Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Wahaya utawajua tu na tambo zao irrelevant, kulikuwa na haja gani ya utambulisho wote huo? Sema siyo shida yako nature yenu ni kwamba hamuwezi kwenda straight to the point hadi mtie wasifu kidogo#no offense jus Peace out[emoji4]
Mimi sio mhaya ni mchaga nawaza pesa hadi nikiwa chooni nipo Ujerumani lakini maisha jinsi ninavyojibana kama Mjerumani vile 😂 😂 😂 😂 😂 . Ishu níkumuelewesha mtoa mada watanzania wamekata tamaa na elimu. Ukiangalia vyombo vya habari mada inayopewa kioaumbele ni ngono, michezo na starehe. Vijana wengi wanawaza kutajirika kwa biashara kuliko elimu. Kila kitu duniani ni information na skills, you will paid in regards with these two. Kuipa michezo, muziki na ngono kipaumbele katika media kunalemaza jamii. Hapo ndio wachache waliokuwa exposed wanachukua point tatu. Ninapenda kuongezea kuwa usikimbizane na muda wala usishindane na watu. Shindana na wewe wa jana. Jaribu kubadilika kila siku na kujifunza faida ya uklichobadilisha kwenye maisha yako.
 
Muda wako ukifika utapata familia,
Ondoa hofu, Muamini Mungu.


Hapo ukijichanganya tu my dear utaishia usingle mama ambao ni stress mara mbili zaidi ya kuwa single.
Wanawake mumekalia Mungu Mungu tu most hoja zinazomtaja Mungu ni hoja ambazo hata Mungu mwenyewe anazichukia kwasababu huyo Mungu katoa miongozo ya kufanya sio kumlilia lilia yeye tu fanya Ptogress ukiwa unamtaja.

Mungu atakueretea kwa njia gani kimaajabu ajabu you need to work out to get that.
 
Wanawake mumekalia Mungu Mungu tu most hoja zinazomtaja Mungu ni hoja ambazo hata Mungu mwenyewe anazichukia kwasababu huyo Mungu katoa miongozo ya kufanya sio kumlilia lilia yeye tu fanya Ptogress ukiwa unamtaja.

Mungu atakueretea kwa njia gani kimaajabu ajabu you need to work out to get that.
Oyaa mbona Kama una katisha tamaa Sana😂😁🤣
 
Hizi tabia za kudeka deka na ulalamishi ndizo zimetufikisha kwenye hii shughuli ya kuwa na wanawake wengi walioanza kuingia uzee na hawana direction nzuri ya mahusiano na familia.

Furaha yako au huzuni yako haina umuhimu mbele ya ustawi wa jamii. Kasi ya wanawake wanaopoteza muda kupata watoto, hawaoleki, wanasoma ila wanaishia kuwa broke and jobless na kuishia kuwa single mothers ni matokeo ya kufuata fikra kama hizi zako.

So mwanaume anapotoa maelekezo na direction sio swala la kubishana ni swala la kuelewa na kucomply. Haya mambo ya kubembelezana tunaangamiza taifa letu.

Masingle mother wanaongezeka, watoto wao ni product mbovu kabisa ya watoto kimakuzi, maadili yanapiromoka. Hizo elimu zenu zina impact gani kwenye level ya taifa zaidi ya sifa za kusifiana tu hebu tuseme ukweli.

So wewe kama unaona furaha ya mwanamke kwa kuweka goals zake mbele kuliko goals za jamii ni muhimu then think twice.
Na kwanini ionekane kama jamii kuharibika ni makosa ya wanawake na si matatizo ya wanaume kushindwa kuendana na hali halisi ya ulimwengu wa sasa, sikia bro hizo enzi za bibi zetu zilishapita na hakuna mwanamke ambaye atakuwa tayari kurudi huko hata dunia ibadili mzunguko wake, na nadhani hali halisi ya tunakoelekea umeshaanza kuiona wanawake wengi siku hizi hawajali tena kuhusu mitazamo ya jamii wanajali furaha yao kwanza

