Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Nakubaliana na wewe mkuu
Huu mkoa wewe tembea na kondomu muda wote unaweza pata mbususu hata kwenye daladalaNakubaliana na wewe mkuu
Asante kwa taarifa mkuu, operation Kali itakuja kufanyikaWakuu jana nilipata mkosi wa kufika mitaa ya mbezi mwisho karibu na shule ya mbezi mwisho, roundabout ya kuelekea goba kuna bar nyingi sana eneo moja kuna guest nyingi sana eneo hilo hilo kuna idadi kubwa ya watu wanapisha kama utitili .
Wanawake 9/10 wamevaa nguo za kuonyesha hadi mbususu (wanaitwa vunja) wenyeji wa hawapo wanadai kero kubwa ni kuokota used condoms nyingi inapokuchwa ni uuzaji wa miili na pombe kali
Kuna nyumba inaitwa (whitehouse) hii haina mwenyewe inamauzauza kila aliyejaribu kuishi alipata cha mtema kuni so hapo nipa kila mtu humo ndani ni madawa ya kulevya,ngono,bangi na mara nyingi unaambiwa ugomvi hutokea na huwa hakuna kuamualiwa.
Kwa taarifa za kiintelijensia wateja wengi ni raia waliojichokea ,wafasiri wanaokwenda mikoani au waliofika Dar maana mbezi Louis ndio kitovu cha safari, polisi, wanajeshi na walinzi wa biashara ni vijana wa ulinzi shirikishi, mabaunsa,
Wanawake wanaojiuza ni mix piss kali,wala bangi na madawa,ukiwaona huwezi kuamini kuwa wanajiuza hasa mitaa ya bar ya sun Sirro,bar ya Gods pub, Lubumbashi,B bar na maduka yanayouza bombe eneo hilo kama unatoka sun Sirro kupandish sokoni wamefunga barabara kwa magogo hawataki usumbufu.
Waathirika wakuu ni watoto wa shule maana eneo hilo linashule mbili kubwa ile mbezi na upendo, wapangaji wa eneo hilo na wananchi wa kawaida.
Inadaiwa polisi wa kituo cha Gogoni, Temboni,mazulu hupokea pesa kila siku ili wasiwasimbue,wengi wamepanga pia mitaa hiyo na kutoa huduma kwa bei ya 2000-3000 ,wapo watoto waliochini ya miaka 18 inadaiwa wametolewa mikoani hasa singida, kagera, Arusha, Kilimanjaro na nyanda za juu kusini.
Kwenye bar ya Gods kila jumapili usiku kuna wanawake wanacheza uchi na kuweka chupa ya bia ukeni huku watu wakishangilia, uchi live
Eneo hilo lina harufu kali ya shahawa,kinyesi,na kutapakaa condom zilizotumika , sigara, bangi,
Kelele za muziki hadi asubuhi ni kawaida wanaume kuomba omba bia ni kawaida sana
CC . Dorothy GWAJIMA
USSR
Laana nyingine hii, watu Hapa mjini wanastress sana.Huu mji hauna laana hata mara moja[emoji3062]
Kama wenye laana ni huko huko kwenu na familia yako!
Koma ku generalize maneno [emoji2959]
Wewe vipi wewe..!Huu mji hauna laana hata mara moja[emoji3062]
Kama wenye laana ni huko huko kwenu na familia yako!
Koma ku generalize maneno [emoji2959]
AiseeeHuu mji una laana aisee juzi nimeenda bar moja Gomz nimeagiza choma kaja demu simjui akaanza kula akamalizia pia bia yangu nikaona isiwe kesi niende toilet alafu nisepe ishakuwa jau , si kanifuata toilet akainama na kuniambia anataka kunilipa nilivurugwa sana
Tumuachie MUNGU wakati amesha tupa akili na maarifa ya kutambua Zuri na baya?, MWELA WATIMBE HAPO WAKAMATE WOTE WANAOFANYA UPUUZI HUO.Hii inatisha. Tumuachie Mungu.
TNTBar gani goms hiyo mkuu weekend hii nipo goms near kampala university twende tukajionee
We muongo,ulikula mzigo,,🤣🤣🤣🤣Ebwana nilikimbia sana
Acha umbea mkuu. Watu wanaingiza kipato. Mimi mtu anayewaponda malaya huwa nagombana naye hawa viumbe wauza mbususu ni muhimu sana kwenye jamiiNoma sana mitaa ya mbezi Louis ni hatari waziri GWAJIMA yupo humu ndani afanyie kazi
USSR
Sasa hivi bar za wacheza uchi zinazidi kuongezeka hapa mjini. Sio ukeni hadi mlango wa nyuma. Haya mambo tulizoea kuyaona Ambiance kila Jumapili saivi huduma zimesogezwa hadi mitaaniHii hipo hata hapa Sudan hotel ukiingia ndani umo usiku wanawake wanacheza uchi na kuweka chupa za bia ukeni naomba pia serikali iingie usiku Katika hotel ya Sudan kwa chini wajionee jinsi wanawake wanavyosasambua
Panaitwa Royal Giraffe kila Jtano Kuna Kigoma cha Uruguay Malaya wanacheza uchi unanunua maji madogo kwa buku 2000 unamtawaza mbususu huku baunsa anasaka wanaopiga picha awatie nakoZ [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii hipo hata hapa Sudan hotel ukiingia ndani umo usiku wanawake wanacheza uchi na kuweka chupa za bia ukeni naomba pia serikali iingie usiku Katika hotel ya Sudan kwa chini wajionee jinsi wanawake wanavyosasambua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndo mtaa ganiPanaitwa Royal Giraffe kila Jtano Kuna Kigoma cha Uruguay Malaya wanacheza uchi unanunua maji madogo kwa buku 2000 unamtawaza mbususu huku baunsa anasaka wanaopiga picha awatie nakoZ [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haya mambo Sasa hivi kama Kuna wilaya au mji hayapo labda ni pemba
Temeke Sudan Kuna jengo moja floor ya chini bank NMB, floor za kati hotel ya Royal Giraffe na juu kabisa ndio balaa linapofanyika Kuna disco lina mziki mnene sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndo mtaa gani