Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]khaaaaaaHuyo jamaa ndio wako ndio maana uliweza kumsamehe mara dufu alipokofmsea. Huyo unayemwita Mume He's your disguise
Now I can understand why you made that decision*ndugu yangu sio kwa kupenda..penzi kalichezea....ana cheat...anarudi..anacheat anarudi..unasamehe...akienda huko anakutana na asotarajia..wako kimsalahi et anageuza....anaondoka kwa mbwembwe
.anarudi mdgo...
Hakuna mtu anaweza vumilia..its either uende au ubaki*
Tulidate almost 5yrs...
Hakuwah kuwa na mahusiano marefu km hayo..mwenyewe anasema akizidi sana 6month..hapa alikaa..ila ndo umalaya sasa[emoji57].
Penzi la hivyo linaboa..
Bht nzuri nina wangu kanioa nimetulia....
Mkuu kwa tatizo lako limekaa kiroho zaidi hivyo nadhani uzi huu utakupa mwongozo, ukiwa na swali zaidi utaniTag nije nijibuNa mm msaada kwenye tuta,napendwa na mademu wabaya wabaya plus wake za watu af wananiganda kishenzi,unakuta eti Hadi wanali.
Naomba muongozo jinsi ya kuwapotezea bila kuwaumiza maana baadhi nashinda nao sehem ya kazi.
Sipendi kumtamkia mwanamke maneno makali kama kumkataa.
Kuna mmoja nilimjibu tu "sina hisia na ww" aiseee naomba niishie hapa maana kilichotaka kutokea duuuuuh,kweli wanawake wanapenda.
Muongozo tafadhali,maana baadhi nikiwakaushia unaona wanaanza kupigia misele mazingira yangu ya kazi.
Okay, sorry for the late response.Nilikuwa msomaji tu wa maoni ya wadau kwenye Uzi huu.
Ngoja na Mimi ni subscribe kabisa na nihusike kwenye conversation ya uzi huu.
Say welcome to me mates
Baba kua introvert Ni umebarikiwa na Mungu, tumetofautiana katika maisha. Issue Ni kua huyo uliekua nae hakukuthamini. Tafuta binti mwingine awe mchangamfu kidgo lkn awe na heshima, show love her and she will be yours.Ilitokea nimempenda mtu ambaye niliamini atakua kila kitu kwangu,nilimpa vingi sana,ila hakuona thamani ya vyote hivyo,niliamua kuvunja relationship iliyodumu kwa muda mrefu.Tulikuja kuwa pamoja tena baada ya kipindi kirefu kupita, ckuwahi kujua kuwa tayari alishazalishwa huko alikokuwa ila wameachana na mzazi mwenzie,sikuona umuhimu wa kuwa naye kutokana na situation mbalimbali na tabia zisizobadilika kwake,kuishi na single mother inataka moyo hasa kwa mtu kama yeye,japo aliniahidi hilo kosa halitatokea tena.Mawasiliano yetu kwa muda huo ambao tulirudiana yalikua hafifu sana hasa upande wake,niliamua nipige moyo konde nimpotezee ili niendelee na harakati zangu, tatizo huwa linakua sio kumuacha ila tatizo ni kumtoa kichwani,hapa ndio mtihani upo.Mtu anayeshauri kuwa mpige chini,mpotezee,au kuwa na moyo wa kiume naamini hajapitia hii situation, kingine kwangu kuwa introvert kumenisaidia mambo mengi ila ktk mahusiano to be honest i hate kuwa introvert, nimefupisha hii iliyokuwa love story ambayo imegeuka maumivu.