Kadiri mnavyozidi kuwatandika viboko ndivyo nao wanavyozidi kutafuta namna ya kuwa masugu ili visiwaumize na siyo kutafuta namna ya kuvikwepa, and trust me ikifikia hiyo hatua wanawake wote wakawa masugu basi wanaume mtashuhudia the worst era tangu dunia iumbwe, wanawake wameshachoka wao kutakiwa kusacrifice furaha yao kila siku kwa ajili ya wanaume kama mnaona ni rahisi anzeni ninyi kusacrifice furaha yenu halafu mje hapa tuongee lugha moja

So kilichobaki hapa ni either ninyi wenyewe wanaume ndio muanze kubadilika mkubali kucompromise au muendelee kulalamika hadi mwisho wa dahari, lakini wanawake hawatakubali tena kuendelea kuburuzwa na kuwa watumwa in the name of maadili sijui ustawi wa jamii hilo ni jukumu la jinsia zote, kama ninyi ndio mnaumizwa sana na uharibifu wa jamii basi tunategemea ninyi ndio muanze kubadilika siyo tena mzigo wote muwasukumizie wanawake tu
 
Mzee uwezo wako kuchanganyua hoja mdogo au just umemua kutokuelewa.

Talking JF members hata huyo anayetumia JF as Guest ni JF members nayemzungumzia hapa na yeye anaingia that common sense...Mosi.

Pili wewe una base kupima uwelewa wa JF members hoja ni mwanamke anayetumia JF na asiyetumia JF chukka huku 20 na chukka huku 20 wapi una bet wana uelewa is that need a rocket science to get the point.
Uelewa mkubwa au mdogo wa mtu haupimwi kwa kutumia au kutokutumia social platforms, ni sawa na kumjaji mtu kwa vitu anapost,Na pia inategemea mnaongelea uelewa katika nyanja ipi?
Kina Elon wanashinda X kupost vobonzo na memes lakini ni moja ya watu wanaoaminika kuwa na uelewa mkubwa duniani.
 
Mimi sio mhaya ni mchaga nawaza pesa hadi nikiwa chooni nipo Ujerumani lakini maisha jinsi ninavyojibana kama Mjerumani vile [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] . Ishu níkumuelewesha mtoa mada watanzania wamekata tamaa na elimu. Ukiangalia vyombo vya habari mada inayopewa kioaumbele ni ngono, michezo na starehe. Vijana wengi wanawaza kutajirika kwa biashara kuliko elimu. Kila kitu duniani ni information na skills, you will paid in regards with these two. Kuipa michezo, muziki na ngono kipaumbele katika media kunalemaza jamii. Hapo ndio wachache waliokuwa exposed wanachukua point tatu. Ninapenda kuongezea kuwa usikimbizane na muda wala usishindane na watu. Shindana na wewe wa jana. Jaribu kubadilika kila siku na kujifunza faida ya uklichobadilisha kwenye maisha yako.
Saw we Germanchaga, sasa kama shule haipandi mtu atalazimisha tu kusoma?? Unaweza ku force shule mwishi wa siku ukazekea huko, halafu uje humu jukwanii muanze kuharibu na kuwaaminisha wengine kuwa maisha yanaanza at 40yrs.
Ushauri wako nitawapa wanangu maana mimi huko shuleni kulishanishinda.
 
Na kwanini ionekane kama jamii kuharibika ni makosa ya wanawake na si matatizo ya wanaume kushindwa kuendana na hali halisi ya ulimwengu wa sasa, sikia bro hizo enzi za bibi zetu zilishapita na hakuna mwanamke ambaye atakuwa tayari kurudi huko hata dunia ibadili mzunguko wake, na nadhani hali halisi ya tunakoelekea umeshaanza kuiona wanawake wengi siku hizi hawajali tena kuhusu mitazamo ya jamii wanajali furaha yao kwanza

