Anaishi kama swala maisha ya hofu siku zote na bado anakuja kuliwa na simba. Ishi leo ondoa wasi wasi na mawazo potofu maana uoga wako hauwazuii kukuloga kama wakiamua.Dawa ya moto ni moto utakimbia na kuishi kwa hofu hata lini?
Hata huyo sawa tuDemu mchawi?
Mchawi PESA kubabakeMchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye alilisishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kulisishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi
Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwalisisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mala nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima
Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina hukue ukweli
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kuludiludi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatali
Haya mambo ukiyafuatilia sana maisha yatakuwa magumu kila mtu utamuona mchawi na kila jambo linalofanywa utahusisha na uchawi. Maisha yatakuwa magumu mno
Iko hivi ukiwa unasafiri ukaambiwa huko mbele kuna majambazi wanateka magari utasafiri kwa tahadhari, mfano huwezi kusafiri usiku utasafiri mchana itakuwa ngumu kutekwa,lakini kama hujui itakuwa rahisi kutekwaHaya mambo ukiyafuatilia sana maisha yatakuwa magumu kila mtu utamuona mchawi na kila jambo linalofanywa utahusisha na uchawi. Maisha yatakuwa magumu mno
Pesa nyingi zinapatikana kwa uchawi,umeshawahi kufika njombe au makete ukimkuta mchaga,muhindi muharabu anafanya biashara nakupa zawadiMchawi PESA kubabake
Inawezekana hiyo ya kwako ikawa haina msaada wowote ule, sababu wachawi wakiamua kukufanya chochote haina uwezo wa kukusaidiaUngefika walau kidato cha sita, elimu ingekusaidia.
Sidhani kama Kuna mtu hakuelewa hapo, kama ww ulielewa basi ulipaswa kujua tu Kila mtu alielewa basi.Kulisishwa❎,,Alilisishwa❎
Kurithishwa✔️,,,Alirithishwa✔️
Kuludiludi❎
Kurudirudi✔️
Hatali❎
Hatari✔️
Mala❎
Mara✔️.
Nimejitahidi kurekebisha Uandishi,,wala si uelewa.Sidhani kama Kuna mtu hakuelewa hapo, kama ww ulielewa basi ulipaswa kujua tu Kila mtu alielewa basi.
Inawezekana hiyo ya kwako ikawa haina msaada wowote ule, sababu wachawi wakiamua kukufanya chochote haina uwezo wa kukusaidiaUngefika walau kidato cha sita, elimu ingekusaidia.
naomba nisinukuliwe vinginevyo! pointi yangu ni kuwa ukiwa na hela,huwezi kuja public hivi kuzungumzia uchawi,wenye pesa kwa waganga huenda kwa siri mno na huwezi kukuta anasema eti amelogwa,hili la kutunza siri kwa matajiri ni swala muhmu mno na la kuigwa na jamii zote,uchawi upo lakn suala la kutoka public halina afya ktk kuyafkia maendeleo ya kweli.Na unapokwenda usije ukawapa taari
Hongera bwana na mshukhuru Mungu kwa hilo,Lakini usiseme hayapo na mara nyingi wachache sana wanaopata pesa bila kutumia waganga,na hujipiga makinga hukohuko au na wao ndiyo wachawi wakubwa wakutoa kafara ndugu zao
Kwa hiyo uchawi hauna tajiri wala maskini
Alirithishwa.Mchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye alilisishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kulisishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi
Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwalisisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mala nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima
Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina hukue ukweli
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kuludiludi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatali
Faiza siyo kila mtu amesoma TanzaniaAlirithishwa.
Kurithishwa.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
We all know uchawi upo na hatuwezi zuia kwa nguvu zetu za kawaida.NNd
Iko hivi ukiwa unasafiri ukaambiwa huko mbele kuna majambazi wanateka magari utasafiri kwa tahadhari, mfano huwezi kusafiri usiku utasafiri mchana itakuwa ngumu kutekwa,lakini kama hujui itakuwa rahisi kutekwa
Uchawi upo na unatesa wengiMchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye alilisishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kulisishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi
Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwalisisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mala nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima
Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina hukue ukweli
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kuludiludi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatali
Wewe ni mshirikina tu, na ushirikina wako umekomaa shauri ya kukosa shule. Uchawi upo lakini si kwa namna unavyotaka kuuzungumzia. Eti watu wasirudi makwao? Duh!Inawezekana hiyo ya kwako ikawa haina msaada wowote ule, sababu wachawi wakiamua kukufanya chochote haina uwezo wa kukusaidia
Lakini mimi isingekuwa na hii elimu yangu niliyokuwa nayo ningekuwa nilishazikwa zamani,istoshe heshimu watu hata kama huwajui au wako mbali na wewe sababu unaweza kufanyiwa ubaya kwa jina la Adamu na Eva na ukakukuta