Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Niko hp nafight for what I love ila nimebakiza phase 2 tu zikishindikans na hizo basi tena nitaacha aende though something deep inside is telling me that one day atakuja kunitafuta nikiwa sipo kabisaa sababu ninajijua....sababu ss hv bado ni kitu roho inapenda acha nimpe efforts zangu muda hizo chapter 2 zikipita hamna mafanikio nitaweka tick kua sio fungu langu[emoji847]
 
Niko hp nafight for what I love ila nimebakiza phase 2 tu zikishindikans na hizo basi tena nitaacha aende though something deep inside is telling me that one day atakuja kunitafuta nikiwa sipo kabisaa sababu ninajijua....sababu ss hv bado ni kitu roho inapenda acha nimpe efforts zangu muda hizo chapter 2 zikipita hamna mafanikio nitaweka tick kua sio fungu langu[emoji847]
Vizuri. Usitegemee furaha kutoka kwa mtu..
 
Ila wanadamu sisi sijui tupoje..Mungu atusaidie tu! Hivi huwezi kua na mtu bila kutegemea something in return?
Mimi nilijua Pesa au wanawake ndio vitu vinaweza vunja urafiki kwa watu kumbe sio.
Sio ishu ya kulaumu wanadamu hahaha...

Mi naamini ni kanuni ya uhalisia "rule of nature", uhusiano lazima uwe wa faida...

Unaona hata kwa vitabu vya dini, Mungu na mwanadamu walipoharibu mahusiano yao kila kitu kikaparaganyika...
 
Maisha hayana kanuni, ukimpenda mtu wako pambana hadi umpate, hata asipojibu msg pambana. Mwanaume "kupambania kombe" eti. Usikubali kushindwa juu ya kitu unachokitaka kirahisi.

Sio kwenye mahusiano tuu, hata kwenye maisha kiujumla. Pambana , usiseme tuu kama riziki ni yangu ni yangu tuu na itakuja. Utasubiri riziki ijilete hadi mwisho wa dunia.
Mimi nitashauri mwanaume kupambana kutafuta anavyovipenda ila sio kupambana kumtafuta mwanamke anayempenda.

Mwanamke unayempenda hawezi kukupa furaha hata siku moja. Anayekupenda ndiye atakupa furaha.

Mtoa uzi nawe uzi wako una walakini...sasa umn'gan'ganie rafiki wa kiume mwanaume wa nini???
 
Mimi nitashauri mwanaume kupambana kutafuta anavyovipenda ila sio kupambana kumtafuta mwanamke anayempenda.

Mwanamke unayempenda hawezi kukupa furaha hata siku moja. Anayekupenda ndiye atakupa furaha.

Mtoa uzi nawe uzi wako una walakini...sasa umn'gan'ganie rafiki wa kiume mwanaume wa nini???
Kuna watu wameishi na marafiki mda mrefu. Kila kitu wanafanya pamoja, mishe za pesa wanapiga pamoja, labda demu flani wanasaidiana kumtafuta mpaka mmoja anampata. Nk.
Sasa pale urafiki unapopungua yule aliye attached sana anaanza kuwaza life litasongaje maana ashazoea kupiga misele wanapiga pamoja
 
Sijawahi lazimisha uhusiano wa namna yoyote ile.Wala sitakaa nifanye hivyoo never ever milele..regardless of who u r.
Washkaji wa kwel watakuwepo tu kwa ajil yako na ww utakua pale kwa ajil yao bila hata ww au wao kuombwa kufanya hivyo.

Same applies to mapenzi.
 
No! ananipenda kidoooogooo sana kwa mbaaalii I can feel it, na muda mchache anaonigawia najikuta malkia ndani ya kasri hii hali ndio inanipa mang’amung’amu ndoto za mchana na usingizi kupaa usiku I’m so attached to what I feel in his presence, rafiki yangu amekuwa muziki, muziki wa kutuliza nafsi. Naikanya roho haitaki, naikumbusha kila nisiloona lafaa imegoma, sina ujanja namlilia Yesu anitoe hapa.

Hongera na pole sana client3, Rafiki angu mpenzi aliyebakia ni Muziki na muvi nawapenda sana.
Shida ni pale unapokua unataka kampani ya mtu mwingine maana ukamirifu wa mwanaume ni mwanamke
 
Kuna watu wameishi na marafiki mda mrefu. Kila kitu wanafanya pamoja, mishe za pesa wanapiga pamoja, labda demu flani wanasaidiana kumtafuta mpaka mmoja anampata. Nk.
Sasa pale urafiki unapopungua yule aliye attached sana anaanza kuwaza life litasongaje maana ashazoea kupiga misele wanapiga pamoja
Oouh...labda kwasababu sijawahi kufikiria kuwa na rafiki wa kiume wa namna hiyo...wa kutafuta demu pamoja na tunakuwa attached kiasi cha kushindwa kumpoteza...naona kama huu ni umama.
 
No matter what you are going through don’t do this for yourself, self judgement is so poisonous, si ndio inapelekea self rejection, guilty conscious, self criticism ??
Jiambie you deserve better lakini si kujishusha hivi.
Ajishushae hupandishwa mkuu..maandiko husema hvo.
I'm used to say so
 
Maisha hayana kanuni, ukimpenda mtu wako pambana hadi umpate, hata asipojibu msg pambana. Mwanaume "kupambania kombe" eti. Usikubali kushindwa juu ya kitu unachokitaka kirahisi.

Sio kwenye mahusiano tuu, hata kwenye maisha kiujumla. Pambana , usiseme tuu kama riziki ni yangu ni yangu tuu na itakuja. Utasubiri riziki ijilete hadi mwisho wa dunia.
[emoji122][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wametendwa mpk sheeeeda...
Tukianzisha dini ya walioumia itakua moooooto

*Kihalisia ni kuwa lazma yupo mtu ambaye lazma ilikua mpendane na dunia ifahamu*


Yaaani unapenda mpk huelewi
Ila likipta pepo lazma uje na lugha ya kutetea nafsi
Zipo nyingi sana....

Nliwahi kuwa na mahuasiano ila nlinyooshwa vizuuuri
Ss hv niko kama waaamini wengi humu
[emoji23][emoji23][emoji23]

Mahusiano mazuri yapo
Ila watu wabovu ni wengi kwa jinsi tofauti

Pendaneni,msitafute sababu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom