Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ulivyoelezea mm ni mwenyeji maeneo ya mbezi Louis ni km eneo kubwa hivi ila hivyo vibaa ni vidogogidogo..mbezi mwisho karibu na shule ya mbezi mwisho, roundabout ya kuelekea goba kuna bar nyingi sana eneo moja kuna guest nyingi sana eneo hilo hilo kuna idadi kubwa ya watu wanapisha kama utitili .
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu ni kama moyoni unaipenda hivi mitaa yakoHyo ndo mitaa yangu , kiukweli chenga Sana hyo mitaa ....!!
Ila c ndo mitaa yako Maweed?!Kuna mitaa hapo inanuka shahawa kabisa,tena shahawa zilizochacha..
Pamoja na yoote hayo...si ulifanikiwa kupata Huduma iliyokupeleka hapo lakini!?....Wakuu jana nilipata mkosi wa kufika mitaa ya mbezi mwisho karibu na shule ya mbezi mwisho, roundabout ya kuelekea goba kuna bar nyingi sana eneo moja kuna guest nyingi sana eneo hilo hilo kuna idadi kubwa ya watu wanapisha kama utitili .
Wanawake 9/10 wamevaa nguo za kuonyesha hadi mbususu (wanaitwa vunja) wenyeji wa hawapo wanadai kero kubwa ni kuokota used condoms nyingi inapokuchwa ni uuzaji wa miili na pombe kali
Kuna nyumba inaitwa (whitehouse) hii haina mwenyewe inamauzauza kila aliyejaribu kuishi alipata cha mtema kuni so hapo nipa kila mtu humo ndani ni madawa ya kulevya,ngono,bangi na mara nyingi unaambiwa ugomvi hutokea na huwa hakuna kuamualiwa.
Kwa taarifa za kiintelijensia wateja wengi ni raia waliojichokea ,wafasiri wanaokwenda mikoani au waliofika Dar maana mbezi Louis ndio kitovu cha safari, polisi, wanajeshi na walinzi wa biashara ni vijana wa ulinzi shirikishi, mabaunsa,
Wanawake wanaojiuza ni mix piss kali,wala bangi na madawa,ukiwaona huwezi kuamini kuwa wanajiuza hasa mitaa ya bar ya sun Sirro,bar ya Gods pub, Lubumbashi,B bar na maduka yanayouza bombe eneo hilo kama unatoka sun Sirro kupandish sokoni wamefunga barabara kwa magogo hawataki usumbufu.
Waathirika wakuu ni watoto wa shule maana eneo hilo linashule mbili kubwa ile mbezi na upendo, wapangaji wa eneo hilo na wananchi wa kawaida.
Inadaiwa polisi wa kituo cha Gogoni, Temboni,mazulu hupokea pesa kila siku ili wasiwasimbue,wengi wamepanga pia mitaa hiyo na kutoa huduma kwa bei ya 2000-3000 ,wapo watoto waliochini ya miaka 18 inadaiwa wametolewa mikoani hasa singida, kagera, Arusha, Kilimanjaro na nyanda za juu kusini.
Kwenye bar ya Gods kila jumapili usiku kuna wanawake wanacheza uchi na kuweka chupa ya bia ukeni huku watu wakishangilia, uchi live
Eneo hilo lina harufu kali ya shahawa,kinyesi,na kutapakaa condom zilizotumika , sigara, bangi,
Kelele za muziki hadi asubuhi ni kawaida wanaume kuomba omba bia ni kawaida sana
CC . Dorothy GWAJIMA
USSR
Duh....Huu mji una laana aisee juzi nimeenda bar moja Gomz nimeagiza choma kaja demu simjui akaanza kula akamalizia pia bia yangu nikaona isiwe kesi niende toilet alafu nisepe ishakuwa jau , si kanifuata toilet akainama na kuniambia anataka kunilipa nilivurugwa sana
[emoji24][emoji23][emoji23]Ndio tatizo la kuja mjini ukubwani. Karibu
What did you do then?[emoji23][emoji23][emoji23] serious temptetationsHuu mji una laana aisee juzi nimeenda bar moja Gomz nimeagiza choma kaja demu simjui akaanza kula akamalizia pia bia yangu nikaona isiwe kesi niende toilet alafu nisepe ishakuwa jau , si kanifuata toilet akainama na kuniambia anataka kunilipa nilivurugwa sana
Nimefanya utafiti wa kina kwa siku kadhaa tangu muungano dayPamoja na yoote hayo...si ulifanikiwa kupata Huduma iliyokupeleka hapo lakini!?....
Kama Huduma ulipatiwa...basi ya ngoswe...mwachie ngoswe!...
Ina maana wakazi wa hapo jirani hawamiliki smartphones!? Ama hawayaoni hayo!?
Sehem gani moro?Hata mikoani kama moro yapo
Nilipita hapo nikala kuku choma na kinywaji kidogo,madogo wanapitapita hovyo na Bia wanaomba na safari haikuwa nzuri mpaka Iringa gari tatu zimeingia nuksi.Hii Kali....khah!
Japo nilikuwa nimelewa lakini Nilikimbia sana mkuuWhat did you do then?[emoji23][emoji23][emoji23] serious temptetations
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji174]Huu mji una laana aisee juzi nimeenda bar moja Gomz nimeagiza choma kaja demu simjui akaanza kula akamalizia pia bia yangu nikaona isiwe kesi niende toilet alafu nisepe ishakuwa jau , si kanifuata toilet akainama na kuniambia anataka kunilipa nilivurugwa sana
[emoji47][emoji47][emoji47] balaaa Hilo. Sasa ukijinasua vipi hapo?Huu mji una laana aisee juzi nimeenda bar moja Gomz nimeagiza choma kaja demu simjui akaanza kula akamalizia pia bia yangu nikaona isiwe kesi niende toilet alafu nisepe ishakuwa jau , si kanifuata toilet akainama na kuniambia anataka kunilipa nilivurugwa sana
Huu mji una laana aisee juzi nimeenda bar moja Gomz nimeagiza choma kaja demu simjui akaanza kula akamalizia pia bia yangu nikaona isiwe kesi niende toilet alafu nisepe ishakuwa jau , si kanifuata toilet akainama na kuniambia anataka kunilipa nilivurugwa sana