Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Mie siku moja tulikuwa na staff mwenzangu tukawa tunamsengenya dada tunayefanya naye kazi, huyo dada alikuwa anazaa mfululizo yaani kila mwaka!!! Sisi tulikuwa kwenye ka room Fulani tunamsema kwa raha zetu, kumbe mwenyewe amekuja muda mrefu sana anatusikiliza, tulivyogeuka tukagonganisha macho, akasema maneno haya "MMEMALIZA KUNISEMA"? loooh! aibu kweli
Umemaliza kusimulia?[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Niko darasa la pili, miaka hiyo ya 90. Ni muda wa mapumziko, tupo na mpira wa chandimu, tunacheza mbele ya darasa na wenzangu!!

Nimebanwa ushuzi, nikaona isiwe tabu kwenda nje, nikajisemea kimoyomoyo, ngoja niwakomoe ntajamba kwa nguvu na kwa sauti !!

Shetani akawa upande wangu!! SIKUJAMBA.

Nilikunya mbele ya darasa, kilichosaidia nilikuwa na pensi ndani, nikakimbia toilet nikasaula pensi nikatupa ndani ya choo kilichojengwa kwa msaada wa HESAWA.

sorry! it was surposed to be a secret!


Ahahahahaha

Mdau umeni chekesha Sana...


hiyo inaitwa " Mwana ukome"
 
Nimekumbuka na mimi yashanikuta:kipindi cha pepa za chuo(UE) kuna mshkaj wangu alikua anaenda kusomea kwa dem mmoja tulikua nae group moja na alikua ana lala hukohuko nkataka kumuuliza mshkaj kupitia msg"najua utakua ushamaliza kwa ester(sio jina kamili) kwa sababu najua huwez kushea nae kitanda na ushindwe kula labda uwe sio mzima" mda wa kuituma hiyo meseji si nkamtumia yule dem badala ya mshkaj na sababu ni kuwa majina yao nlisave yakawa yanafuatana,nlipaniki hatari meseji inaenda nkaifuta nkaona haitoshi nkazima na simu kabisa nakuja kuwasha simu naona messege delivered to ester!nkaishiwa nguvu ila nkajikaza nkampigia dem simu vp kuna meseji nimekosea kutuma ikaja kwako ushaisoma?akasema hapana nkamwambia naomba uifute kabla hujaisoma akagoma nkamwambia poa ila ujue tu mi na mshkaj nliekua namtumia hyo msg huwa tunataniana ishu kibao kwa hiyo utambue huo nao ulikua utani akakata simu akasoma afu akanipigia sim nlikula vichambo vya haja nkaishia kuomba msamaha bila mafanikio alikua mkali hataki kunielewa kabisa,nkaona isiwe tabu nkamwambia utakavyoamua poa tu.ukaibuka uadui tunapishana kwenye korido za class hamna hata salamu kwenye group akichangia mi nakausha nkichangia na yeye anakausha,ila siku ya siku akaja akaomba msamaha yy yakaisha baaadae jamaa ndio anakuja kuniambia alikula mzgo nikaunganisha dots kumbe ndio maana alikua mkali vile alidhani jamaa kamtangaza
 
dah niliua Soo kiume mkuu.yule binti hamu ya kumgegeda yenyewe ilikata nikamwambia apotee maana niliona hawezi nipa msaada zaidi kuendelea kuniabisha.nikamvuta manager pembeni nikamwambia baki na simu yangu nikakuletee pesa yako.hahah
....Technic muhimu ukienda Bar au hotel you must know ulichonacho mfukoni Vs matumizi yanayoendelea, wewe una elf kumi halafu unaona bili from elfu mbili mpaka thelathini? Yaani bili ikizidi 60 percent ya mfuko wako stuka na anza strategy ya kulikabili hilo...
 
Nipo form five hii ishu ndiyo ikanitokea.

Siku hiyo kwenye begi langu la nguo nikakuta chvpi ya kike, inaonekana iko muda mrefu tu, akili yangu ikajua hii ni ya mpenzi.
Nikampigia nikamwambia kuna chvpi yako kwenye begi langu akajibu hapana mi sijwahi kuacha chvpi huko. Nikang'ang'aniza akasema basi nitakuja kuiona kama yangu niichukue.