I practice every dayNaona umeamua kua love connector mkuu
We una lako jambo sio bure[emoji38][emoji38][emoji38]jokes
Mwili wa mwanadamu ndani yake kuna roho wa Mungu ambayo ni ile pumzi ya uhai aliyokupatia so ile ndio hua kama taa yako inayowaka ndani ndio maana mwili wako hua unaitwa ni Hekalu la Mungu. Unaporuhusu kufanya mapenzi ili kutatua shida zako basi unakua umetia doa maisha yako, doa hilo hua halitoki kirahisi. Hatima ya maisha yako ipo mkononi mwako, matendo yao ya sasa ndio hutafsiri maisha yako ya baadae. Katika maisha kuna nguvu ya asili Inayosukuma mambo Postive katika maisha yako na kuna nguvu ya asili ambayo inasukuma mambo Negative maishani mwako…Watu wanaoamini katika mungu wanaita nguvu hiyo Postive Kua ni Mungu na hiyo ya Negative wanaita Shetani, watu wa Falsafa na Saikolojia tunaita the power of Nature andBaba kua introvert Ni umebarikiwa na Mungu, tumetofautiana katika maisha. Issue Ni kua huyo uliekua nae hakukuthamini. Tafuta binti mwingine awe mchangamfu kidgo lkn awe na heshima, show love her and she will be yours.
Nimesema mchangamfu kidgo coz atakusaidia baadhi ya Mambo ya jamii. Ambayo we Kama introvert huwezi kuvifanya kikamilifu. Mfano Mambo ya mikusanyiko, vikao vya mtaa n.k.
Hili swali nimeulizwa na mpenzi wangu juzi usiku nikiwa kwa rafiki yangu wa kike. Nilimwambia nitamjibu tukionana, ila sina mpango wowotehii mada imeniponya kwa kiasi kikubwa mnoo, nliingia kwny mahusiano na jamaa mmoja. Nlijikuta tu nampenda saaana, sku moja nikamuuliza je; uhusiano tulio nao unalenga kufka wap? Yaan hatma ya mahusiano yetu n nn?? Loooh! Mpk leo smuoni hahaha swali hilo tu limemkimbiza.
sjui alitaka kunipotezea muda mtt wa wenyewe, ingawa nlimpenda mnoo kwakuwa anaroho njema mnoo. Lkn nyuma ya pazia alikuwa ana makando kando yake mazto tu. Fkiria mtu ana miaka 37 anawatoto wqwil kila moja na mama yake na bado anakula ujana
Mwili wa mwanadamu ndani yake kuna roho wa Mungu ambayo ni ile pumzi ya uhai aliyokupatia so ile ndio hua kama taa yako inayowaka ndani ndio maana mwili wako hua unaitwa ni Hekalu la Mungu. Unaporuhusu kufanya mapenzi ili kutatua shida zako basi unakua umetia doa maisha yako, doa hilo hua halitoki kirahisi. Hatima ya maisha yako ipo mkononi mwako, matendo yao ya sasa ndio hutafsiri maisha yako ya baadae. Katika maisha kuna nguvu ya asili Inayosukuma mambo Postive katika maisha yako na kuna nguvu ya asili ambayo inasukuma mambo Negative maishani mwako…Watu wanaoamini katika mungu wanaita nguvu hiyo Postive Kua ni Mungu na hiyo ya Negative wanaita Shetani, watu wa Falsafa na Saikolojia tunaita the power of Nature and Subconcious Mind.Baba kua introvert Ni umebarikiwa na Mungu, tumetofautiana katika maisha. Issue Ni kua huyo uliekua nae hakukuthamini. Tafuta binti mwingine awe mchangamfu kidgo lkn awe na heshima, show love her and she will be yours.
Nimesema mchangamfu kidgo coz atakusaidia baadhi ya Mambo ya jamii. Ambayo we Kama introvert huwezi kuvifanya kikamilifu. Mfano Mambo ya mikusanyiko, vikao vya mtaa n.k.
