Je, ulishawahi kujamba mbele ya mtu unayemuheshimu?

Niliwahi jamba katika bus earphones zikiwa masikioni, nilijamba sana,kuja shtuka too late ,mostly of the people walikua wananikodolea macho..
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]huu Uzi bhnaa
 
Binafsi sijawahi ila kuna rafiki amewahi kujamba mbele ya madem wawili matata sana ambao tulikuwa na promisses nao kwaajili ya kuomba papuchi......Mission iliishia hapo hapo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alikuwa kala nini au kiwewe cha kuongea na madem warembo!
 
[emoji16][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Huyo nadhani hakumaliza kongamanooo...
 
[emoji23][emoji23] Kumbe ni wewe! Mimi nilikuwa konda wa hilo basi [emoji23][emoji23][emoji23]
Niliwahi jamba katika bus earphones zikiwa masikioni, nilijamba sana,kuja shtuka too late ,mostly of the people walikua wananikodolea macho..
 
Sujajua nini alikula ila pozi la kuweka mguu mmoja juu ya kiti cha bar naona ni sababu ya ajari ile
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo ulikosa mabega ukashuka moja kwa moja, msiwaachia wakaondoka mngepiga sound hivyo hivyo
 
Katika kucheka huko kweli haujatoa kitu bibie?
Hakuna kitu kama hicho hapa dakika 2 dinner hali ya hewa inatakiwa kuwa swali kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo ulikosa mabega ukashuka moja kwa moja, msiwaachia wakaondoka mngepiga sound hivyo hivyo
Jamaa alitoka nduki si kitoto.....mimi ikabidi niearuhusu kwani nao walikuwa hoi kwa kicheko,
Baada ya ya kujamba jamaa alishtuka kisha akasema; "Haaaaa! nimejamba?" akatimua mbio.
 
Haaaaa haaaaa nilikuwa sijacheka leo mbona nimecheka sahizi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa alitoka nduki si kitoto.....mimi ikabidi niearuhusu kwani nao walikuwa hoi kwa kicheko,
Baada ya ya kujamba jamaa alishtuka kisha akasema; "Haaaaa! nimejamba?" akatimua mbio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…