Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

My dear mtoa post
Huyo alisema kuhusu subconscious mind amenigusa ku moyo mpk chozi limetoka Mana Niko katika Hali ya kutafuta furaha na Aman moyon.


Tatizo langu ni kua nilipo Anza kutafuta rafiki wa kweli ktka uanafunzi huu nilionao sasa nikapata nikaweka Iman kua atakua na me Kila mda ni mwana wangu Sana tunashare vingi ,tunasoma wote ,tunasema Iman kua tutafanya wote kazi moja na vengine vingi Kama marafiki

Nalimtafuta yye Mana nallikua na msongo wa mawazo kukataliwa kimahusiano na Mikasa mingi ya maisha .

Ila sasa yanayo nikuta ni makubwa Mana najikuta me ndyo naweka huo uwepo sasa wa urafiki sio Kama zaman kisa jamaa kapata demu ambaye anampenda Sana.


Mara nyingi najikuta mpweke Sina wa kusema nae niliyo nayo basi nabaki naongea mwenyew tu Sina Hata demu Kama rafiki yangu kusema atanipa furaha

Humu mko mnaojua namna nitapona na hili tatizo [emoji24][emoji24] [emoji24] Mana napenda marafiki Ila marafiki ni wakunipa furah mwanzon tu

[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Ngoja kwanza nilie mimi [emoji24][emoji24][emoji24] Mana mtoa mada kanigusa kwenye huzun.

Naombeni ushauri wenu wakuu[emoji17][emoji17]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
My dear mtoa post
Huyo alisema kuhusu subconscious mind amenigusa ku moyo mpk chozi limetoka Mana Niko katika Hali ya kutafuta furaha na Aman moyon.


Tatizo langu ni kua nilipo Anza kutafuta rafiki wa kweli ktka uanafunzi huu nilionao sasa nikapata nikaweka Iman kua atakua na me Kila mda ni mwana wangu Sana tunashare vingi ,tunasoma wote ,tunasema Iman kua tutafanya wote kazi moja na vengine vingi Kama marafiki

Nalimtafuta yye Mana nallikua na msongo wa mawazo kukataliwa kimahusiano na Mikasa mingi ya maisha .

Ila sasa yanayo nikuta ni makubwa Mana najikuta me ndyo naweka huo uwepo sasa wa urafiki sio Kama zaman kisa jamaa kapata demu ambaye anampenda Sana.


Mara nyingi najikuta mpweke Sina wa kusema nae niliyo nayo basi nabaki naongea mwenyew tu Sina Hata demu Kama rafiki yangu kusema atanipa furaha

Humu mko mnaojua namna nitapona na hili tatizo [emoji24][emoji24] [emoji24] Mana napenda marafiki Ila marafiki ni wakunipa furah mwanzon tu

[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Ngoja kwanza nilie mimi [emoji24][emoji24][emoji24] Mana mtoa mada kanigusa kwenye huzun.

Naombeni ushauri wenu wakuu[emoji17][emoji17]

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana ndugu yangu
 
Mimi marafiki ninao lakini natengeneza mazingira ya rafiki yeye anipende mimi sana kuliko mimi navyompenda yeye uwaga inatokea tu wananipenda sana wao wanahesabiaga mimi ni rafiki yao lakini mimi nawachukulia kawaida sana. Niko sehemu napata marafiki wengi wa kike hii hali yakuwa na marafiki wa kike siipendi sana nmeanza wote kuwakwepa wananitafuta sana mimi sitaki urafiki na mademu sjui nifanyaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee nilijuaga niko peke yangu mwenye mawazo kama haya,, at times I feel useless may be because of the kind of life I'm living..
Mimi sijui ila Nadhani maybe sijapenda au nimeukomaza moyo wangu kwa mitazamo ya kua mpweke pweke.
Mfano..
Hua najisemea I'm useless one, nobody needs me! So kwa mentally hii hata mpenzi akiniacha najua tu I'm no tdestined to he loved.
My friend we need jesus!!!!
mwisho wa siku nasemaga samething, "Bwana weeh nobody needs me! mimi sina jipya kwanza atakaaje na mimi bora basi ameamua kuniacha, maana sina cha ku-offer
Hivi tukoje[emoji23] tutafute dawa haya sio maisha

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee nilijuaga niko peke yangu mwenye mawazo kama haya,, at times I feel useless may be because of the kind of life I'm living..

