Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

You are so funny mate.
Inaonyesha upo so interested kwenye movie. Ni jambo zuri coz movie zinabeba mambo mengi ikiwemo new technology, inspirational quotes and actions, love, culture, new language terminology and others.
So you get a full package (movie)

Lakini maisha ya upweke ni changamoto sana japo wengi wanapenda kuonyesha furaha na tabasamu machoni pa watu.
 
Yeaap, muvi zimebeba mengi mazuri hasa kama ni observer huwezi kubaki mtupu kama unaangalia muvi.

Mkuu upweke mnautoa wapi wakati mpo mapenzini you can call your partner anytime na kuchat.?
 
acha tu nilimpenda sana dada X sana nilijitoa kwa mali ,hali na upendo mkubwa sana ila aliniacha pasipo
kosa lolote alijisikia tu kuniacha tu bhasi ,nililia sana niliumia sana sana hadi kazini nikakosa amani ila mungu mwema


let her go no matter what
 
Nyoko yule, nilimpenda sana alijua, sijui km alinipenda au laah.Ila yeye ndiyo alikuwa wa kwanza kuwa na maisha bora. Ilipokuja swala la ndoa hapo ndiyo Kabadilika vibaya mno.Simu hapokei sms hajibu. Kuna siku nikamchana kwanini hupokei simu yangu kwani nakudai.Sintakupigia tena nilimwambia toka 2009 mpk leo sijawahi kumuona, wala kupigiana simu.
Yeye atakufia kulia huko nami kushoto tumevunja bond yetu tuliyoitengeneza toka tumonana sekondari.
 
Haya maneno hayafanyi kazi kwa mtu anayempenda mtu kweli.
Wanasema "if you love something, fight for it".
Yaani ukae uache kupambana ukidhani kwamba atakuja mwenyewe?.
Why should I fight? Love is to give and take/receive and not fighting...fighting ina maana unalazimisha kuingia usipotakikana.
 
Pole sana.
 
Pole sana mkuu.
 
Wababe, Magenius.
Looh!!
Kuna mdada mmoja yopo early 40 kaka yake ni rafiki yangu(kind of) nilikua nikienda hapo kwa kaka yake anansalimia "Habari yako Ambwene" mimi naitika tu always bila kujua.
Siku moja nipo na kaka yake, kaka yake akaniita wewe "Msukuma" njoo hapa yule dada akashangaa kusikia mimi ni msukuma. Akaniambia siku zote alikua anajua mimi ni mnyakyusa kutokana na jinsi ninavyoonekana ndio maana alikua ananiita Ambwene...Kwamba Vijana wa kinyakyusa ni Wapole.

Hiyo ni kama mara ya nne nakutana na incident ya namna hii..kuna kipindi niko field somewhere nikawaambia mates kwamba mimi ni Msukuma wakashangaa sana wakaniambia mbona wasukuma hawapi hivo kwamba walijua mm ni Mnyakyusa.
Sasa ndio imebidi niulize kwenu wanyakyusa vijana wa huko wapo vipi. Tabia na muonekano wao upo vipi???

Uliposema ni wababe nimeshangaa sasa iweje mimi nifananishwe nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…