DOKEZO Je, uliwahi kufika bar ya Lubumbashi (kuzimu ya Dar), Mbezi Mwisho?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
mbezi mwisho karibu na shule ya mbezi mwisho, roundabout ya kuelekea goba kuna bar nyingi sana eneo moja kuna guest nyingi sana eneo hilo hilo kuna idadi kubwa ya watu wanapisha kama utitili .
Yaani ulivyoelezea mm ni mwenyeji maeneo ya mbezi Louis ni km eneo kubwa hivi ila hivyo vibaa ni vidogogidogo..

Na vinaweza kudhibitiwa hata na mtendaji
Kuna vitu ni sisi wenyewe tunaamua tusisubir kiongozi mkubwa aje aamue.
 
Pamoja na yoote hayo...si ulifanikiwa kupata Huduma iliyokupeleka hapo lakini!?....

Kama Huduma ulipatiwa...basi ya ngoswe...mwachie ngoswe!...

Ina maana wakazi wa hapo jirani hawamiliki smartphones!? Ama hawayaoni hayo!?
 
What did you do then?[emoji23][emoji23][emoji23] serious temptetations
 
Pamoja na yoote hayo...si ulifanikiwa kupata Huduma iliyokupeleka hapo lakini!?....

Kama Huduma ulipatiwa...basi ya ngoswe...mwachie ngoswe!...

Ina maana wakazi wa hapo jirani hawamiliki smartphones!? Ama hawayaoni hayo!?
Nimefanya utafiti wa kina kwa siku kadhaa tangu muungano day

USSR
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji174]
 
[emoji47][emoji47][emoji47] balaaa Hilo. Sasa ukijinasua vipi hapo?
 

Huu mji hauna laana hata mara moja[emoji3062]
Kama wenye laana ni huko huko kwenu na familia yako!
Koma ku generalize maneno [emoji2959]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…