Baada ya kufikiria kwa muda nikakumbuka ile chvpi ni ya ex wangu, siwezi kuipoteza katika mazingira ya kutatanisha lazima nitaulizwa.

Nikaenda Kariakoo nikanunua chvpi dazeni nikarudi nazo mjengoni ile nyingine nikaitupa juu ya bati, bi dada kafika baada ya muda anauliza hiyo chvpi iko wapi, namtolea dazeni huku najiongelesha "Surpriseeee" akapagawa kwa furaha pale ile ishu niliizima hivyo.
Mkuu yaan umenichekesha ila nimekukubali kwa akili uliyotumia
 
Sometimes huwa tunafanya mambo kimazoea na kujitia ujuaji mwingi.
Najua mwana JF kuna siku uliaibika Aidha kwa ushamba ulionao, kujitia mjuaji ama kutokuwa na ufahamu juu ya Mambo fulani fulani.

Mimi: kipindi cha nyuma tulienda hotel moja kuogelea/swimming. Tulikuwa mobb ya watu kama 12(ke&me). Sasa kiubaridi cha saa 12 kikanipiga nikasema isiwe kesi ngoja nibugie hata tuvikombe tuwil twa kahawa nipunguze baridi. Washkaji waka ni alert ila nikasema liwalo na liwe walet ina 15000tsh bhana! haiwezi kuzidi hapo. Nikaitisha kahawa yangu... ile namalizia mhudumu/mama anakuja kukusanya vyombo vyake na sukari yake nyeupe( maana niliibakiza) nikapewa bill ya tsh 22500 [emoji23][emoji23][emoji23]. sheee tabala roi. Mimi nilijua mbalauni kama kwa mama clareee kumbe nauli ya chuga- moro kbs???

Na mmaza wa watu anataka kuondoka na pesa yake. Ikabidi washkji wajichange kimya kimya 6500 ikapatikana. Ila nilikiona cha moto kutembea kwa miguu kutoka hapo mpaka nyumbani. Na Nashukuru mamy siku hiyo sikuongozana naye.

Msinicheke wengi yametukuta. Je na wewe yalikukuta yapi???

aisee umenikumbusha mbali nakumbuka nikiwa chuo mwaka wa pili nilienda kumtembelea dada yangu wa hiari Gombo la mboto ..nikaambiwa niandae kachumbari kwakweli mim kwetu nilikuwa mlaji sijui hata kupika duuh nikamwambia siwezi akaniambia leo utaweza nikaanda vyote uje wakati wa kukamulia liamau sasa nataka kukata tu kumbe kuna kuligonga gonga limao litoe maji nikajikuta naligongea kwenye ukuta wa nyumba wacha wanicheke ...sitosahau ile siku kwa kweli ..hata leo nikienda ugenini nikiambiwa suala la kupika nakataa kabisa niko radhi kuvumilia njaa kuliko niambiwe nipike...
 
aisee umenikumbusha mbali nakumbuka nikiwa chuo mwaka wa pili nilienda kumtembelea dada yangu wa hiari Gombo la mboto ..nikaambiwa niandae kachumbari kwakweli mim kwetu nilikuwa mlaji sijui hata kupika duuh nikamwambia siwezi akaniambia leo utaweza nikaanda vyote uje wakati wa kukamulia liamau sasa nataka kukata tu kumbe kuna kuligonga gonga limao litoe maji nikajikuta naligongea kwenye ukuta wa nyumba wacha wanicheke ...sitosahau ile siku kwa kweli ..hata leo nikienda ugenini nikiambiwa suala la kupika nakataa kabisa niko radhi kuvumilia njaa kuliko niambiwe nipike...
Hahaha wee ni noma.

