kazi ya akili ya wanaume wanaopanga msururu kabla ya kuhoji ya wanawake
Ke wengi wanatoa ultimatum, "tumekuwa na urafiki kwa mda fulani, kama haupo tayari kwa ndoa mimi siwezi kuwa na wewe tena"!Ni kwa njia gani ke anaweza kuinitiate ndoa mkuu
Haupo serious, wanaume tukiwaza wanawake wa kufanya nao maisha mvuto ni kitu cha mwisho tunaangalia, hao unaosema wenye mvuto tunawanyaga side chicksDah wala sichagui sana, ila kiukweli sivutii huenda ndiyo sababu wanakimbia
Sawa umekubali nilichokiuliza ni sahihi ? Kama ni sahihi swali lako linakuwa halina maana.Sawa niambie madhara ya moja kwa moja yanayompata mwanamke mwenye wanaume wengi mkuu
NAKAZIA [emoji419][emoji375]Huwezi pata mtu sahihi wa kukuoa kama una kisirani, mjuaji, gubu nk. Be humble
Lazima ujiulize sababu kwanini mwanamke anapanga msururu, siyo kila kosa analofanya mwanamke basi mnadhani ni kwa ajili ya kumlipizia mwanaume tu, mimi nimesema mwanamke anapanga msururu kwa sababu akiwa na mmoja anakuwa hana uhakika kama ataolewa na huyoHapa hujanielewa na hili ni tatizo lenu pakubwa sana, kazi ya akili kwa mwanaume na mwanamke ni Ile Ile.
Mwanaume akikosea wewe hupaswi kukosea. Ndio maana nikakuuliza kazi ya akili yako wewe ni ipi ? Ulitakiwa ujue ya kuwa mwanaume kupanga msururu ni kosa na wewe kuwapanga msururu ni kosa. Hii imepelekea nipate wasi wasi juu ya uwezo wako wa akili na kuyang'amua mambo.
sijui kwa nini inatokea kuwaza hivi, tangu siku ile aliya alivyofariki kwa ajali kule marekani mpaka leo naamini watu wenye majina ya aliya hawaishi umri mrefuWewe ukiwa na 43 Mimi nitakuwa na 37[emoji3][emoji3]
Haya unakuta mwanaume alikuwa na wanawake labda watano na wote wamemuambia hivyo, tuseme akaamua kuchagua mmoja akamuoa hao wengine wanne akawaacha niambie wanafanyeje, je kila mmoja wao angekuwa na mwanaume zaidi ya mmoja hapo wasingeongeza chances za kuolewa mkuuKe wengi wanatoa ultimatum, "tumekuwa na urafiki kwa mda fulani, kama haupo tayari kwa ndoa mimi siwezi kuwa na wewe tena"!
Kwa kauli hii kama Me anamhitaji lazima achukue hatua....
Nithibitishe nini jibu swali acha kuzunguka, mimi hakuna mahali nimesema kwamba madhara lazima yawe physical tu ila mimi nilitaka tu anitajie madhara physical, sasa kwa kuwa wewe umekuja na hiyo hoja ya kwamba madhara si lazima yawe physical basi yataje hayo ambayo siyo physicalSawa umekubali nilichokiuliza ni sahihi ? Kama ni sahihi swali lako linakuwa halina maana.
Kama sio sawa itabidi uthibitishe kisha nikujibu swali lako.
Hii comment ingewezekana ukaitengenezea uzi kabisa maana ni zaidi ya madini. KUDOS brother!!Kuna kitu nahitaji kuwafunza mabinti ambao hawajafika 30.
Ukipata mpenzi ukamuona ana hofu ya Mungu, maisha yake yapo wazi hasa tabia zake, anakupenda kwa dhati, yupo tayari kukutambulisha kwa ndugu zake na kwa familia yake.
Yamkini asiwe na kipato kikubwa sana ila ana uwezo wa kufanya wote mle na mkalala, ISHI HAPO.
Acha tamaa za kutaka uolewe na mwanaume mwenye pesa, anayefanya kazi TRA, bandari, mfanyabiashara mkubwa, mwenye muonekano fulani n.k mwisho mtakuja kuangukia kwa wanaume za watu au kwa wanaume ambao wataishia kukuchezea. Kumbuka sehemu kubwa ya mwanaume mwenye pesa, ngono anachukulia starehe tu, kwahiyo atakuchukua na kukutumia baada ya kukutamani akijua anapiga na kupita zake.
