Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Kwangu mimi sioni sababu ya kumkoromea...maisha ni haya hayaMwingine ukimjibu hivi ndio anazidi kupenda
Live hakuna uhusiano kbs unaweza usiwe na kusah ila ukawa na nyota ndogoKutongozwa hakuna uhusiano na uhandsime...unaweza kuwa na sura paono na ukatongozwa
Sijakuelewa mkuu samahaniLive hakuna uhusiano kbs unaweza usiwe na kusah ila ukawa na nyota ndogo
Ulale na hao hao uliowapelekea motoBaby nilale wapi, alafu wee nikuache ulale na nani?
Mara nyingi ,nilivo maharage ya mbeya huwa sikatai[emoji41]
Ahhahaha akhaaaa niwe na hiyanaa kisa nn Mkuu...mtoto unakuta Mara Doctor G unanukiaaa ( huku ananigusa gusa began)...Mara G tukanywee chai BabaWe phalla hunaga hiyana🤣🤣
Mkuuu wangu, Huwa sipendi nikae na shahawa za siku zaidi ya 3 , labda itokee emergency tu !!.Yaani hamna sehemu ngona inazungumzwa huyu jamaa asichangie kwa furaha yaani🤣🤣🤣🤣🤣kwenye kimasihara Hadi kaanzisha Uzi ndani ya uzi, Carlos hapana jamani
Baby hata nikiwapelekea moto ,wee utabaki namba Moja tuuu kwako ni "Mtakuja"😘Ulale na hao hao uliowapelekea moto
🤣🤣🤣🤣Kama kawaida uwe na meseji na kapicha kidogoMkuuu wangu, Huwa sipendi nikae na shahawa za siku zaidi ya 3 , labda itokee emergency tu !!.
Baadae tukutane masihara niwaeleze tukuo la kumla huyu BOSS !!.
🤮🤮🤮🤮🤮🤮 Hata mimi ningempiga cha mbavuKipindi hicho ndio nimemaliza chuo nilitongozwa na mwanamke mmoja mke wa mtu halafu alikua na pesa na Hadi Sasa anazo. Tatizo mwanamke mwenyewe Hana shape Wala sura. Mbele na nyuma Ni sawa kabisa, flat screen OG. Nikawa najiuliza kwa huyu hata Kama abdala Ni kichwa wazi lkn kwa huyu hatoweza kuinuka. Alinipa mpaka offer ya kwenda Zanzibar Kama Dar ninaogopa. Nashukuru Sana sikumkula.
My wangu wewe hujatongozwa?Sijakuelewa mkuu samahani
Duuuh 🤔Miye sijawahi
Miye sura ya Babu mfukoni patupu unafikiri atanitongoza naniDuuuh 🤔
Oy lete visa mkuuu 💩 vipiAaahhh sawa , mie napenda Ngono ila Ngono salama na Jana Nmempiga bao tatu za nguvuu Boss mmoja Hivi Mwanamama.
Labda kameseji 🤪🤣🤣🤣🤣Kama kawaida uwe na meseji na kapicha kidogo