Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Jina lako linasadifuMIMI KWANZA.single na nina enjoy [emoji847][emoji847][emoji847]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jina lako linasadifuMIMI KWANZA.single na nina enjoy [emoji847][emoji847][emoji847]
Fursa zipo nyingi sana ila reality haiko hivyoTanzania kuna hela nyingi sana za kupiga wachache ndo tunajua. Fursa zipo nyingi sana ukitembea na kuja huku akili ndio inafunguka na kutambua kuwa nyumbani kuna fursa kibao.
Umeongea point early 20s utoto mwingi lkn ndio watamu unapiga mechi hawachoki bado wanautaka raha tupuEarly 30s' bado hakuna changamoto, relax utapata hitaji lako, tena unapata mtoto ukiwa matured!!
Wengine tulianza kuzaa kwenye early 20s' utoto ulikuwa mwingi sanaa
Unadhani huku ujerumani nimekuja na hela ya kupewa ? 😂 😂 😂 😂 😂 Ukiona fursa hauzioni badili marafiki ndugu yangu. Kama bado hazionekani badili unapokaa. Jitahidi kujifunza kitu kipya kila siku pia jaribu kubadilika badilika hadi ujipate.Fursa zipo nyingi sana ila reality haiko hivyo
Kuwa huruJina lako linasadifu
Ofcourse if they got No options then they are gonna find a way to be happy that way [emoji4][emoji4]They love being single mothers?[emoji848]
Kwako kutokuoa mwanamke asiye na maadili inamaana kutokuoa kabisa, wenye maadili wataolewa wewe baki na tabia zako mbaya jitetee nje kumbe ndani unaumia eti zama zimeisha.Amka mkuu zama za kuwatishia wanawake ndoa na kuitumia kama fimbo ya kuwachapia zinaelekea ukingoni wanawake siku hizi wameshaacha kutafuta furaha kwa wanaume wanaipata kwa watoto wao, fuatilia siku hizi wanawake kuwa single mothers imeshakuwa fashion wengi hawajali tena kuhusu matusi wanayotukanwa na 'jamii' (ambayo actually ni wanaume), matokeo yake wewe usipooa humkomoi mtu endelea kununua malaya fainali uzeeni mwanamke atabaki na watoto wake wewe utabaki na malaya wako
Mtu sahihi hana alama usomi pia kila binadamu duniani anatoka kwenye familia ambayo huijui.Hauko peke yako Mkuu....si kila familia Ni za kuunganisha nazo damu unapozaa Na MTU unakua umunganisha Damu Na yeye kupitia mtoto.......ni vyema upate watoto Na Mtu sahihi mkishaoana
Wewe K huwezi elewaKijana wa kiume halafu unajiita mama Samia ?
Kisicho kuua, huku komaza.Nimesoma comments zote za kufariji na zenye ukweli mchungu, nawashukuruni sana na naendelea kufatilia comments zote zingine zitakazoongezeka.
Kuna comments zinaumiza na kukatisha tamaa ila ndiyo dawa👏
Sema aji kaze kaze, kuji fungia ndani.Aisee,pole....Mungu akupe familia
Be serious mkuu hao wanawake wenye maadili zama hizi mnawatoa wapi labda muumbe wa kwenu, wangekuwepo basi kusingekuwa na malalamiko ya wanaume kila siku, kwamba wanawake wanawaigizia kwenye uchumba halafu kwenye ndoa wanafungua makucha yao halisiKwako kutokuoa mwanamke asiye na maadili inamaana kutokuoa kabisa, wenye maadili wataolewa weqe baki na tabisa zakl mbaya jitetee nje kumbe ndani unaumia eti zama zimeisha.
Sahivi hatakiwi kukosa Kila event si msiba,si harusi,si sendoff si kanisani,si Kko....mumewe yupo huko bado anazururaSema aji kaze kaze, kuji fungia ndani.
👉Huyo mume ata toka mbinguni 😀
Nime Soma comments, nika tamani Mr Dell nitangaze ndoa😀😂.Sahivi hatakiwi kukosa Kila event si msiba,si harusi,si sendoff si kanisani,si Kko....mumewe yupo huko bado anazurura
mimi nina over 40 nataka kigori wa 18, tena hiyo ni kutokana na sheria ya serikali vyenginevyo ningeoa wa 15Mwansume hata 40 poa tu unaezaoa wa la7
Upande wa pili wana kikomo cha kuzalisha mayai, Me hawana kikomo, hata kama ni kibabu bado silaha zinakuwa imara.Hivi kwanini Mwanamke akifika miaka 25+ kama hana Mtoto wala Mume anachanganyikiwa alafu Mwanaume anaweza kua na 32+ hana Mtoto wala Mke alafu fresh tu hata hapagawi???
Sasa ndoa ni package....zaidi ya utamu hahahaUmeongea point early 20s utoto mwingi lkn ndio watamu unapiga mechi hawachoki bado wanautaka raha tupu