Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Mmh dadaangu hamna mwanamke ambae hatongozwi hata wale wabovu kuna wanaume wanawachombeza sana tu ondoa hiyo dhana akilini kila mwanamke anatongozwa bibie.

N.b kwani JF hujawahi tongozwa!?
Wewe umeshawahi kunitongoza humu hadi usiamini kama sitongozwi na hao wengine wa humu pia?
 
Wewe umeshawahi kunitongoza humu hadi usiamini kama sitongozwi na hao wengine wa humu pia?
Acha nitest mitambo, nione kama bado nakumbuka kushusha mistari.

Kwa jina la upendo karibu moyoni, sintokufanya mpita njia, bali nitakupa makazi ya kudumu.

Mlango wa Madhabahu ya moyo wangu, umefunguka ajili yako hivo usisite kuingia coz we ndo mteule wa moyo.

Ikiwa utaniridhia, daima chozi la furaha pekee, ndo litatirika kutoka ktk vilindi vya macho yako.
 
Sawa mkuu, kwenye issue serious umekuja kukumbushia mitongozo, naweza kuwa ni ndugu yako
 
Hongera mkuu, ila ulimkatisha masomo? 2020 alikua na 18yrs but ni vizuri atalea watoto wake akiwa binti mbichii, mimi nimeshakubaliana watoto wataniita bibi/ajuza sawa😒
 
Mbona mimi nilikutongoza ukanikataa

Cc Andazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…