Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Hiii ilikuta Denmark, sasa bwana kuna mji mmoja ni free state unaitwa Christiania upo Copenhagen! Ule mji unajiongoza haufati sheria za nchi na unaweza kufanya uchafu wowote kule!
Sasa shemeji yangu kanitoa akaniambia twende tukatembee Christiania, kufika jamaa flani wakanikaribisha kutumia sigara kubwa hii iliyo illegal, sasa sijui jamaa walichanganya na nini si nikavuta na kuanza mambo ya ovyo ovyo na kuvua nguo nikawa kituko na kijana akashindwa kunituliza mpaka wakwe wakaja niko ovyo ovyo! Akili iliponijia sikutamani kuendelea kukaa au kutaka kuwaona wakwe [emoji22]
Aseeeh sipatii picha kama wangekuwa wakwe wa kibongo [emoji23][emoji23]
 
Niko darasa la pili, miaka hiyo ya 90. Ni muda wa mapumziko, tupo na mpira wa chandimu, tunacheza mbele ya darasa na wenzangu!!

Nimebanwa ushuzi, nikaona isiwe tabu kwenda nje, nikajisemea kimoyomoyo, ngoja niwakomoe ntajamba kwa nguvu na kwa sauti !!

Shetani akawa upande wangu!! SIKUJAMBA.

Nilikunya mbele ya darasa, kilichosaidia nilikuwa na pensi ndani, nikakimbia toilet nikasaula pensi nikatupa ndani ya choo kilichojengwa kwa msaada wa HESAWA.

sorry! it was surposed to be a secret!
Nimecheka mpka basi[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Wakati nabalehee nilipanda basi na mwanafunzi mwenzangu lakini hatujuani, tulikuwa tunarudi shuleni (secondary) Dodoma. Sasa wakati tupo safarini, tukaanza kuchat tulipofika Chalinze, yule demu akawa anatabasamu tabasamu na kucheka mara anishike mapaja huku akicheka jokes zangu. Akigeuka kuchat na marafiki zake waliokaa nyuma yetu tako lake lilinigusa na wakati mwingine maziwa yake yalinigusa mabega. Nilitamani kuzimia maana nilikuw dunia nyingine kabisaaaa kwa raha alizonipa maana nilipiga magoli si chini ya 4 kwa muda ule. Kivumbi sasa, dereva akasema tushuke tule chakula kwani asimami tena mpaka Dom. Wenzangu walishuka mimi nikabakia, nia yangu nibadilishe chupi na suruali. Demu naye akasita kushuka akisubiri kushuka na mimi nimpe kampani. Akanivuta mkono ili tushuke wote akaona mwenziwe nimejikojolea na dushe limesimama.....akaniuliza wewe bado unajikojolea kwani? Yaliyojiri ni siri yangu ila sikumdu demu na alihamia kiti kingine nyuma kabisaaa huku mimi nilikuwa nimekaa peke yangu mpaka Dom na nguo zilizolowana urojo.
 
Wakati nabalehee nilipanda basi na mwanafunzi mwenzangu lakini hatujuani, tulikuwa tunarudi shuleni (secondary) Dodoma. Sasa wakati tupo safarini, tukaanza kuchat tulipofika Chalinze, yule demu akawa anatabasamu tabasamu na kucheka mara anishike mapaja huku akicheka jokes zangu. Akigeuka kuchat na marafiki zake waliokaa nyuma yetu tako lake lilinigusa na wakati mwingine maziwa yake yalinigusa mabega. Nilitamani kuzimia maana nilikuw dunia nyingine kabisaaaa kwa raha alizonipa maana nilipiga magoli si chini ya 4 kwa muda ule. Kivumbi sasa, dereva akasema tushuke tule chakula kwani asimami tena mpaka Dom. Wenzangu walishuka mimi nikabakia, nia yangu nibadilishe chupi na suruali. Demu naye akasita kushuka akisubiri kushuka na mimi nimpe kampani. Akanivuta mkono ili tushuke wote akaona mwenziwe nimejikojolea na dushe limesimama.....akaniuliza wewe bado unajikojolea kwani? Yaliyojiri ni siri yangu ila sikumdu demu na alihamia kiti kingine nyuma kabisaaa huku mimi nilikuwa nimekaa peke yangu mpaka Dom na nguo zilizolowana urojo.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Daaa ayaaa mambo balaa!!!!!
nilikuwaga na rafiki angu pande za Dom ilikuwa mida fulan ya saa saba ivi ubaoo umepigaa hatari tukaona chobingo moja iv kunanukia misosi nikamwambia mwana tuingie kupata msosi...kila mtu akaagiza pilau samaki na soda...kimbembe kwenye bill sas inakuja buku 15 duuu macho yalinitoka sikuvunga nikamuuliza mhudumu alichodai ukiingia mule ndan unalipia na mazingira ,tv,music....daaah maeneo mengine bhana hatar
 
