Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Aseeeh sipatii picha kama wangekuwa wakwe wa kibongo [emoji23][emoji23]
 
Nimecheka mpka basi[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Wakati nabalehee nilipanda basi na mwanafunzi mwenzangu lakini hatujuani, tulikuwa tunarudi shuleni (secondary) Dodoma. Sasa wakati tupo safarini, tukaanza kuchat tulipofika Chalinze, yule demu akawa anatabasamu tabasamu na kucheka mara anishike mapaja huku akicheka jokes zangu. Akigeuka kuchat na marafiki zake waliokaa nyuma yetu tako lake lilinigusa na wakati mwingine maziwa yake yalinigusa mabega. Nilitamani kuzimia maana nilikuw dunia nyingine kabisaaaa kwa raha alizonipa maana nilipiga magoli si chini ya 4 kwa muda ule. Kivumbi sasa, dereva akasema tushuke tule chakula kwani asimami tena mpaka Dom. Wenzangu walishuka mimi nikabakia, nia yangu nibadilishe chupi na suruali. Demu naye akasita kushuka akisubiri kushuka na mimi nimpe kampani. Akanivuta mkono ili tushuke wote akaona mwenziwe nimejikojolea na dushe limesimama.....akaniuliza wewe bado unajikojolea kwani? Yaliyojiri ni siri yangu ila sikumdu demu na alihamia kiti kingine nyuma kabisaaa huku mimi nilikuwa nimekaa peke yangu mpaka Dom na nguo zilizolowana urojo.
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Daaa ayaaa mambo balaa!!!!!
nilikuwaga na rafiki angu pande za Dom ilikuwa mida fulan ya saa saba ivi ubaoo umepigaa hatari tukaona chobingo moja iv kunanukia misosi nikamwambia mwana tuingie kupata msosi...kila mtu akaagiza pilau samaki na soda...kimbembe kwenye bill sas inakuja buku 15 duuu macho yalinitoka sikuvunga nikamuuliza mhudumu alichodai ukiingia mule ndan unalipia na mazingira ,tv,music....daaah maeneo mengine bhana hatar
 
Siku ingine ombeni menu mtaosha masufuria
 
[emoji16][emoji16]
 
Hahaha Mkuu kwa hiyo ungeikosa hahaha
 
Mie siku moja tulikuwa na staff mwenzangu tukawa tunamsengenya dada tunayefanya naye kazi, huyo dada alikuwa anazaa mfululizo yaani kila mwaka!!! Sisi tulikuwa kwenye ka room Fulani tunamsema kwa raha zetu, kumbe mwenyewe amekuja muda mrefu sana anatusikiliza, tulivyogeuka tukagonganisha macho, akasema maneno haya "MMEMALIZA KUNISEMA"? loooh! aibu kweli
 
Hahaha ndiyo mkome sasa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…