Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Binafsi ninahisi nina Phobia ya kuogopa kua attached kwa mtu fulani, Maana najua tu mwanzo atanionyesha wema na upendo ila mwisho ndio atanionyesha upande wake wa shillingi..mmhh
Ila wanasema maisha ni kutake risk, if you can't take you loose a chance
Lose
not
loose
 
dah, imenitokea mara mbili, kumpenda mwanamke ki urafiki kupita kiasi, mmoja tumekua marafiki for 9 years , akaanza kubadilika since mwaka jana mwishoni sijamtafuta tena, mwingine tumedumu miezi 4 tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kho! Kho! Pole sana
 
Maisha hayana kanuni, ukimpenda mtu wako pambana hadi umpate, hata asipojibu msg pambana. Mwanaume "kupambania kombe" eti. Usikubali kushindwa juu ya kitu unachokitaka kirahisi.

Sio kwenye mahusiano tuu, hata kwenye maisha kiujumla. Pambana , usiseme tuu kama riziki ni yangu ni yangu tuu na itakuja. Utasubiri riziki ijilete hadi mwisho wa dunia.
Basi nadhani maisha kwangu nayachukulia kwa angle tofauti..
I'm a loser, Don't fit anywhere.
Ukisema No kwangu basi Ndio mwisho wa kufuatilia kitu hiko..
 
Kuna dada flan hv ananipend sana ila 2naishi km marafiki,, ishu ni hivi huyu dada akinimiss ndo shobo zinakuwa nyingiii! Yani nikimchunia bila kupokea sim yake af nkakaa kmya hata siku 1 na zaid af siku ikatokea nkapokea shobo linakuwa sio la nchii hii na ahad kibao! Kiufup akinimiss ndo ananipenda ila 2kizoeana tena inakuwa kawaid sana hamna shobo!! Sasa nikitaka papuchi nakuwa kimya siend kwake wala sjib sms wala call mpaka animiss!!Nikishajua amenimiss namtafuta ananipa mwenyw kirahis sana! Ila 2kizoeana tena anakuwa mgumu na anichukulia poa sanaa! Nlichojifunz hapa kuna smtym 2nachukuliana poa cuz 2na assume m2 atakuepo mda wote! Kma sahv nmemchunia sipokei sim zake mpaka valentine ndo ntamtafta nimle maan akinimiss atakuwaga na moto sana!!!
 
Kuna dada flan hv ananipend sana ila 2naishi km marafiki,, ishu ni hivi huyu dada akinimiss ndo shobo zinakuwa nyingiii! Yani nikimchunia bila kupokea sim yake af nkakaa kmya hata siku 1 na zaid af siku ikatokea nkapokea shobo linakuwa sio la nchii hii na ahad kibao! Kiufup akinimiss ndo ananipenda ila 2kizoeana tena inakuwa kawaid sana hamna shobo!! Sasa nikitaka papuchi nakuwa kimya siend kwake wala sjib sms wala call mpaka animiss!!Nikishajua amenimiss namtafuta ananipa mwenyw kirahis sana! Ila 2kizoeana tena anakuwa mgumu na anichukulia poa sanaa! Nlichojifunz hapa kuna smtym 2nachukuliana poa cuz 2na assume m2 atakuepo mda wote! Kma sahv nmemchunia sipokei sim zake mpaka valentine ndo ntamtafta nimle maan akinimiss atakuwaga na moto sana!!!
Watu mnabahati zenu .hongeraa
 
Huwa hakuna urafiki wa kudumu...

Watu huwa marafiki kwa sababu mmojawapo au wote kuna vitu/kitu hufaidika toka kwa mwingine...

Kusipokuwa na bitu vya faida na urafiki huishia hapo...
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Naomba uwe rafiki yangu mkwe.
[emoji125][emoji125][emoji125]
 
Kwa upande wa marafiki.

Wakati nasoma kipindi hicho, nilikua na rafiki yangu ambaye nilikua namjali sana, tulikua tunaishi wote nyumba yetu hii ya kwao inafuata mbele,
Huyu rafiki tukifika nyumbani ni marafiki wakubwa tu, ila tukifika shule urafiki hakuna tena anakuona huna maana tena, anakuwa na marafiki zake wengine.
kipindi cha utoto nilidhani sitoweza kusurvive peke yangu bila ya mtu yoyote pembeni,
Ila nikaja gundua kwamba mtu ukimjali sana anakuona huna maana, anajua wewe huna cha kufanya bila ya yeye, lazima akuendeshe, lazima akudharau, lazima akupuuze.


Nilichokifanya nikajijengea msimamo kwamba "naweza kufanya chochote bila ya yoyote, yaani mimi na akili yangu tu nitaweza kufanya chochote kile" nikaanza kujiamini, japo nilitambua haitokua rahisi.(na ni kweli haikuwa rahisi)
*Nilianza kujipenda mwenyewe kwamba mimi ni wa muhimu kuliko yoyote yule mimi ni wathamani sana, sitokuja kujidharau tena, so haitotokea tena niumie sababu ya mtu mwingine
*nitafanya kila njia nipate Amani/furaha na Nitafanya kila njia furaha/amani yangu isipotee (japo sio rahisi pia)
*Sitosikiliza yoyote na hakuna atakaye badirisha msimamo wangu, sababu binadamu wengi ni wanafiki.
*Familia yangu ndio marafiki pekee wa kweli japo kila mtu yuko mbali na yake.
Na mpaka leo sijabadirika sina rafiki wa kweli zaidi ya salamu kila mtu na yake,
Hata wale niliosoma nao wachache ndio huwa tunaongea kwa bahati mbaya mwaka mara 1.

Maisha yangu ni
Job
Movies
Music
Books
Games
TV shows nk au kushinda kwenye magroup ya introverts wenzangu.

Unaweza dhani mimi ni alien ila ndio maisha yangu na hakuna kilichoaribika, na mambo ya kuumizana nilishayasahau,na furaha muda wote ipo nami, na sina mpango wa kuishi kama binadamu wengine, nikaishia kuumia tu.
Kiufupi haitokuja kutokea hiyo kitu.

Mtanisamehe kwa Uzi mrefu.


"Magic is believing in yourself if you can do that, you can make anything happen".
 
Back
Top Bottom