Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Mwanamke/mwanaume anaweza kudate watu zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja, nadhani watu hawaelewi hii kitu, kudhani kwamba dating equals ngono ni kosa kubwa sana.

Sasa unadate vipi mtu mmoja wakati hujui yupi kati yao anaweza kuwa mume? Date as many men as you can(only potential husbands), kati yao utachagua yupi unaona anfaa kuwa mume, na katika hili tunasema mshurikishe Mungu. Katika dating weka ngono pembeni(kitu ambacho wengi hatuwezi) hadi pale utakapokuwa na uhakika kuwa Eroni is my man, sasa unadate wanaume wanne na wote unawapa papa jamani, that's umalaya.
 
Habari ya weekend great thinkers?

Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔

Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.

Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?😔

Nipo tayari kwa comments zote.

Happy valentine's day in advance 👏🥰
Dada yangu ameolewa ana 35years na ana watoto. Nakumbuka Kuna mabrother pale mtaani walikuwa wananiambia "dada Yako anaonekana mkali sana Hadi unamuogopa"

Lakini siyo mkali, ni kuishi TU kimaadili (kimavazi, muonekano, matendo, etc).

Dada yangu mtoa mada usiogope. Sometimes wanaume hawakufati siyo kwasababu hawakuoni au hauna mvuto, ila kwasababu ya namna haiba Yako ilivyo inavutia zaidi high quality men na siyo wa kuonjaonja.
 
Dada yangu ameolewa ana 35years na ana watoto. Nakumbuka Kuna mabrother pale mtaani walikuwa wananiambia "dada Yako anaonekana mkali sana Hadi unamuogopa"

Lakini siyo mkali, ni kuishi TU kimaadili (kimavazi, muonekano, matendo, etc).

Dada yangu mtoa mada usiogope. Sometimes wanaume hawakufati siyo kwasababu hawakuoni au hauna mvuto, ila kwasababu ya namna haiba Yako ilivyo inavutia zaidi high quality men na siyo wa kuonjaonja.
Zingatia hii@financial services mwamba katoa bonge la ushauri.
 
IMG_20240118_201828.jpg

I hope mtoa mada, kuchelewa kuolewa haitokani na kumsubiria huyu mwanaume FALA wa mwisho
 
Mwanamke/mwanaume anaweza kudate watu zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja, nadhani watu hawaelewi hii kitu, kudhani kwamba dating equals ngono ni kosa kubwa sana.

Sasa unadate vipi mtu mmoja wakati hujui yupi kati yao anaweza kuwa mume? Date as many men as you can(only potential husbands), kati yao utachagua yupi unaona anfaa kuwa mume, na katika hili tunasema mshurikishe Mungu. Katika dating weka ngono pembeni(kitu ambacho wengi hatuwezi) hadi pale utakapokuwa na uhakika kuwa Eroni is my man, sasa unadate wanaume wanne na wote unawapa papa jamani, that's umalaya.
Uwiiii🤣😂
 
Kuna clip nimeiona yule dada wa EATV kaandaa event kwa ajili ya walio single kukutana siku ya Valentine day, siamini kama tumefika na huku Tz.Maana events kama hizi nchi za mbele wanao huduria wengi huwaga wanawake,wanaume huwaga hawa jitokezi kabisa,kwani wanaume tumeumbiwa kuwinda na si kuwindwa.
 
Tuki sema miss Amina hata Katie haina noma,
Nita Hakikisha Hakuna machozi Kama
Jude.

Sito subiri aseme ana kuja Kama sister p.
Mkubwa Tresor Mandala ata malizia, hahaha
Kuna real story life advise ilinitokea nimejikunja kuandika nikajua ita wa touch wengi na sikupenda ni be quotes na watu...

Nimeifuta aisee
 
Mkuu sija wahi halalisha hicho kitu, sheria ni msumeno why ikate upande mmoja???.
Kama wote mko njia sahihi ni vizuri, na sio Eti mmoja ni royal Afu mwingine burudani kwa wote.

Masuala ya kiroho haya chagui jinsia au umri, ni Kama magonjwa je Yana chagua mgonjwa!!
Ili tuwe na jamii Bora, lazima wote tuwe committed.
Na masuala Kama haya ni matokeo mabovu ya misimamo ya mtu. Jadda
Aahh kumbe muda wote nabishana na mtu mwenye mtazamo huu basi ningejua hata tusingefika kote huku

Mkuu wewe sasa ndio tunaongea lugha moja, binafsi huwa nabishana na wale wanaosema eti mwanaume akiwa na wanawake wengi hakuna madhara, ila kwa mwanamke yapo ndio nataka waniletee hapa hayo madhara hasa physical

Hata mimi mtazamo wangu ni huo huo kwamba kila mtu awe na mpenzi mmoja tu, sasa mwanaume ukishataka uwe nao wengi kwa visingizio vya kipumbavu hao wanawake nao lazima wakae mguu nje mguu ndani, maana wanajijua wapo wengi hivyo hawana uhakika wa kuolewa hapo
 
Aahh kumbe muda wote nabishana na mtu mwenye mtazamo huu basi ningejua hata tusingefika kote huku

Mkuu wewe sasa ndio tunaongea lugha moja, binafsi huwa nabishana na wale wanaosema eti mwanaume akiwa na wanawake wengi hakuna madhara, ila kwa mwanamke yapo ndio nataka waniletee hapa hayo madhara hasa physical

Hata mimi mtazamo wangu ni huo huo kwamba kila mtu awe na mpenzi mmoja tu, sasa mwanaume ukishataka uwe nao wengi kwa visingizio vya kipumbavu hao wanawake nao lazima wakae mguu nje mguu ndani, maana wanajijua wapo wengi hivyo hawana uhakika wa kuolewa hapo
Ume someka vyema mkuu, itifaki izingatiwe.
 
Back
Top Bottom