princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
kila nnavyouweka naona nashindwa mnafanyaje? attach Mp3 inasumbuaNitafutie wimbo huo basi.. naona upo vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kila nnavyouweka naona nashindwa mnafanyaje? attach Mp3 inasumbuaNitafutie wimbo huo basi.. naona upo vizuri
Hata mm sijui kwakweli..kila nnavyouweka naona nashindwa mnafanyaje? attach Mp3 inasumbua
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana mkuu nawe ubarikiweMkuu Umeongea Ukweli Mtupu 100%Yamenigusa
Umenifunza Kitu Kikubwa sana Ubarikiwe Mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]Hujasoma imeandikwa, binti atamuacha baba na mama yake naye ataambatana na mumewe...
Alipokuwa kwako ndio alikuwa bintiyo, sasa ni mzima taa usiku kwa mkweo...[emoji16]
Kwa hyo mkuu huna rafiki hata mmoja?Mkuu mm nilikua nae mmoja mpaka tulivyotengana 2018. Sina mwingine..Sihitaji
Mtumishi ? ,Huyu na mwona kwenye tunda kimasihara utumishi kaanza lini?aaameen bwana mtumishi
You embrace your weaknesses
😃😃😃kule anakumbushia enzi tu ....ila now days ameokokaMtumishi ? ,Huyu na mwona kwenye tunda kimasihara utumishi kaanza lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunda kimasihara tunachangamsha genge..Mtumishi ? ,Huyu na mwona kwenye tunda kimasihara utumishi kaanza lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
😃😃Tunda kimasihara tunachangamsha genge..
usiogope dude watu hatufanani tambua hilo kwanza true love zipo kabisa usiogope kuwa baadaye atabadilika na atakuonesha mabaya huwezi kumbadilisha shetani kuwa malaika atakudanganya mwanzoni lakini mwishoni utamuona tu.Binafsi ninahisi nina Phobia ya kuogopa kua attached kwa mtu fulani, Maana najua tu mwanzo atanionyesha wema na upendo ila mwisho ndio atanionyesha upande wake wa shillingi..mmhh
Ila wanasema maisha ni kutake risk, if you can't take you loose a chance
Tatizo ww ni Introverts.. ndio maana unakua na hisia sanaExpectations always hurt
Mimi ni emotional hoarder inanisumbua ikiwa ni mtu wa karibu mno ndo nalazimisha kama sivyo aende zake tu .
Sent using Jamii Forums mobile app