Nimewahi kujamba staff,,,nilikua nasinzia nikapitiwa usingiz,,,nikaskia Jirani yangu anacheka na Wakati huo nilikua nahisi/naota najamba,,,niliskia aibu sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dahIlibidi paroko atoke kidogo kwenye kale kajumba ka maungamo asubiri hali ya hewa ibadilike . Sio kosa langu kwani nilikumbuka moto wa milele kwa wenye dhambi ndio kishindo kikaingia
ahaaaa mapunkHahahhaa ulikuwa unakula chakula gani?
Hahaha matamu sana.ahaaaa mapunk
Ha ha ha ha sio mzima we jamaaUnajikuta upo sehemu mathalani sebuleni halafu ukahisi kujamba, ukiachia ushuzi wa kueleweka kwa kubinua kalio moja. Mara ghafla anatokea mtu anakuja sebuleni kukaa ikiwa ndio harufu ya ushuzi inaenea taratibu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hapo utatamani upepee haraka ili harufu iishe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ha ha ha ha sio mzima we jamaa
Kiwanda cha biogas[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Juzi kati kuna dada mmoja aliachia kitu kwenye ATM ya Crdb,LAPF Dodoma,ilikua mida ya saa nne usiku nadhani alihisi yuko peke yake sasa ile anatoka na mimi naingia,daah hiyo harufu niliyoikuta ni kweree aisee,
Ilibidi nitoke kwanza iishe,kama upo humu Dada,nikupe hongera zako!hicho ni kiwanda
Hahaha,kabisa MkuuKiwanda cha biogas[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usikute alikula ugali na maharage tuJuzi kati kuna dada mmoja aliachia kitu kwenye ATM ya Crdb,LAPF Dodoma,ilikua mida ya saa nne usiku nadhani alihisi yuko peke yake sasa ile anatoka na mimi naingia,daah hiyo harufu niliyoikuta ni kweree aisee,
Ilibidi nitoke kwanza iishe,kama upo humu Dada,nikupe hongera zako!hicho ni kiwanda
[emoji16] [emoji16] [emoji16]Usikute alikula ugali na maharage tu
Juzi kati kuna dada mmoja aliachia kitu kwenye ATM ya Crdb,LAPF Dodoma,ilikua mida ya saa nne usiku nadhani alihisi yuko peke yake sasa ile anatoka na mimi naingia,daah hiyo harufu niliyoikuta ni kweree aisee,
Ilibidi nitoke kwanza iishe,kama upo humu Dada,nikupe hongera zako!hicho ni kiwanda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe unayapata mkuuHahaha matamu sana.
Huyu ni wewe kabisaBinafsi sijawahi ila kuna rafiki amewahi kujamba mbele ya madem wawili matata sana ambao tulikuwa na promisses nao kwaajili ya kuomba papuchi......Mission iliishia hapo hapo!
Hayo ndiyo yamenikuza siwezi kusahau japo ni kumbukumbu mbaya katika maisha yangu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe unayapata mkuu
Haaaa haaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kama nakuona ulivyokuwa mdogo kama paka kamwagiwa maji uwiiiNilikua home sas sikuona kama mzazi yupo maana nikiwekaga mpira huwa wanaondoka nikaachia mzigo wa sauti, nikasikia mtu anaguna huku anasema jehova jehova! naona mtu anashusha miwani yake kidogo akaniambia kwa raha zako baba eeh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]be loved mama