Daaa ayaaa mambo balaa!!!!!
nilikuwaga na rafiki angu pande za Dom ilikuwa mida fulan ya saa saba ivi ubaoo umepigaa hatari tukaona chobingo moja iv kunanukia misosi nikamwambia mwana tuingie kupata msosi...kila mtu akaagiza pilau samaki na soda...kimbembe kwenye bill sas inakuja buku 15 duuu macho yalinitoka sikuvunga nikamuuliza mhudumu alichodai ukiingia mule ndan unalipia na mazingira ,tv,music....daaah maeneo mengine bhana hatar
Siku ingine ombeni menu mtaosha masufuria
 
Wakati nabalehee nilipanda basi na mwanafunzi mwenzangu lakini hatujuani, tulikuwa tunarudi shuleni (secondary) Dodoma. Sasa wakati tupo safarini, tukaanza kuchat tulipofika Chalinze, yule demu akawa anatabasamu tabasamu na kucheka mara anishike mapaja huku akicheka jokes zangu. Akigeuka kuchat na marafiki zake waliokaa nyuma yetu tako lake lilinigusa na wakati mwingine maziwa yake yalinigusa mabega. Nilitamani kuzimia maana nilikuw dunia nyingine kabisaaaa kwa raha alizonipa maana nilipiga magoli si chini ya 4 kwa muda ule. Kivumbi sasa, dereva akasema tushuke tule chakula kwani asimami tena mpaka Dom. Wenzangu walishuka mimi nikabakia, nia yangu nibadilishe chupi na suruali. Demu naye akasita kushuka akisubiri kushuka na mimi nimpe kampani. Akanivuta mkono ili tushuke wote akaona mwenziwe nimejikojolea na dushe limesimama.....akaniuliza wewe bado unajikojolea kwani? Yaliyojiri ni siri yangu ila sikumdu demu na alihamia kiti kingine nyuma kabisaaa huku mimi nilikuwa nimekaa peke yangu mpaka Dom na nguo zilizolowana urojo.
[emoji16][emoji16]
 
Hii mambo ya kutoka nishai, hapana kabisa. usiombe ndo kwanza safari yako ya kwanza kusafiri nje, then ukafika mahala unatakiwa kubadilisha ndege of the same company, then limebaki lisaa limoja unajikagua tiket huioni. kwa kweli ilinibidi nivunje taratibu za kupita ktk scanner na kurudi upande wa pili wa scanner ambapo nilitolea vitu kwa kukaguliwa, tena askari ananisemesha mimi wapi. Bahati nafika tu upande wa pili naiona karatasi inakanyagiwa chini ktk foleni. Nikaitia kwapani kisha nikamsikiliza askari aliye kuwa ananifuatialia na yeye akaniambia sepaaa..sikusimamaa ktk scanner tena fastaa, maana sikuamini kilichotokea.
Hahaha Mkuu kwa hiyo ungeikosa hahaha
 
Mie siku moja tulikuwa na staff mwenzangu tukawa tunamsengenya dada tunayefanya naye kazi, huyo dada alikuwa anazaa mfululizo yaani kila mwaka!!! Sisi tulikuwa kwenye ka room Fulani tunamsema kwa raha zetu, kumbe mwenyewe amekuja muda mrefu sana anatusikiliza, tulivyogeuka tukagonganisha macho, akasema maneno haya "MMEMALIZA KUNISEMA"? loooh! aibu kweli
 
Mie siku moja tulikuwa na staff mwenzangu tukawa tunamsengenya dada tunayefanya naye kazi, huyo dada alikuwa anazaa mfululizo yaani kila mwaka!!! Sisi tulikuwa kwenye ka room Fulani tunamsema kwa raha zetu, kumbe mwenyewe amekuja muda mrefu sana anatusikiliza, tulivyogeuka tukagonganisha macho, akasema maneno haya "MMEMALIZA KUNISEMA"? loooh! aibu kweli
Hahaha ndiyo mkome sasa
 
Mie siku moja tulikuwa na staff mwenzangu tukawa tunamsengenya dada tunayefanya naye kazi, huyo dada alikuwa anazaa mfululizo yaani kila mwaka!!! Sisi tulikuwa kwenye ka room Fulani tunamsema kwa raha zetu, kumbe mwenyewe amekuja muda mrefu sana anatusikiliza, tulivyogeuka tukagonganisha macho, akasema maneno haya "MMEMALIZA KUNISEMA"? loooh! aibu kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom