[emoji16][emoji24]Wakati tupo msingi kuna majamaa walikuwa wanashindana kutoa mashuzi huku sisi wapambe tukishangilia,
punde si punde jemba moja wapo likaachia shuzi lile la Prapatatataaah!
Mchizi pale pale akawa keshajinyea tepe tepe....Nilikula stick plus kumuita mzazi juu (mimi kama mdhamini wa pambano).
Mzee umenikumbusha jeshini. Kuna manzi wakati wa doso badala asimike akategesha bunango juu, akakaa kama doggystyle flani akidhani anaibia, nikamwambia utatuharibia hewa sasa hv akatemana na mm, hazijapita dk2 akashusha mzigo wa haja kila mtu akasikia.
Doso- adhabuTafsiri tafadhali
Doso
Kusimika
Bunango
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila unawachosha sana mods kwa kukubadilishia ID
Kuna jamaa alikuwa anajambia katika dumu alafu anafunga na mfuniko,, anatunza ushuzi hata kwa wiki, siku akija class anafungua mfuniko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Darasa lote ni harufu ya mavi,,
Alikuwa anafanya ivo ktk somo la english[emoji16][emoji3]
Hapo tcha anawai kutoka
sio wewe kweli mkuu?Kuna jamaa alikuwa anajambia katika dumu alafu anafunga na mfuniko,, anatunza ushuzi hata kwa wiki, siku akija class anafungua mfuniko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Darasa lote ni harufu ya mavi,,
Alikuwa anafanya ivo ktk somo la english[emoji16][emoji3]
Hapo tcha anawai kutoka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Kuna jamaa alikuwa anajambia katika dumu alafu anafunga na mfuniko,, anatunza ushuzi hata kwa wiki, siku akija class anafungua mfuniko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Darasa lote ni harufu ya mavi,,
Alikuwa anafanya ivo ktk somo la english[emoji16][emoji3]
Hapo tcha anawai kutoka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Enzi hizo la saba kuna Jamaa alikuwa msafwa sasa alikula mahindi ya kuchemsha asubuhi na mayai aisee aliachia kitu mamaeee darasa zima ikawa gumzo ticha akaita back bencher wote wakala bakora za kutoshaaa...Ogopa sana tukiwa form 1 class kimya manzi mmoja alipiga moja Kali nimemsahau sula kabisa ila jina lake bado na likumbuka "SIASA" siwezi sahau
Hapana mkuu,sio wewe kweli mkuu?
Siku hizi amekua jibaba ameacha ujinga,, nikimkumbusha anacheka,Huyo mshenzi sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaenda kimoja kisa kijambo [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]aliondoka peke yake hajulikan alipo
Nina jamaa yangu ana tabia kama yako. .tangu akiwa mdogo mpaka amekua nayo
Kweli wewe ni JAMAA MBISHI.