Je uliwahi kufanya mistake wakati ukiendesha gari, unalojutia mpaka leo?

Je uliwahi kufanya mistake wakati ukiendesha gari, unalojutia mpaka leo?

Grand Canyon

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2020
Posts
545
Reaction score
1,191
Mimi niliendesha gari kutoka Dar, nikiwa maeneo fulani ya Singida, kuna sehemu imenyooka kweli kweli malori mawili na gari ndogo moja yalikuwa mbele.

Nilikanyaga mafuta gari ikawa spidi kali sana. Nakaribia kuovateki gari ndogo nayo ikataka kuovateki. Nilipiga honi akarudi ndani nikaovateki mbele kulikuwa na bodaboda akatoka barabarani akanipisha, naye alikuwa spidi sijui ilikuwaje baada ya kumpita.

Mpaka leo huwa najiuliza yule jamaa wa gari dogo angeendelea kuovateki na ile spidi yangu sijui ingekuwaje!

Je wewe umewahi kufanya misteki barabarani ambayo haikuleta madhara?
 
Sina gari ila nliona mama anaendesha Toyota pickup anaingia mlimani city anatokea ubungo sasa sijui ikawaje akatia reverse gia aliishia kuparamia fortuna ya watu
 
Ilikuwa mwaka Jana Maeneo ya Sido kuelekea Jet rumo. Nilipanda gari Maeneo ya Vingunguti zile gari za Special Hire full kiyoyozi ilipakia Abiria wachache Tu na ni level seat tukaongoa nanga uelekeo G/mboto.

Dakika chache baadae tulipitwa na Pikipiki Ikiwa na Abiria wanne wote wakiwa ni watoto chini ya Miaka 18 hivi. Wakike wawili na wakiume wawili inaonekana walikuwa wanatokea kwenye Ngoma, wanavibe mixer kujiyumbisha yumbisha kwenye Pikipiki. Lile Jambo likawa kama Mjadala huku safari ikiendelea.

Sekunde chache baadae ikatupita Pikipiki nyingine tena hii ikiwa na Abiria watano nao wakiwa chini ya Miaka 18. Ile yenye Abiria wanne ikaovartake na kuzidi kupotea, Yule mwenye Abiria watano wakati anajitahidi kuhama Sasa naye aovertake, Nyuma yetu ikatupita tena klugger nyeusi, Yule boda akawa anaifata ile krugger pasipo kujua anashtuka ameshaigemea.

Mwenye krugger akakataa Kwa kuongeza mwendo ili Hali balance ya Yule boda ilikuwa ni Yeye, boda akarudi kushoto Kwa Nguvu, baadae kulia akayaingia Yale machumachuma ya nembo ya Tanzania yaliyowekwaga na makonda akiwa RPC.

Kukawa vumbi kubwa, Vile vyumba vikawa vinaruka juu Kwa Kasi. Kiufupi walipona wawili, Dereva na Binti mmj Abiria.

Kinachoniumiza ni Kuwa wakati Dereva Yule anapotea kutoka kushoto kuja kulia na Kukosa balance kwenye krugger, Tulikuwa tukimpigia kelele ndani ya gari,.ila changamoto ilikuwa ni gari vioo vyote vimefungwa na AC on. Kama lingekuwa gari vioo viko wazi Tungewaokoa wasipate ajali.

Kingine Dereva Wa klugger kama angeendelea kupunguza mwendo taratibu taratibu Hadi anasimama wale wasingekufa wala kupata ajali Ile maana Dereva Alikuwa ameegemea Ile gari na mkono Wa kulia aliishikiliaile gari kabla haijaongeza mwendo na Kumkataa.
 
Ilikuwa mwaka Jana Maeneo ya Sido kuelekea Jet rumo. Nilipanda gari Maeneo ya Vingunguti zile gari za Special Hire full kiyoyozi ilipakia Abiria wachache Tu na ni level seat tukaongoa nanga uelekeo G/mboto.

Dakika chache baadae tulipitwa na Pikipiki Ikiwa na Abiria wanne wote wakiwa ni watoto chini ya Miaka 18 hivi. Wakike wawili na wakiume wawili inaonekana walikuwa wanatokea kwenye Ngoma, wanavibe mixer kujiyumbisha yumbisha kwenye Pikipiki. Lile Jambo likawa kama Mjadala huku safari ikiendelea.

Sekunde chache baadae ikatupita Pikipiki nyingine tena hii ikiwa na Abiria watano nao wakiwa chini ya Miaka 18. Ile yenye Abiria wanne ikaovartake na kuzidi kupotea, Yule mwenye Abiria watano wakati anajitahidi kuhama Sasa naye aovertake, Nyuma yetu ikatupita tena klugger nyeusi, Yule boda akawa anaifata ile krugger pasipo kujua anashtuka ameshaigemea.