I practice every day
To find some clever lines to say
To make the meaning come through
But then I think I'll wait
Until the evening gets late
And I'm alone with you
The time is right, your perfume fills my head
The stars get red, and, oh, the night's so blue
And then I go and spoil it all
By saying somethin' stupid like,
"I love you"
I love you
I love you
View attachment 2088308
Touching..AmenMwili wa mwanadamu ndani yake kuna roho wa Mungu ambayo ni ile pumzi ya uhai aliyokupatia so ile ndio hua kama taa yako inayowaka ndani ndio maana mwili wako hua unaitwa ni Hekalu la Mungu. Unaporuhusu kufanya mapenzi ili kutatua shida zako basi unakua umetia doa maisha yako, doa hilo hua halitoki kirahisi. Hatima ya maisha yako ipo mkononi mwako, matendo yao ya sasa ndio hutafsiri maisha yako ya baadae. Katika maisha kuna nguvu ya asili Inayosukuma mambo Postive katika maisha yako na kuna nguvu ya asili ambayo inasukuma mambo Negative maishani mwako…Watu wanaoamini katika mungu wanaita nguvu hiyo Postive Kua ni Mungu na hiyo ya Negative wanaita Shetani, watu wa Falsafa na Saikolojia tunaita the power of Nature and Subconcious Mind.
Pindi unapoumbwa unakua upo clean kama karatasi jeupee maisha yako yankua yamejaa nuru na ile nguvu Postive au Nature inakua inasukuma mambo positive pekee kuja maishani mwako hivyo maisha yanavyoendelea ndivyo tunazidi kuchafua miili yetu kwa matendo yetu hivyo tunaifanya nature kusukuma mambo negative maishani. Hivyo basi kama HR kakuambia ili akupe kazi inatakiwa umpe penzi basi unakua umeikaribisha nature isukume mambo yaliyo negative maishani mwako..Kwa lugha nyepesi ni kwamba utakua umemkaribisha shetani maishani mwako akuongoze.
Ukishamkaribisha tu kwa kutoa penzi ili upate kazi basi maisha yako yote hutapata kazi mpaka utoe penzi, sio kwenye kazi tu hata kwenye mambo unayokua unataka kupata huduma utakuwa unajikuta mtu aliyetakiwa kukupa huduma anakuomba rushwa ya ngono kwanza. Then utaanza kujiona kua una bahati mbaya/mikosi kwa kuombwa rushwa ya ngono kumbe mwenyewe ulishaharibu mfumo wa maisha yako, umekubali shetani aamue hatima yako kutokana na matendo yako (umeiruhusu Nature iwe inasukua mambo negative maishani). Jitambue!
Mungu alipokuumba alikupa akili nautashi wa kujua mema na mabaya, kakuleta duniani alishapanga mapito yako yote. Wanadamu hatujui hatima yetu aijuae ni muumba lakini hiyo hatima yetu tunaweza kuiharibu au kuifanya iwe hatima njema..Kuharibu au kuijenga itategemeana na matendo yetu na Imani yetu thabiti juu ya muumba. Aliyekuumba (kama waamini katika uumbaji wa Mungu)anakujua! Anajua unashida gani,anajua unahitaji nini,anajua ni muda gani sahihi wa kukupatia …kakuumba yeye hawezi kukutelekeza.
Jali utu wako [emoji3577]
Real talkUnamkuta mtu alishadate na wanaume zaidi ya Watatu akaumizwa leo wewe unajaribu kumu enfluence akupende unatumia nguvu kubwa kufanya hivyo kumbe alishajenga picha kichwani mwake kwamba wanaume ni wale walewale!
Mapenzi yamekuwa very difficult kwa watu wanaotaka kuanzisha mahusiano serously ukikutana na hawa walioumizwa ni kama wamekata tamaa.
Kuna mdada nilimwaproach tuingie kwenye mahusiano first aliniambia kwa sasa hana mtu so nikaanza kumjulia hali asubhu na kumpa mpa vihela after time katika Story akaniambia hamwamini mwanaume yeyote kwa sasa imagne ukiingia nae kwenye mahusiano serously nini kitatokea si utatumia nguvu kubwa sana kum courage na kumcare? Haya ukaja kugundua ni mbovu huku umetumia muda na gharama nani atakulipia maana mapenzi ni interest issue inakuwa loss ni maumivu.
Nashauri watu wajaribu kuingia kwenye uhusiano kwa kuchunguzana sana kama issue ni kufanya maisha lakini kama ni kupiga na kusepa usipoteze muda wako piga sepa
Touching..Amen