Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23]polemhhhh kidogo nikatwe miguu na lift za ngazi pale Mayfair/shopaza. kumbe unatakiwa uwahi kutoa miguu sasa Mimi nilidhani itasimama then nishuke.kulikua na watu kadhaa na nilitaka kuanguka.yaan niliona aibu na mpaka Leo naogopa lift za ngazi
kituko kingine wakati naenda kuchukua admission letter Udsm si niliposikia kituo mlimani nikashuka kumbe ni m/city.kwenda ndani naona maduka tuu hamna dalili ya chuo ikabidi niulize Askari.sasa huyo Askari sio kunielekeza kwa nguvu jamani watu wanapita wanasikia.ikabidi nitoke nje km nilivyoelekezwa.yaan niliona aibu
Hahaha sikuhizi najiepusha na hizo addictionUjawa addicted KUBET saizi kwa muhindi[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Yaani hauna hata miezi 3 ila kasumbufuuuu.. tutakugawa insta sasa hivi wewe na aunt yako
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nikiwa safarini kwenda Brunei nilishuka nchi moja ya kiarabu. I had a job ya miezi 2 pale. Sasa wadada wa nchi ile hupati hata wa kujituliza. Pale kulikuwa na sheria kali na I was limited in my moves. Sasa siku moja nikapata ka trip kwa hotel moja ilikuwa na Casino na lot of wadadas. Ile naingia tu nikakutana na waarabu wawili wapo watupu wakaja kunikarimu just kunikaribisha, nilihisi mwili unazimia mbele kidogo nikaona balaa jipya, dish likayumba kabisaaa.....nikastuliwa na mlinzi akiniambia Mr your trousers is making mountan!!!
Duh mkuu ulikuwa unapiga boys nini?, si kwa ugwadu huo.
Swali la kizushi, Dom ulikuwa unasoma bihawana boys au?
mkuu hata sijui, na hata jina kwa sasa simkumbuki tenahuyo demu xx hiv yuko wap!!!?
sawa mkuuu ushamba nao tatizo .....mfano uko na manziii unafanyaje na we unataka kujifanya kibosile mapesa[emoji27] [emoji27] [emoji27]Ukifika unauliza chai bei gani? Wali nyama bei gani? Japo ushamba
Asante mpendwa yaan ni aibu, halafu mi sipendi ukimuuliza mtu akuelekeze bas atakuelekeza kwa nguvu dah na mikono yote na mwili wote unakuelekeza jamani
Hatari sanaaaaaNakumbuka primary darasa la 5 huko unyakyusani kwa bibi yangu kyela vijijini. Shule nzima tulikua tunaongea kinyakyusa ikabidi waanzishe kampeni ya kuzuia matumizi ya kinyakyusa shuleni. Walitengeneza ubao ambao mwanafunz ukiongea kinyaki unavalishwa na viboko juu, hali ikawa ngumu sana kwetu tusiojua kiswahili vizuri.
Kuna siku nilipiga chafya ya kinyakyusa darasani (ejooo) hata haikuisha vizuri mtu huyo hapa na ubao wa kunivalisha shingoni, japo nilibisha bila mafanikio.
HahahahahahahNiliwahi kwenda na rafiki yangu kwa ndugu zake ilikuwa Area c Dodoma sasa kumbe rafiki yangu alikuwa amebanwa tukapiga hodi tukakaribishwa wenyeji tukawakuta sebuleni.Rafiki yangu alisalimia na haraka haraka akaendelelea na safari ya kwenda chooni mie nami nikachanganya supu namfuata mwenyeji akauliza na wewe unakwenda wapi? mwenzio anaenda chooni! nilipata aibu ya mwaka nikakoma kufuatafuata watu.
Mi kuanzia la kwanza hadi namaliza la saba boys karibia wote wananitaka basi wananiudhiiii ,,,la pili eti natongozwaKweli ulikuwa mtoto mwema. Darasa la 5 nina demu wa la tatu. Makuzi tu yanatofautiana
Yaan acha nilikua naandikiwa barua,mara zimechorwa moyoLa pili unatongozwa hahaha.
Shule ya viwembe hiyo