Mwenye krugger akakataa Kwa kuongeza mwendo ili Hali balance ya Yule boda ilikuwa ni Yeye, boda akarudi kushoto Kwa Nguvu, baadae kulia akayaingia Yale machumachuma ya nembo ya Tanzania yaliyowekwaga na makonda akiwa RPC.

Kukawa vumbi kubwa, Vile vyumba vikawa vinaruka juu Kwa Kasi. Kiufupi walipona wawili, Dereva na Binti mmj Abiria.

Kinachoniumiza ni Kuwa wakati Dereva Yule anapotea kutoka kushoto kuja kulia na Kukosa balance kwenye krugger, Tulikuwa tukimpigia kelele ndani ya gari,.ila changamoto ilikuwa ni gari vioo vyote vimefungwa na AC on. Kama lingekuwa gari vioo viko wazi Tungewaokoa wasipate ajali.

Kingine Dereva Wa klugger kama angeendelea kupunguza mwendo taratibu taratibu Hadi anasimama wale wasingekufa wala kupata ajali Ile maana Dereva Alikuwa ameegemea Ile gari na mkono Wa kulia aliishikiliaile gari kabla haijaongeza mwendo na Kumkataa
 
Kipindi Nipo Chuo Rafiki Yangu Alikuwa ni Trucker Binafsi Nikawa Nasafiri Naye Sana Congo,Rwanda nk. Nilikuwa Napata Experience Kubwa Sababu Muda Akichoka Nakamatia Chuma Mimi Kaseja Mdogo Mdogo Nimekuja Kuzoea ile FAW nikawa ni mwendo spidi kukimbizana Siku Napata Ajali ilikuwa Alfajiri Tunang'oa Nanga Wenzangu Wengine Wamelala Wengine Zinapigwa Stori za Mpira Sasa Nimegeuza Shingo ile Narudisha Natahamaki Mbele Naona Majani yamewekwa barabarani mbele kuna Lori limeharibika haikuwa issue kubwa kwangu sasa ile nahama barabara nimpite Nakutana na Tandam Fuso ipo Spidi Yule Mshenzi Akawasha Taa Full Halafu Akazima. Sikuona Tena Vizuri Nikaitoa Chuma Kwenye Site ya ile Fuso Hapo Nimeshaingia Nje ya Barabara Kufumba na Kufumbua Chuma Imepinduka Wote Tupo Nje Kila Mtu Kadondokea Kivyake Cabin ya ile FAW Haitamaniki Ni Mungu Tu Siku Zetu Zilikuwa Bado.the end!
 
Kipindi Nipo Chuo Rafiki Yangu Alikuwa ni Trucker Binafsi Nikawa Nasafiri Naye Sana Congo,Rwanda nk. Nilikuwa Napata Experience Kubwa Sababu Muda Akichoka Nakamatia Chuma Mimi Kaseja Mdogo Mdogo Nimekuja Kuzoea ile FAW nikawa ni mwendo spidi kukimbizana Siku Napata Ajali ilikuwa Alfajiri Tunang'oa Nanga Wenzangu Wengine Wamelala Wengine Zinapigwa Stori za Mpira Sasa Nimegeuza Shingo ile Narudisha Natahamaki Mbele Naona Majani yamewekwa barabarani mbele kuna Lori limeharibika haikuwa issue kubwa kwangu sasa ile nahama barabara nimpite Nakutana na Tandam Fuso ipo Spidi Yule Mshenzi Akawasha Taa Full Halafu Akazima. Sikuona Tena Vizuri Nikaitoa Chuma Kwenye Site ya ile Fuso Hapo Nimeshaingia Nje ya Barabara Kufumba na Kufumbua Chuma Imepinduka Wote Tupo Nje Kila Mtu Kadondokea Kivyake Cabin ya ile FAW Haitamaniki Ni Mungu Tu Siku Zetu Zilikuwa Bado.the end!
Poleni
 
Nakula gia kutoka mbalizi naelekea umalila ,njiani napigiwa simu na dada mmoja siku nyingi namuomba utamu walau awe wangu Ila inashindikana ,Sasa anapiga simu na kunishushua kuwa kwanini namtangaza ni mchumba wangu wakati hanipendi .

Napaniki maana sijawahi kufanya hivyo nachanganyikiwa Sana ,nafika sehemu Kuna Kona moja Kali na Mimi sielewi gari iko speed gari inalala ulalo tairi juu Mimi chini .

Napoteza fahamu ,nakuja kuzinduka nipo hospitalini Ila Sina jeraha lolote ,nauliza nini shida napewa mkanda ulivyo .

Hapo wazee wa ulanzi ,vibibi na vibabu vilevi vyenzangu vimejazana Sana hospitalini havikubali kuondoka mpaka sponsor wao wajue niko hai au nimekufa .

