Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Vip kuhusu mtoto? Wewe ulikuja kuoa nani? Na Vip kuhusu yeye aliolewa? 🤔
 
U
Umri wako sasa unakuruhusu kuoa mkuu
 

Sasa ndo umeandika nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yani ujawai lazimisha rafiki afu una rafiki mmoja tuu acha awe katika maisha yako [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]aisee kazi
 
Hapo kwenye uhuni hebu fafanua.

Wakati namtongoza mke wangu nilimuonesha upande wangu wa pili wa mabaya yangu uhuni kulewa ugomvi na kila baya langu sikumuoneshea uzuri wangu hata kidogo lkn ndo tukaoana tuko pamoja na maisha yanasonga.
 
Wakati namtongoza mke wangu nilimuonesha upande wangu wa pili wa mabaya yangu uhuni kulewa ugomvi na kila baya langu sikumuoneshea uzuri wangu hata kidogo lkn ndo tukaoana tuko pamoja na maisha yanasonga.
Ukute alipenda pesa zako ulizotumia kusafisha yale mabaya aliyoyaona🤔🤔 si unajua mbwa mwenye mfupa habweki
 
Mtoto bado yupo nae nafikiri, amemuita Taraj. Alinitumia picha ya chalii na baada ya hapo sijawahi kumpata tena hewani wala alikokua anakaa. Mimi nilioa mama wa mwanangu wa kwanza, yeye sina taarifa zake
Damu yako kabisa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…