Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Kama hujawahi kufika mojawapo ya hizo nchi pole mkuu mitandao haitoshi kukupa picha halisi ya maisha ya kule wewe umetoa mfano wa Beyonce ambao hauna uhalisia, mimi nakupa mfano wa uhalisia Kim Kardashian yule pale alikuwa na utitiri wa wanaume hadi videos zake za ngono zilivuja ila ndio kwanza anazidi kupata endorsements na kuongeza followers na hakuna anayemdharau heshima yake inazidi kuongezeka, halafu kinachofanya mwanamke mwenye wanaume wengi aitwe malaya ilihali mwanaume mwenye wanawake wengi haitwi hivyo ni kipi hasa
Una uhakika wanaume hawaitwi Malaya.
Sasa hapa ndo nakurlewa wewe mtu WA aina Gani.

Unasema Kim anapata endorsement na followers wengi na ana Hadi video za ngono lakini bado wanaume wanamtaka

Haujilizi kwanini wanaume wanamtaka? Haujiulizi kwanini video za ngono Zina watazamaji wengi? Haujiulizi hao followers wanafata Nini Kwa Kim? Huyo Kim hata mie ukinisogezea karibu napite naye

Tuje bongo kwamfano rahisi. Wema Sepetu bado anakiki kama zamani? Majuzi hapa katoka kafokewa na mama yake.

Unadhani Mama yake Wema anamchukuliaje mwanae (mwanamke mwenzie)? Unadhani pale alipo Wema yupo SAWA hakuna anachojutia kwenye maisha yake japo yupo kwenye mahusiano mengine sahivi? Unadhani ndugu zake wa karibu wanamchukuliaje?

Kama wewe umeamua kuwa mwanamke wa wanaume wengi kila la kheri. Usidhani kuwa na body count kubwa unamkomoa mwanaume, itakuathiri wewe zaidi.

Wanaume wakijua Kuna wanaume wengi wamepita kwako. Ndivyo watazidi kupanga foleni kwako kwa lengo la kutafuta sex na siyo serious relationship, wakikuchoka wanakudump

Ukianza kuchuja wataanza kupungua, utaanza kutamani uwe na familia Yako iliyojaa amani, upendo, maelewano, nk. na hapo ndiyo utaanza kuona madhara ya kuwa msururu wa wanaume
 
Good sasa umerudi kule kule tulipoanzia nijibu swali langu, kwanini huko kwa wazungu mwanamke akiwa na wanaume wengi hadharauliwi na inaonekana ni kitu cha kawaida, uzuri wewe mwenyewe shahidi umesema huyo Kim Kardashian hata wewe unaweza pita naye

Sasa jiulize kwanini Kim na kwanini siyo Wema kwani Kim ana nini na Wema ana nini wote si wanawake au, kumbuka umesema kwamba mwanamke kuwa na wanaume wengi inamuathiri kisaikolojia, sasa kwani hao kina Kim siyo wanawake mbona wao hawaathiriki kisaikolojia

Si kila ninachoandika humu basi nakifanya au kimenitokea mimi naandika uhalisia uliopo kwenye jamii, siandiki mawazo yangu binafsi ilihali ninyi ndio mnaandika mawazo yenu binafsi, na tena mnatumia mihemko tu katika kujadili badala ya kutumia logic na facts zilizopo

Halafu kwanini kila kosa analofanya mwanamke huwa mnakimbilia kusema kuwa anamlipizia au anamkomoa mwanaume, kwani wanawake ni malaika kiasi hawatakiwi kufanya makosa, kwanini huwa mnapenda kujishuku kwa hiyo kauli ya "hamuwakomoi wanaume" mkuu

Na kama hamkomoleki kwanini wanawake wakichepuka, wanaume ndio mnaoongoza kulalamika na kuwatukana kuliko hata wanawake wenzao, nitashukuru ukijitahidi kunijibu maswali yangu kama nilivyouliza
Unasema unaongea uhalisia ( nikajua hapo mtaani kwako) lakini hapohapo unasema kwanini wanawake kizungu hawadharauliki. Nyie ndiyo mnaendaga vijijini kuongea lugha za kizungu muonekane mna akili

Wewe kama mwanamke ukiona unapata wanaume wengi unatakiwa ujiulize wanafata nini kwako, wanaume halisi wanajua huyu wa kusex naye na huyu wa kiweka ndani.

Kunishangaa kwanini nitampitakwa Kim sasa hiyo ndiyo tofauti ya mwanamke na mwanaume linapokuja suala la mahusiano.

Me kwa Kim nafata sex kwasababu ana vutia kingono, lakini siwezi kuthbutu kumweka ndani, tunasema mwanamke huyu Kwa Kwa ajili kupunguza mzigo wa shahawa na mwanamke huyu kwa kwa ajili ya familia.

We unadhani nikiwa na mahusiano na Kim ni kwa sababu nampenda sana, nampendea mwili wake kingono TU basi.