Ila mkuu gombo la mboto ndiyo nchi gani hii ![emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wakati nabalehee nilipanda basi na mwanafunzi mwenzangu lakini hatujuani, tulikuwa tunarudi shuleni (secondary) Dodoma. Sasa wakati tupo safarini, tukaanza kuchat tulipofika Chalinze, yule demu akawa anatabasamu tabasamu na kucheka mara anishike mapaja huku akicheka jokes zangu. Akigeuka kuchat na marafiki zake waliokaa nyuma yetu tako lake lilinigusa na wakati mwingine maziwa yake yalinigusa mabega. Nilitamani kuzimia maana nilikuw dunia nyingine kabisaaaa kwa raha alizonipa maana nilipiga magoli si chini ya 4 kwa muda ule. Kivumbi sasa, dereva akasema tushuke tule chakula kwani asimami tena mpaka Dom. Wenzangu walishuka mimi nikabakia, nia yangu nibadilishe chupi na suruali. Demu naye akasita kushuka akisubiri kushuka na mimi nimpe kampani. Akanivuta mkono ili tushuke wote akaona mwenziwe nimejikojolea na dushe limesimama.....akaniuliza wewe bado unajikojolea kwani? Yaliyojiri ni siri yangu ila sikumdu demu na alihamia kiti kingine nyuma kabisaaa huku mimi nilikuwa nimekaa peke yangu mpaka Dom na nguo zilizolowana urojo.
Mbavu zangu mieeeeeeeeee!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakumbuka siku moja navuta sigara kwa siri siri nikavuta ndefu moja mara mbele uso kwa uso na shangazi yangu nikaubana ule moshi alf sigara nikaizimia mfukoni ile kunisemesha tu nkakosa cha kufanya kuongea moshi wote nje aibu kubwa sana alf wakijua hom msala
Nilitimua mbio hizo ili nisiulizwe maswali
Mashtaka yalipo fika nilikana hatari nkasema nilkua na jamaa nmekutana nae rafk ndo alkua anavuta sitokaa nisahau
 
Sometimes huwa tunafanya mambo kimazoea na kujitia ujuaji mwingi.
Najua mwana JF kuna siku uliaibika Aidha kwa ushamba ulionao, kujitia mjuaji ama kutokuwa na ufahamu juu ya Mambo fulani fulani.

Mimi: kipindi cha nyuma tulienda hotel moja kuogelea/swimming. Tulikuwa mobb ya watu kama 12(ke&me). Sasa kiubaridi cha saa 12 kikanipiga nikasema isiwe kesi ngoja nibugie hata tuvikombe tuwil twa kahawa nipunguze baridi. Washkaji waka ni alert ila nikasema liwalo na liwe walet ina 15000tsh bhana! haiwezi kuzidi hapo. Nikaitisha kahawa yangu... ile namalizia mhudumu/mama anakuja kukusanya vyombo vyake na sukari yake nyeupe( maana niliibakiza) nikapewa bill ya tsh 22500 [emoji23][emoji23][emoji23]. sheee tabala roi. Mimi nilijua mbalauni kama kwa mama clareee kumbe nauli ya chuga- moro kbs???

Na mmaza wa watu anataka kuondoka na pesa yake. Ikabidi washkji wajichange kimya kimya 6500 ikapatikana. Ila nilikiona cha moto kutembea kwa miguu kutoka hapo mpaka nyumbani. Na Nashukuru mamy siku hiyo sikuongozana naye.

Msinicheke wengi yametukuta. Je na wewe yalikukuta yapi???
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoja nichekee kwanza
 
Sometimes huwa tunafanya mambo kimazoea na kujitia ujuaji mwingi.
Najua mwana JF kuna siku uliaibika Aidha kwa ushamba ulionao, kujitia mjuaji ama kutokuwa na ufahamu juu ya Mambo fulani fulani.

Mimi: kipindi cha nyuma tulienda hotel moja kuogelea/swimming. Tulikuwa mobb ya watu kama 12(ke&me). Sasa kiubaridi cha saa 12 kikanipiga nikasema isiwe kesi ngoja nibugie hata tuvikombe tuwil twa kahawa nipunguze baridi. Washkaji waka ni alert ila nikasema liwalo na liwe walet ina 15000tsh bhana! haiwezi kuzidi hapo. Nikaitisha kahawa yangu... ile namalizia mhudumu/mama anakuja kukusanya vyombo vyake na sukari yake nyeupe( maana niliibakiza) nikapewa bill ya tsh 22500 [emoji23][emoji23][emoji23]. sheee tabala roi. Mimi nilijua mbalauni kama kwa mama clareee kumbe nauli ya chuga- moro kbs???

Na mmaza wa watu anataka kuondoka na pesa yake. Ikabidi washkji wajichange kimya kimya 6500 ikapatikana. Ila nilikiona cha moto kutembea kwa miguu kutoka hapo mpaka nyumbani. Na Nashukuru mamy siku hiyo sikuongozana naye.