Kadiri mnavyozidi kuwatandika viboko ndivyo nao wanavyozidi kutafuta namna ya kuwa masugu ili visiwaumize na siyo kutafuta namna ya kuvikwepa, and trust me ikifikia hiyo hatua wanawake wote wakawa masugu basi wanaume mtashuhudia the worst era tangu dunia iumbwe, wanawake wameshachoka wao kutakiwa kusacrifice furaha yao kila siku kwa ajili ya wanaume kama mnaona ni rahisi anzeni ninyi kusacrifice furaha yenu halafu mje hapa tuongee lugha moja

So kilichobaki hapa ni either ninyi wenyewe wanaume ndio muanze kubadilika mkubali kucompromise au muendelee kulalamika hadi mwisho wa dahari, lakini wanawake hawatakubali tena kuendelea kuburuzwa na kuwa watumwa in the name of maadili sijui ustawi wa jamii hilo ni jukumu la jinsia zote, kama ninyi ndio mnaumizwa sana na uharibifu wa jamii basi tunategemea ninyi ndio muanze kubadilika siyo tena mzigo wote muwasukumizie wanawake tu
Hilo zigo lend sisi halituhusu hauna maadili utajioa hakuoi mtu
 
Hawa ni wadada kipindi cha usichana wanauliza umetoa wapi namba yangu, walipata wa kuwaoa wakawa hawajibu sms Extrovert

[emoji38][emoji38][emoji38] sasa kama unakuja na gia za kihuni kwanini usiulizwe hata sisi tunajuaga mwanaume serious

Hivi unakuta mtu anakutafuta halafu yupo kihuni si lazima uhoji
 
Mzee uwezo wako kuchanganyua hoja mdogo au just umemua kutokuelewa.

Talking JF members hata huyo anayetumia JF as Guest ni JF members nayemzungumzia hapa na yeye anaingia that common sense...Mosi.

Pili wewe una base kupima uwelewa wa JF members hoja ni mwanamke anayetumia JF na asiyetumia JF chukka huku 20 na chukka huku 20 wapi una bet wana uelewa is that need a rocket science to get the point.
Nadhani wewe ndio umeamua kutonielewa au kutetea unachokiongelea.

Kwanza sijazungumzia jf guests maana hao pia nafahamu kuwa ni users. Niliongelea wanaofahamu kwamba kuna kitu kinaitwa jf but hawana time nacho.

Kuhusu hoja Yako ya pili, hivi mwanamke anayetumia jf sio jf member? Mbona kama unajichanganya? Au unaposema uelewa unakuwa unamaanisha nini mkuu?
 
Uelewa mkubwa au mdogo wa mtu haupimwi kwa kutumia au kutokutumia social platforms, ni sawa na kumjaji mtu kwa vitu anapost,Na pia inategemea mnaongelea uelewa katika nyanja ipi?
Kina Elon wanashinda X kupost vobonzo na memes lakini ni moja ya watu wanaoaminika kuwa na uelewa mkubwa duniani.
Uelewa unapimwa na nini
 
Lakini wao waliwza kuwa na mwanaume aliyemzidi miaka 5, 10 ila wewe ndio uwezi kuwa na mwanamke uliyemzidi 5, 10....mlinganganyo kama huu mwanamke ndio anaupenda through ni win win kwake akiwa kwenye Pick 20, 21 ana date na wenye pesa wa 30 akifika kashazeeka huko 30 anajiyafutia age mate wake kama wewe.

Mwanaume timamu awi na mwanamke mwenye umri sawanae unless kuwe na exceptional...
Kiswahili chepesi, mie siwezi date na binti nimemzidi miaka 10 hivi.
 
Unadhani hafanyi juhudi?
Anafanya maandalio lakini jawabu kinatoka kwa Mungu.
Wanawake mumekalia Mungu Mungu tu most hoja zinazomtaja Mungu ni hoja ambazo hata Mungu mwenyewe anazichukia kwasababu huyo Mungu katoa miongozo ya kufanya sio kumlilia lilia yeye tu fanya Ptogress ukiwa unamtaja.

Mungu atakueretea kwa njia gani kimaajabu ajabu you need to work out to get that.
 
financial services we nunua kuku na ngano, tupike Kama zile za KFC
FB_IMG_17074712392880868.jpg
 
Back
Top Bottom