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mdada. Tuko pamoja..
Watu hushangaa hio signature yangu. Hiyo ndio falsafa yangu maishani, I'm useless so if you like me like me..if you hate me..hate as you can coz I'm not worthy in this world.

Maneno haya yananisaidia nisitegenee cha mtu
 
Yup sometimes yanasaidia sana
Pole sana mdada. Tuko pamoja..
Watu hushangaa hio signature yangu. Hiyo ndio falsafa yangu maishani, I'm useless so if you like me like me..if you hate me..hate as you can coz I'm not worthy in this world.

Maneno haya yananisaidia nisitegenee cha mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa upande wa marafiki.

Wakati nasoma kipindi hicho, nilikua na rafiki yangu ambaye nilikua namjali sana, tulikua tunaishi wote nyumba yetu hii ya kwao inafuata mbele,
Huyu rafiki tukifika nyumbani ni marafiki wakubwa tu, ila tukifika shule urafiki hakuna tena anakuona huna maana tena, anakuwa na marafiki zake wengine.
kipindi cha utoto nilidhani sitoweza kusurvive peke yangu bila ya mtu yoyote pembeni,
Ila nikaja gundua kwamba mtu ukimjali sana anakuona huna maana, anajua wewe huna cha kufanya bila ya yeye, lazima akuendeshe, lazima akudharau, lazima akupuuze.


Nilichokifanya nikajijengea msimamo kwamba "naweza kufanya chochote bila ya yoyote, yaani mimi na akili yangu tu nitaweza kufanya chochote kile" nikaanza kujiamini, japo nilitambua haitokua rahisi.(na ni kweli haikuwa rahisi)
*Nilianza kujipenda mwenyewe kwamba mimi ni wa muhimu kuliko yoyote yule mimi ni wathamani sana, sitokuja kujidharau tena, so haitotokea tena niumie sababu ya mtu mwingine
*nitafanya kila njia nipate Amani/furaha na Nitafanya kila njia furaha/amani yangu isipotee (japo sio rahisi pia)
*Sitosikiliza yoyote na hakuna atakaye badirisha msimamo wangu, sababu binadamu wengi ni wanafiki.
*Familia yangu ndio marafiki pekee wa kweli japo kila mtu yuko mbali na yake.
Na mpaka leo sijabadirika sina rafiki wa kweli zaidi ya salamu kila mtu na yake,
Hata wale niliosoma nao wachache ndio huwa tunaongea kwa bahati mbaya mwaka mara 1.

Maisha yangu ni
Job
Movies
Music
Books
Games
TV shows nk au kushinda kwenye magroup ya introverts wenzangu.

Unaweza dhani mimi ni alien ila ndio maisha yangu na hakuna kilichoaribika, na mambo ya kuumizana nilishayasahau,na furaha muda wote ipo nami, na sina mpango wa kuishi kama binadamu wengine, nikaishia kuumia tu.
Kiufupi haitokuja kutokea hiyo kitu.

Mtanisamehe kwa Uzi mrefu.


"Magic is believing in yourself if you can do that, you can make anything happen".

Safi sana ujumbe mzuri
 
Yeah mie hata mtu baki akinipenda huwa najiuliza kanipendea nini maana ninaboa

Sent using Jamii Forums mobile app
sasa si bora wewe unapendwa na hao watu baki.
mimi sijawahi kuhisi napendwa hata mtu akinitumia [emoji173] nashtuka ..
nmesahau last time nmependwa lini[emoji22].. nashangaa kwanini mzee hataki kunipeleka Jwtz nikaishi maisha yasiyo na upendo wala urafiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom