Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

My friend we need jesus!!!!
mwisho wa siku nasemaga samething, "Bwana weeh nobody needs me! mimi sina jipya kwanza atakaaje na mimi bora basi ameamua kuniacha, maana sina cha ku-offer
Hivi tukoje[emoji23] tutafute dawa haya sio maisha

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23] hakuna cha dawa hapa,kama unaenjoy kuwa ktk situation ya hivyo dawa ya kazi gani?,haya ni maisha yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom