Je, ulishawahi kujamba mbele ya mtu unayemuheshimu?

Je, ulishawahi kujamba mbele ya mtu unayemuheshimu?

Juzi kati kuna dada mmoja aliachia kitu kwenye ATM ya Crdb,LAPF Dodoma,ilikua mida ya saa nne usiku nadhani alihisi yuko peke yake sasa ile anatoka na mimi naingia,daah hiyo harufu niliyoikuta ni kweree aisee,

Ilibidi nitoke kwanza iishe,kama upo humu Dada,nikupe hongera zako!hicho ni kiwanda
 
Unajikuta upo sehemu mathalani sebuleni halafu ukahisi kujamba, ukiachia ushuzi wa kueleweka kwa kubinua kalio moja. Mara ghafla anatokea mtu anakuja sebuleni kukaa ikiwa ndio harufu ya ushuzi inaenea taratibu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hapo utatamani upepee haraka ili harufu iishe
Ha ha ha ha sio mzima we jamaa
 
Juzi kati kuna dada mmoja aliachia kitu kwenye ATM ya Crdb,LAPF Dodoma,ilikua mida ya saa nne usiku nadhani alihisi yuko peke yake sasa ile anatoka na mimi naingia,daah hiyo harufu niliyoikuta ni kweree aisee,

Ilibidi nitoke kwanza iishe,kama upo humu Dada,nikupe hongera zako!hicho ni kiwanda
Kiwanda cha biogas[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Juzi kati kuna dada mmoja aliachia kitu kwenye ATM ya Crdb,LAPF Dodoma,ilikua mida ya saa nne usiku nadhani alihisi yuko peke yake sasa ile anatoka na mimi naingia,daah hiyo harufu niliyoikuta ni kweree aisee,

Ilibidi nitoke kwanza iishe,kama upo humu Dada,nikupe hongera zako!hicho ni kiwanda
Usikute alikula ugali na maharage tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Juzi kati kuna dada mmoja aliachia kitu kwenye ATM ya Crdb,LAPF Dodoma,ilikua mida ya saa nne usiku nadhani alihisi yuko peke yake sasa ile anatoka na mimi naingia,daah hiyo harufu niliyoikuta ni kweree aisee,

Ilibidi nitoke kwanza iishe,kama upo humu Dada,nikupe hongera zako!hicho ni kiwanda
 
Nilikua home sas sikuona kama mzazi yupo maana nikiwekaga mpira huwa wanaondoka nikaachia mzigo wa sauti, nikasikia mtu anaguna huku anasema jehova jehova! naona mtu anashusha miwani yake kidogo akaniambia kwa raha zako baba eeh
Haaaa haaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kama nakuona ulivyokuwa mdogo kama paka kamwagiwa maji uwiii
 
Back
Top Bottom