Mdeke_Pileme
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,596
- 2,226
hahahahah umenikumbusha tulienda sehem fulani kula piza na mchizi wangu,Pizza mbili.mishikikaki na juice zetu jioni ikawa imeisha tukaomba bili......tobaaaaa kitu kikasoma 49500. Hahahaha. Mkononi kuna hamsini likabaki jero,wacha tuukanyage kurudi majumbani.....hahahahaha........Rai don't you believe kuna hotel za bei hiyo bongo??
Oasis ya morogoro navyoongea now kahawa 1 cup ni 4500. Na ni hotel ya kawaida saana kwa wanaoifahamu...
Hahahaa , afadhari wewe Mimi nilishawahi kujinyea darasan halafu nilikua nakaa bench moja na mtoto wa kike, nakumbuka ilikua ni standard 3
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha haaa haaaaa aisee! ahsante kwa kuniongezea siku nimecheka sana aiseeilikuwa primary darasa la sita sa kuna kademu kalikuwa kananielewa kinoma siku hyo kakaja kwetu mi mwoga mwoga sijui mambo ya kunjunjana. bro kakashawishi kakakubali tukapige mtungo. sa broo akaanza kaniambia mi nikae mlangoni nicheki so coz mshua alikuwepo home but anapenda kukaa njee sna kuingia ndani labda taarifa ya habari.. apo tumekubaliana kuwa mtu akitokea nipige mluzi sa ghafla nimesimama mlangoni nato shingo nje mshua hyu apa si nkashindwa kupiga mluzi nikasema kwa nguvu hyooooo. mshua kastaki then kanambia em sogea hapo kaingia ndani kawafuma broo na kidemu kakatiwa vibao kakasepa home kwao...hahah bro kashikwa dushelele mzee kaivuta huku anamwmbia naikata leo ndo inayo kuponza.................itaendelea
πππππππππ......Dah,NOMA SANA AISEE!Hehehe na hao masela wako wangekua ndo wanamuamkia huyo manzi basi usingeshindwa kumuamkia ukaitikia mwenyewe and i bet ulikua umekaa pale kwenye mapultable mengi mashine3
form1
Naufufua tena huu uziSometimes huwa tunafanya mambo kimazoea na kujitia ujuaji mwingi.
Najua mwana JF kuna siku uliaibika Aidha kwa ushamba ulionao, kujitia mjuaji ama kutokuwa na ufahamu juu ya Mambo fulani fulani.
Mimi: kipindi cha nyuma tulienda hotel moja kuogelea/swimming. Tulikuwa mobb ya watu kama 12(ke&me). Sasa kiubaridi cha saa 12 kikanipiga nikasema isiwe kesi ngoja nibugie hata tuvikombe tuwil twa kahawa nipunguze baridi. Washkaji waka ni alert ila nikasema liwalo na liwe walet ina 15000tsh bhana! haiwezi kuzidi hapo. Nikaitisha kahawa yangu... ile namalizia mhudumu/mama anakuja kukusanya vyombo vyake na sukari yake nyeupe( maana niliibakiza) nikapewa bill ya tsh 22500 [emoji23][emoji23][emoji23]. sheee tabala roi. Mimi nilijua mbalauni kama kwa mama clareee kumbe nauli ya chuga- moro kbs???
Na mmaza wa watu anataka kuondoka na pesa yake. Ikabidi washkji wajichange kimya kimya 6500 ikapatikana. Ila nilikiona cha moto kutembea kwa miguu kutoka hapo mpaka nyumbani. Na Nashukuru mamy u
siku hiyo sikuongozana naye.
Msinicheke wengi yametukuta. Je na wewe yalikukuta yapi???
Daaar Maskin pole ,hapa nmevuta taswira nkaona kabsa ulivyokua ,pole sana mpendwaMe niliwah kugombania daladala yan ule mbanano na mvutano wa mlangoni mpaka nafika kwenye siti vifungo vya blauzi vyote vimetatuka brazia hii hapa
Comment yako ya kuanguka had kubak na alama ilinivunja mbAvu mue mnaacha sifaHuu Uzi bwana! kila nikiupitia huwa nacheka mpaka machozi yananitoka .....lol
Ha ha haaaNilivaa headphones halafu nikajamb.a kwa sauti mawazo yangu eti watu hawasikii kwa sababu mimi sisikii
Nimecheka kwa sauti[emoji23] [emoji23] [emoji23]Me niliwah kugombania daladala yan ule mbanano na mvutano wa mlangoni mpaka nafika kwenye siti vifungo vya blauzi vyote vimetatuka brazia hii hapa
Chief mkwareAbiria wenzako wakaona matiti yako mchongoma?Daaah walifaidi sana
Dada upo hapa hapa Dar japo tutafune mishkaki kidogo pamojaChief mkware
Nipo UkereweDada upo hapa hapa Dar japo tutafune mishkaki kidogo pamoja
Daah huko siji kuna Mamba wengiNipo Ukerewe
Noma sana aiseeilikua form3 majira ya asubuhi nimegonga chai na kiporo cha makukuru then tumeingia kupiga test, basi tumejipanga fresh kilamtu na kiti chake, mm npo katikati ss ile tumegaiwa karatasi za maswali tumbo likavuruga kidogo afu nkaskia kama kigesi chembamba kimegonga hodi, kuangalia kulia na kushoto raia wakobize wanaperuzi maswali, nikawaza kwan nani atajua bhana pasipo iyana nikapumua kibingwa[yusuphhh], duh sikujua nilichofanya kilikua na maajabu gani mpakapale nilipoona darasa zima wakiongozwa na msimamizi wakitokanje speed huku wakipiga kelele na mm nikafuata mwisho sikumbuki walichosema lkn nlisikiawakitaja jinalangu huku wakicheka sana, duh huwezi amini nlijikuta natabasam maskini mm
NB:fikiri mara mbili kabla hujaachia shuzi la kimya kmya