Nyie wanawake Kwa wanaume mnafata nini? Mnafata matamanio ya kingono kama sisi? Hivi unajua tunawachukuliaje au tunawaongeleaje hao wanawake wa pembeni. Ungejua tunavyowaongeleaga....

Ndiyo maana nikasema wanaume na wanawake hatufanani, nyie wanawake sex mnaifanya ndani ya miili yenu wakati sisi sex tunaifanya nje ya miili yetu

Mwanaume kwenye sex akishamwaga TU basi anaondoka zake, wakati mwanamke anaendelea kubaki na bond na huyo mwanaume kwenye mwili wake (watafute wa psychology wakueleweshe) ndiyo maana Kuna wazee wanatushauri tuoe wanawaka ambao ni bikra, ukiwa na body count kubwa it means una bond tofauti tofauti na wanaume wengi, na ndiyo maana ndiyo nyingi za siku hizi hazidumu
 
Yani mada kama hizi unataka tujadili kuhusu wanawake wa mtaani kwangu hebu kuwa serious basi bro, mi najadili wanawake wa dunia nzima yani chochote tunachojadili hapa kaa ukijua tunarefer wanawake toka kila pembe ya dunia, siyo mimi wala siyo wa mtaani kwangu tu

Sasa unaposema kwamba wewe huwezi kumuweka ndani Kim bali utamtumia kwa ajili ya sex je hilo litamzuia kuolewa, mbona pamoja na kupita na wanaume wengi bado kaolewa na hakuna anayemdharau na wala hajaathirika kisaikolojia, kwahiyo wewe unataka kuniambia kwamba wanawake wote wanaoolewa ni wale wenye mwanaume mmoja tu si ndio

Mkuu sex kila mtu anaifanyia ndani ya mwili wake hakuna anayeifanyia nje ya mwili wake, kwa sababu hata wanaume kuna wanawake huwa wanawapenda kwa dhati kabisa na vivyo hivyo kwa wanawake, si kila mwanaume anayetembea naye basi anampenda wengine huwa wanatembea na wanaume wengi kwa sababu fulani tu

Halafu logically tendo linalohusisha jinsia mbili haliwezi kuwa zuri kwa jinsia moja halafu likawa baya kwa jinsia nyingine, ni either liwe zuri kwa wote au baya kwa wote kwa sababu wanawake wanafanya na wanaume na wanaume wanafanya na wanawake, hakuna jinsia inayofanya hilo tendo na viumbe wengine kabisa

Yani mwanamke na mwanaume ni kama pande mbili za shilingi wanategemeana kwenye mambo mengi kuanzia ya kihisia hadi kuzaliana, sasa kusema eti ngono akifanya mwanaume ni sawa ila akifanya mwanamke ni kosa unakuwa unajicontradict mwenyewe, ni sawa na kusema upande mmoja wa shilingi unastahili kuwa pale ila upande mwingine wa shilingi haustahili kuwa pale
Huo mfano wa shilingi ndiyo maana yake. Umetoa mfano lakini mfano wenyewe huuelewi.

Kama bichwa kinyume chake mwenge, ndivyo ilivyo kwa wanaume kinyume chake wanawake.

Hata kwenye malezi, mtoto WA single mama (nimeona unashadadia) kuna tabia Fulani za kiume Kuna asilimia kubwa atamiss, tofauti na aliyelelewa na wazazi wa pande zote. Tunabalansiana kwa sababu tupo tofauti

We kama unaona tupo sawa haya, endelea na itikadi zako
 
by the way hujanijibu swali langu ambalo ndio lilikuwa msingi wa mada tangu mwanzo kwamba je una uhakika wanawake wote wanaoolewa ni wale wenye mwanaume mmoja tu
That's why ndoa nyingi za siku hizi hazidumu. Na wewe unapigania Hilo.
IMG_20240201_170410.png


Beta males ndiyo wenye uwezo wa kuoa wanawake wa sampuli hiyo
 
That's why ndoa nyingi za siku hizi hazidumu. Na wewe unapigania Hilo.
View attachment 2911322

Beta males ndiyo wenye uwezo wa kuoa wanawake wa sampuli hiyo
Kama nilivyosema mwanzo mimi hapa sitoi mawazo yangu binafsi bali naandika uhalisia uliopo kwenye jamii hilo halimaanishi kwamba nasupport, unaposema beta male unamaanisha nini mkuu kwa sababu kwa definitions ninazozijua mimi za alpha, beta, sigma males basi naweza kusema hata alpha males wako wengi sana wanaooa wanawake wenye wanaume wengi, by the way mwanzo mlisema wanawake wenye wanaume wengi hawaolewi kabisa ila baada ya kuishiwa hoja mnaanza kusema wanaolewa ila na beta males kwani beta males siyo wanaume na je una uhakika ndoa zote ambazo hazidumu sababu ni wanawake kuwa na wanaume wengi tu
 
Back
Top Bottom