Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Mimi binafsi, mtu ukitaka kukaa, kaa usipotaka we nenda tu. Si mpenzi wala ndugu wala rafiki, mara nyingi napenda sana kuwa peke yangu, naongea na kujijibu mwenyewe.
Mwenye akili ndogo unaweza sema nina any kind od mental disorder ila afya yangu ya ubongo iko sawa sana. Kwa marafiki huwa nina tabia moja, nikikupigia simu mara tatu au mbili usipokee na usijekunitafuta namba huwa nafuta, wewe hata tukikutana njiani jifanye ni new comer tu kwangu.
 
Na ni maumivu na mateso makuu pale tunapokosa upendo. Hasa wa watu ambao tunawapenda. Tunajiona tusio na thamani duniani.
Kupona majeraha haya inahitaji ujasiri na uvumilivu uliotukuka. Mungu atusaidie.
 
Na ni maumivu na mateso makuu pale tunapokosa upendo. Hasa wa watu ambao tunawapenda. Tunajiona tusio na thamani duniani.
Kupona majeraha haya inahitaji ujasiri na uvumilivu uliotukuka. Mungu atusaidie.
Kuna point of no return, umempenda mtu husikii wala huoni hapo habari za fate wala nini hutakumbuka, utabaki kuvumilia kushikilia senyenge maana ndiko ilipofungwa furaha yako, japo unaumia lakini huwezi kuachia maumivu hayo ambayo yanautamu ndani yake yakuponyeke.Najua I don’t relly deserve you coz you outstanding and outrun me in everything, you deserve something fancy and better..lakini bado sijajiandaa kupisha mtawala mwingine, Yote hayo ni kwakua you found me in broken pathway and you picked up my pieces, ukanionyesha mwanga na tumaini la maisha kwa pendo lako. Kwa muda wote ule uliokua namii na furaha yoote uliyoniletea mpaka kufanya ndoto zangu za kua mtu Fulani better zitimie ni kwasababu ya pendo lako. I’m not fancy guy but I’m good lad with kinda hearted
 
Upendo ustahimili yote
Upendo uvumilia haujivuni
Haukosi kuwa na adabu
Hautafuti mambo yake kamwe
Tena ufurahi udhalimu
Ikiwa tuna upendo tu wake Mungu Wapenzi tutafute upendo
 
Mkuu acha tu things still pretty miserable out here, it appears like some peoples like Us/I Our fate has been sealed not to ever know how it's like to belong to someone[emoji22]
Ata mimi nlikua kama wewe ila Jf imenipika saivi hakuna kiumbe yeyote wa kunibabaisha
najua mifumo yote

Sasa wewe sijui mwenzetu ni kujiendekeza au lah
 
Huu ujumbe ndo ulimtumia au
 
Ata mimi nlikua kama wewe ila Jf imenipika saivi hakuna kiumbe yeyote wa kunibabaisha
najua mifumo yote

Sasa wewe sijui mwenzetu ni kujiendekeza au lah
Hongera kua imara Natumaini uzi wangu huu ume Trigger courage ya watu wengi to handle their unstable emotions.

Sio kwamba majiendekeza mkuu... I know how things are.
Love is fate (to me) not a destiny, inawezekana kuna sehemu nilikosea rohoni au there's no my seat in the table of love.

Imagine unakua discarded na mtu for being kind...eti you're too kind I don't deserve you. Will gonna hurt you for that
 
[emoji3]Hata mimi nikiri huu ni moja ya uzi uliosaidia sana kunijenga wakati nataka kujitoa kwenye kifungo flani

Sasa inakuaje mwandishi bado anashindwa kufuata kile ambacho sisi kilitusaidia kutoka kwake.
 
Kuanzia mwaka juzi 2019 nimekuwa nakutana na wadada wajawazito tu alafu sasa wametelekezwa na waliowapa ujauzito, ajabu kila nikigundua ni wajawazito nakuwa mzito kuwapotezea kazi yangu imekuwa kutoa faraja tu hadi mdada anajifungua na mimi naendelea na mambo yangu.

Mwanzo niliona mbona hii hali sio, imagine hadi sasa ni kama wadada 7 sitaki mahusiano nao japo mwanzo ndio kilichonikutanisha nao.

Ngoja niendelee tu kuwa mtoa faraja, labda ndio 'Life Purpose' yangu
 
[emoji3]Hata mimi nikiri huu ni moja ya uzi uliosaidia sana kunijenga wakati nataka kujitoa kwenye kifungo flani

Sasa inakuaje mwandishi bado anashindwa kufuata kile ambacho sisi kilitusaidia kutoka kwake.
Mkuu wacha tu life is not fair nami nashangaa nawaelekeza vitu vinanisaidia ila mimi yangu yamenishinda. Ndio Maana hua nasema I guide other the treasures I can't afford.

But spiritually kuna watu ni special au wanatumika kama wajumbe kuwafikishia watu mambo flani. Inatokea sana hii maishani wala usinicheke
 
Mkuu kwa hilo jambo ni zuri keep it up don't turn them down. You're a sanctuary of broken souls.
Endelea hivo hivo kua tumaini la waliokata tamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…