Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Sasa mkuu hapo si atakua amenunua heshima, kama ili uheshimiwe na moenzi wako lazima uwe na pesa[emoji45][emoji45]
Tafuta hela mdogo wangu.
Mapenzi bila hela hayaendi kabisa,muda wote uwe mtupu mfukoni tena mtoto wa kiume!
Hakuna Malaika atakayekuvumilia hadi mwisho,
Si kununua mapenzi, ni wajibu wako kutafuta.
 
Ni wajibu wangu kuhudumia na kutafuta kwa ajili ya mpenzi na familia.. lakini pia wewe mwanamke inatakiwa uridhike na kile nachokipata. Tatizo ni kutokujishughukisha kabisa...
Kumbe anajua ni wajibu wako!
Sasa kwanini hapo juu unatetea kutokuwa na pesa
Mapenzi si pesa ila pesa ni muhimu katika mapenzi.
 
Thank you Bro kwa thread nzur imayagusa maisha yangu moja kwa moja nilikuwa napata wakat mgum nilikuwa nawang'ang'ania watu wasio niitaji baada ya kusoma hii thread yako imeniimpower na kuona naweza ishi tu good life hata bila wao... Be blessed
 
Katika maisha yangu sijawahi kuendekeza kitu kinachoitwa kujipendekeza au shobo.Kwenye mapenzi ukisema haiwezekani usifikirie nitarudi nyuma na kubembeleza?kwenye urafiki nikiona huelewi au unajiona keki aisee kwangu huwa nakuwa keki kupita kiasi!!Kimsingi mtu akiniletea nyodo huwa nageuka kuwa mwalimu wa nyondo naweza pita hata bila kukusalimia kimsingi nina misimamo katika maisha yangu na siwezi ishi kwa kutegemea uhai au uwepo wa mtu mwingine!!Starehe yangu ni muziki,kuwa na hela nyingi kwenye wallet,tungi ila kwa upande wa ma- chicks huwa wanakuja wenyewe sina ujinga wa kutukuza may.

I HUMBLY SUBMIT.
 
Mimi huwa sipendi kudeal na watu wasio na hisia. Huwa nawaona kama majini na huwa natokea kuwachukia sana.

Binadamu hatukuumbwa kuishi pekee yetu lazima uwe karibu ya watu na mtu anaekupenda kwa dhati.

Mtu anae kusalimia asubuhi mnapoamka aidha kwa kukupigia simu au kukutext, mtu ambaye atataka kujua unakula chakula vema, atakae pokea simu na kuwasikiana na wewe hata akiwa busy, atakae kuwa anataka kupanga maisha na wewe na kuweka kila alichokuwa nacho mezani ili kitumike kuyapata hayo maendeleo.

Ambaye hata ikaimu nafasi yako kwa mtu mwingine na kukuonyesha wewe ni mtu pekee kuwa nae.

Sasa usipopata wa hivi ndio unakutana na hayo madudu yenye ubinafsi umeongelea hapo.
 
Kwenye Million ni Mmoja
Wengi ni wawili
 
[emoji16][emoji16][emoji16]aisee kuna watu mmepitia mambo mazito sana aise .... Nashukuru mitaa ilinikomaza vya kutosha ... Muda wa kuli Lia mapenzi huwaga Sina if tukigombana na m-bebe nitajaribu kumbembeleza na kujishusha kwa siku 1 au 2 tu nikiona bado anakaza shingo naachana nae ...no texting even calls ..simtafuti mpaka anitafute na akinitafuta sionyeshi makasiriko na mpatia ushirikiano bila hiyana Kama hakuna kilichotokea Ila nakuwa tayari nimeshapata fundisho na kuanza kuishi nae kimitego yaani mguu 1 ndani 1 nje ...
 
Niliwahi pitia break up moja 7bu nilijiattach sana na yule bint

Basi kila ulichosema hapo juu n ukweli:
Ukmjali sana mtu anakudharau ana kupuuza na pia atakuumiza tuu
Njia nilitumia kupona na kumsahau n kuadd wigo wa vitu huwa nafanya kwa hio nikawa napoteza muda mwingi huko na maisha yakasonga

Ujinga wa hivi viumbe vya Mungu alinitafuta baadae, nilikuwa mwenywe bado ila hakuipata hio nafasi tena.
 

Inatwa wanaume tuwe hii sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…