Hapo pa kunyooshwa 😀😀😀Watu wametendwa mpk sheeeeda...
Tukianzisha dini ya walioumia itakua moooooto
*Kihalisia ni kuwa lazma yupo mtu ambaye lazma ilikua mpendane na dunia ifahamu*
Yaaani unapenda mpk huelewi
Ila likipta pepo lazma uje na lugha ya kutetea nafsi
Zipo nyingi sana....
Nliwahi kuwa na mahuasiano ila nlinyooshwa vizuuuri
Ss hv niko kama waaamini wengi humu
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mahusiano mazuri yapo
Ila watu wabovu ni wengi kwa jinsi tofauti
Pendaneni,msitafute sababu
Sent using Jamii Forums mobile app