Wanapoambiwa niko gado wanajipanga mmoja mmoja wnazama ndani kunipa hai kamanda wao .

Nafurahia Sana uwepo wao na hapo ndipo najua marafiki wa kweli ni walevi .

Ila kagari kangu kakabonyea Sana Ila nikapanda nikakanyoosha Sasa kapo vizuri kabisa .
Sasa hivi sikimbizi gari na nikiwa na stress napendelea kujificha pekee yangu nizitatue .
 
Mimi niliendesha gari kutoka Dar, nikiwa maeneo fulani ya Singida, kuna sehemu imenyooka kweli kweli malori mawili na gari ndogo moja yalikuwa mbele.

Nilikanyaga mafuta gari ikawa spidi kali sana. Nakaribia kuovateki gari ndogo nayo ikataka kuovateki. Nilipiga honi akarudi ndani nikaovateki mbele kulikuwa na bodaboda akatoka barabarani akanipisha, naye alikuwa spidi sijui ilikuwaje baada ya kumpita.

Mpaka leo huwa najiuliza yule jamaa wa gari dogo angeendelea kuovateki na ile spidi yangu sijui ingekuwaje!

Je wewe umewahi kufanya misteki barabarani ambayo haikuleta madhara?
Siku moja miaka ya 2014 nimeenda kule rudy's farm. Kijana kabisa nina moto nina altezza. Nimekula nyama nyingi na pombe zipanda kichwani. Basi tumetoka kama saa 2 au 3 hivi usiku mimi na jamaa yangu yeye alikuwa na mark x. Sasa akawa anaipeleka moto na mimi namfukuza mbio tunefika pale ledger plazza nikampita kwenye kile kilami kinachoenda hadi kuungana na barabara ya ununio.
Aisee nilivyokuwa maji nilikanyaga kibati mpaka nafika pale barabara ya ununio nadhani nilikuwa nimemaliza speed 180. Ghafla si naona barabara hii hapa nlipitiliza mpaka pale budget kipindi hicho kuna parking hadi pembeni.
Nashukuru Mungu wakati naingia barabara ya ununio hakukua na gari pale vingenevyo ingetokea ajali mbaya sana.
Gari iliposimama nilikaa kama dakika kumi pombe zikapotea kichwani.
Kuanzia siku hiyo, silewi na kuendesha gari kabisa.
 
Ilikuwa mwaka Jana Maeneo ya Sido kuelekea Jet rumo. Nilipanda gari Maeneo ya Vingunguti zile gari za Special Hire full kiyoyozi ilipakia Abiria wachache Tu na ni level seat tukaongoa nanga uelekeo G/mboto.

Dakika chache baadae tulipitwa na Pikipiki Ikiwa na Abiria wanne wote wakiwa ni watoto chini ya Miaka 18 hivi. Wakike wawili na wakiume wawili inaonekana walikuwa wanatokea kwenye Ngoma, wanavibe mixer kujiyumbisha yumbisha kwenye Pikipiki. Lile Jambo likawa kama Mjadala huku safari ikiendelea.

Sekunde chache baadae ikatupita Pikipiki nyingine tena hii ikiwa na Abiria watano nao wakiwa chini ya Miaka 18. Ile yenye Abiria wanne ikaovartake na kuzidi kupotea, Yule mwenye Abiria watano wakati anajitahidi kuhama Sasa naye aovertake, Nyuma yetu ikatupita tena klugger nyeusi, Yule boda akawa anaifata ile krugger pasipo kujua anashtuka ameshaigemea.

Mwenye krugger akakataa Kwa kuongeza mwendo ili Hali balance ya Yule boda ilikuwa ni Yeye, boda akarudi kushoto Kwa Nguvu, baadae kulia akayaingia Yale machumachuma ya nembo ya Tanzania yaliyowekwaga na makonda akiwa RPC.

Kukawa vumbi kubwa, Vile vyumba vikawa vinaruka juu Kwa Kasi. Kiufupi walipona wawili, Dereva na Binti mmj Abiria.

Kinachoniumiza ni Kuwa wakati Dereva Yule anapotea kutoka kushoto kuja kulia na Kukosa balance kwenye krugger, Tulikuwa tukimpigia kelele ndani ya gari,.ila changamoto ilikuwa ni gari vioo vyote vimefungwa na AC on. Kama lingekuwa gari vioo viko wazi Tungewaokoa wasipate ajali.

Kingine Dereva Wa klugger kama angeendelea kupunguza mwendo taratibu taratibu Hadi anasimama wale wasingekufa wala kupata ajali Ile maana Dereva Alikuwa ameegemea Ile gari na mkono Wa kulia aliishikiliaile gari kabla haijaongeza mwendo na Kumkataa.
Boda boda akili zao wanazijua wenyewe.

Kiufupi, jamaa ni chenga sana.
 
Back
Top Bottom