Msinicheke wengi yametukuta. Je na wewe yalikukuta yapi???
Hujaeleweka kwa hicho kiluga ulicho weka hapo
 
Wakati nabalehee nilipanda basi na mwanafunzi mwenzangu lakini hatujuani, tulikuwa tunarudi shuleni (secondary) Dodoma. Sasa wakati tupo safarini, tukaanza kuchat tulipofika Chalinze, yule demu akawa anatabasamu tabasamu na kucheka mara anishike mapaja huku akicheka jokes zangu. Akigeuka kuchat na marafiki zake waliokaa nyuma yetu tako lake lilinigusa na wakati mwingine maziwa yake yalinigusa mabega. Nilitamani kuzimia maana nilikuw dunia nyingine kabisaaaa kwa raha alizonipa maana nilipiga magoli si chini ya 4 kwa muda ule. Kivumbi sasa, dereva akasema tushuke tule chakula kwani asimami tena mpaka Dom. Wenzangu walishuka mimi nikabakia, nia yangu nibadilishe chupi na suruali. Demu naye akasita kushuka akisubiri kushuka na mimi nimpe kampani. Akanivuta mkono ili tushuke wote akaona mwenziwe nimejikojolea na dushe limesimama.....akaniuliza wewe bado unajikojolea kwani? Yaliyojiri ni siri yangu ila sikumdu demu na alihamia kiti kingine nyuma kabisaaa huku mimi nilikuwa nimekaa peke yangu mpaka Dom na nguo zilizolowana urojo.
Duh mkuu ulikuwa unapiga boys nini?, si kwa ugwadu huo.
Swali la kizushi, Dom ulikuwa unasoma bihawana boys au?
 
Npo Primary la 4, enzi hzo tunakaa chini kwenye mawe,, banae kumbe kaputura yangu imetoboka sirini, sasa kumbe kipumbu kimoja kimechomoka nje
Nikawa nashangaa darasa wana na videmu vinacheka m sjui hili wala lile, nlshangaa kidem kimoja kikaja kuvuta hcho kitubwasha banaee ilikuwa aibu ya mwaka darasa zima likalipuka kwa kicheko cha hatare
 
darasa la pili hilo enzi michezo ya gololi imeenea,
basi baada ya kubunwa gololi zoote nikawa sina jinsi, nikarudi home mpaka chumba cha bro, kuingia nakuta tsh 40 mezani, yaani tsh ishirini ishirini ziko mbili,
basi nikazichukua fasta kisha nikachomekea t-shirt yangu na kile kipensi nikichovaa, then nikazidumbukiza zile hela ndani ya shati(nimechomekea ili nikiweka hela zisidondoke)
na ikitokea hata nimefumwa nikisachiwa mfukoni zisionekane.
sasa mazee ile natoka tu ndani Haaamad bro huyu hapa, uso kwa uso mlangoni, akaanza kuniuliza enhee umefuata nini chumbani kwangu? Kuniuliza vile nikaanza kubabaika cuz kila mtu ana chumba chake,
kisha akaniuliza tena
Hujaniibia hela wewe? Hebu ngoja niziangalie.
Dooh kuzichek hazipo!
Ikabidi aaanze kunisachi huku mimi nikijitetea sijachukua.
Akasema hebu ruka ruka nione, basi ile kuruka ruka mara naskia sarafu yakwanza imeanguka chini, sijakaa sawa na nyengine imeanguka. Dah nilijiskia noma kweli,
ukichek ndo mara yangu ya kwanza kumuibia,
Gololi ziliniponza aisee manake malengo yangu pale nilijua nakwenda kununua gololi zingine ili nizikomboe gololi zangu
 
Kuna mwaka mmoja nikitembelea mbuga za wanyama nikafikia hoteli Fulani (jina limenitoka) nimebanwa na haja ndogo nikaulizia vyoo vilipo nikaelekezwa kufika nikafanya yangu nikanawa sasa pembeni nikaona hand dryer nikafikiri ni soap dispenser ile nimepeleka mkono nikashtushwa na mngurumo nikatoka nduki sikukausha mikono nikajifutia kwenye suruali.. Kwa sasa kukwepa aibu nikiwa kwenye public toilets nakwenda na tissue au kitambaa nakausha manually sipendagi ujinga
 
Back
Top Bottom