Binti yangu, huyo mwanaume wa mtu unayemuona ana pesa, hazijaja tu hivi hivi, alianza chini kabisa kama huyo kijana ambae kwa sasa wewe unamdharau.
Kama umewahi kumnyanyasa kijana wa watu kisa masikini, yeye sijui hana umbo zuri n.k moyo wake ukaumia, katafute suluhu naye sababu huenda kuna mambo yako yakafunguka.
Mabinti sio kwamba mnakosa watu wa kuwaoa ila tamaa za maisha zimekuwa zikiwatesa wengi, (kumbuka Hawa alidanganywa kwa kutamani pale bustani ya edeni, mwanamke ukiishinda tamaa una sehemu kubwa sana ya kuishi maisha ya furaha duniani). Mnapenda smartphones, kila wiki msuke, utolewe out n.k mnaishi maisha ya udangaji kisa mna uzuri wa sura au mna matako makubwa, kwa bahati mbaya sana, ukishazoea kudanga, mwanaume yeyote atakujua tu, udangaji ni kama ngozi, HAIJIFICHI na hata ukijitahidi, mtu atasikia tu stori zako.
Sasa hivi kijana wa 30, 31, 32 ambapo kwa sehemu kubwa ndo vijana wengi walau kwa sehemu wanaanza kuona mwanga ktk eneo la uchumi hawezi kuwa na mwanamke wa 30, lazima atafute wa 24, 25 au 26 unless awe mpumbavu.
Girls kuweni makini sana na umri, uliowatupa kisa hawana ela, wakipata ela na wao watakuona wewe sio hadhi yao. Tafuta kijana mwezio mtakaopendana, mtie moyo ktk utafutaji, mpende sana na kumpa heshima hata pale ambapo anapungukiwa, mwanaume huyo hatokusahau.
Ooho kwaninisijui kwa nini inatokea kuwaza hivi, tangu siku ile aliya alivyofariki kwa ajali kule marekani mpaka leo naamini watu wenye majina ya aliya hawaishi umri mrefu
Ahsante sana mkuu, ushauri huu umenipa nguvu👏 ubarikiweDada yangu ameolewa ana 35years na ana watoto. Nakumbuka Kuna mabrother pale mtaani walikuwa wananiambia "dada Yako anaonekana mkali sana Hadi unamuogopa"
Lakini siyo mkali, ni kuishi TU kimaadili (kimavazi, muonekano, matendo, etc).
Dada yangu mtoa mada usiogope. Sometimes wanaume hawakufati siyo kwasababu hawakuoni au hauna mvuto, ila kwasababu ya namna haiba Yako ilivyo inavutia zaidi high quality men na siyo wa kuonjaonja.
Wewe unaona wanaume wako wengi sbb umeshaolewa, unaongea kwenye comfort zone, sbb huna pressure, hao wanaume wengi wako wapi? Supermarket au wapi? Usichanganye wanaume na wavulana au wanaume suruali ukadhania ndio umewaweka kapu moja wanaweza kumudu ndoa.
Sasa hadi kafika 30s na hajaolewa ujue kuna tatizo na yeye kaona, standard yake ndio imeshindikana, so akae tu hadi uzee au menopause imkute? Bora azae kama mchepuko, maana hadi sasa kakosa wa standard yake na miaka inakimbia.
Hili pia ni kosa kama ulivyo taja sababu nyingine niliyokujibu ya kuwa kuwapanga msururu ni kutokana na sisi kuwapanga msururu.Lazima ujiulize sababu kwanini mwanamke anapanga msururu, siyo kila kosa analofanya mwanamke basi mnadhani ni kwa ajili ya kumlipizia mwanaume tu, mimi nimesema mwanamke anapanga msururu kwa sababu akiwa na mmoja anakuwa hana uhakika kama ataolewa na huyo
Una umakini mdogo sana, ulipaswa wewe ujibu swali langu kwanza lakini huku fanya hivyo.Nithibitishe nini jibu swali acha kuzunguka, mimi hakuna mahali nimesema kwamba madhara lazima yawe physical tu ila mimi nilitaka tu anitajie madhara physical, sasa kwa kuwa wewe umekuja na hiyo hoja ya kwamba madhara si lazima yawe physical basi yataje hayo ambayo siyo physical
sasa kwa kuwa wewe umekuja na hiyo hoja ya kwamba madhara si lazima yawe physical basi yataje hayo ambayo siyo physical